Paul Makonda: Tutakachofanya Tarehe 9 Disemba jijini Arusha hata wakisema ni uchawi poa tu

Paul Makonda: Tutakachofanya Tarehe 9 Disemba jijini Arusha hata wakisema ni uchawi poa tu

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wakuu,

Mkuu wa Mkoa wa Arusha Paul Makonda ametangaza kuwa Disemba 09, 2024 wakati Tanzania itakapokuwa inaadhimisha Miaka 63 ya Uhuru, Mkoani Arusha kutafanyika Kongamano kubwa la maombi la kuombea Mkoa wa Arusha dhidi ya changamoto mbalimbali zinazoikumba mkoa huo

Makonda ametoa kauli hiyo alipokutana na kuzungumza na Viongozi wa madhehebu mbalimbali ya dini mkoani Arusha, akisema katika maadhimisho hayo kutafanyika pia matembezi maalum kwenye maeneo mbalimbali ya Jiji la Arusha yakijumuisha Viongozi hao wa dini na wananchi wa mkoa wa Arusha.

"Tutatembea kwa pamoja maeneo mbalimbali mkoani Arusha tukiwa na bendera, tukitamka maneno ya baraka na maombezi kwa Mkoa wetu wa Arusha tukiombea amani, baraka, biashara zetu pamoja na kizazi tukitakacho mkoani Arusha." Amesema Mhe. Makonda.

 
Wakuu,

Mkuu wa Mkoa wa Arusha Paul Makonda ametangaza kuwa Disemba 09, 2024 wakati Tanzania itakapokuwa inaadhimisha Miaka 63 ya Uhuru, Mkoani Arusha kutafanyika Kongamano kubwa la maombi la kuombea Mkoa wa Arusha dhidi ya changamoto mbalimbali zinazoikumba mkoa huo

Makonda ametoa kauli hiyo alipokutana na kuzungumza na Viongozi wa madhehebu mbalimbali ya dini mkoani Arusha, akisema katika maadhimisho hayo kutafanyika pia matembezi maalum kwenye maeneo mbalimbali ya Jiji la Arusha yakijumuisha Viongozi hao wa dini na wananchi wa mkoa wa Arusha.

"Tutatembea kwa pamoja maeneo mbalimbali mkoani Arusha tukiwa na bendera, tukitamka maneno ya baraka na maombezi kwa Mkoa wetu wa Arusha tukiombea amani, baraka, biashara zetu pamoja na kizazi tukitakacho mkoani Arusha." Amesema Mhe. Makonda.

Unawaombea watu wakati unawanyima haki ya kuishi,hii inchi ina maajabu sana
 
Maendeleo hayaji kwakukesha na maombi,ulaya,china na amerika wanaomba kwa wastani muda mwungi wanachaoa kazi,labda aombe wadudu wabadilike wawe binadamu
 
Wakuu,

Mkuu wa Mkoa wa Arusha Paul Makonda ametangaza kuwa Disemba 09, 2024 wakati Tanzania itakapokuwa inaadhimisha Miaka 63 ya Uhuru, Mkoani Arusha kutafanyika Kongamano kubwa la maombi la kuombea Mkoa wa Arusha dhidi ya changamoto mbalimbali zinazoikumba mkoa huo

Makonda ametoa kauli hiyo alipokutana na kuzungumza na Viongozi wa madhehebu mbalimbali ya dini mkoani Arusha, akisema katika maadhimisho hayo kutafanyika pia matembezi maalum kwenye maeneo mbalimbali ya Jiji la Arusha yakijumuisha Viongozi hao wa dini na wananchi wa mkoa wa Arusha.

"Tutatembea kwa pamoja maeneo mbalimbali mkoani Arusha tukiwa na bendera, tukitamka maneno ya baraka na maombezi kwa Mkoa wetu wa Arusha tukiombea amani, baraka, biashara zetu pamoja na kizazi tukitakacho mkoani Arusha." Amesema Mhe. Makonda.

Safiiii sana Bora ww,Kuna mwenzio skumbuki ni wa mkoa gani aliita waganga mkoani kwake ,juz nimeona ameandika kua viongoz wenzio Wana majungu sana..Nathan waganga hawajamsaidia
 
Sijawahi kusikia wazungu wakiombea maendeleo yao ila nyakati zote wao wako juu sana kiuchumi.

Waafrika fanyeni kazi...Mungu alishafanya yake na kutuamuru tukale kwa jasho. Huku kumrudia na kuanza kumlilia ni dalili za uvivu.
Alishatuambia, 'Asiyefanya kazi na asile'
Sasa haya maombi ya nini??!
 
Back
Top Bottom