PakiJinja
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 11,689
- 25,848
Mpuuzi kabisa huyu kilaza, kwa akili yake hapo anajiona ndiyo ame spin ili kuingiza mgogoro CHADEMA.Hebu soma hapa kauli ya Makonda kuhusu Lissu
Hata kama Watanzania ni Wajinga, lakini ndio wakubali kudanganywa kibwege namna hii?
Makonda amemzidi nini Lissu kisiasa, Huyu jamaa ni Mzima kweli? Hata kama ni Mkuu wa Mkoa lakini Anapaswa kuwa na Heshima kwa wakubwa waliomzidi Kila kitu.
Nadhani anapaswa kupelekwa haraka hospitali ya karibu kabla ya kusafirishwa hadi Milembe
==========
Mkuu wa Mkoa wa Arusha Paul Makonda, amesema kuwa Makamu Mwenyekiti wa Chadema Bara Tundu Lissu ni mchanga kiasiasa kwake, kutokana ya kuwa alipokuwa akishiriki vikao na viongozi wake wa Chadema akiwemo Freeman Mbowe na aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama hiko Dk. Slaa halikuwa hana uwezo wa kuingia kwa kuwa alikuwa hawezi kuaminiki.
Ameona CHADEMA wameanza kumchoka Mbowe na kudai mabadiliko, yeye anataka kujifanya kuchomekea ili kukuza mgogro,