MENEMENE TEKERI NA PERESI
JF-Expert Member
- Mar 11, 2022
- 5,392
- 14,646
Wacha nianze kusali na kufunga ili roho mtakatifu awe nami ili nikiudhuria huko siku hiyo ni kukemea tu mpaka wadudu wote wakimbie mkoa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi sisi wa Ruvuma unatuonaje? Kwanza umeishawahi kufika huku kweli?Uyu promota wampeleke Ruvuma uko
Hakika .Dini ipo kwaajili ya kuwakupambaza wajinga, safi sana mkuu wa mkoa hiyo ni karata nzuri sana unaicheza.
Unawanyima ulanzi ila unaenda janattu firdaus kwa mamilioni🤣🤣🤣Hakika .
Ipo siku moja nitawasimulia kisa Cha Mimi kwenda chimbuko letu lilipo na kusikia sauti ya babu zangu waliokufa miaka mingi wakiongea .
Ni hapo nikajua walinidanganya eti wanaenda Janattu Firdaus kumbe wamba wapo hapa hapa bongoland tunakula vumbi wote Ila wao wameamua kujificha machoni petu sisi wandewa
Ni ujinga Sana bro.Unawanyima ulanzi ila unaenda janattu firdaus kwa mamilioni🤣🤣🤣
Uwa nakuja kulima mahindi uko . .itafaa akienda kuwa Promote mme sahaulika sanaHivi sisi wa Ruvuma unatuonaje? Kwanza umeishawahi kufika huku kweli?
Mheshimiwa anatimiza wajibu aliotumwa na Rais Hata akija huku kwetu atatimiza wajibu huo huo!!!
Hahaha mimi huwa sina mda nayo kabisa .Ni ujinga Sana bro.
Hapo nikamkumbuka baba yangu mkubwa aliishi Sana nje ila kila mwisho wa mwezi alikuwa anatuma laki na ushee eti wanunue nyama waziweke kwenye makao makuu ya ukoo kwakuwa wazee wetu watakuwa wanakula .
Sasa ile nyama ikawa inawekwa Ila wamba hawaili ikioza waangalizi wanaiondosha .
Ulipokuwa utaratibu wake enzi za isis tunavyokuwa ,matapeli wa ukoo wakaanza kuwa na ratiba na ile hela ya mzee kila ikitumwa matapeli wa ukoo wanaikula ,hawanunui kwaajili ya mizimu .
Sasa baba mkubwa alivyorudi akagundua kupitia maafisa usalama wa ukoo kuwa kuna wandewa walikuwa wanaikula ile hela na mizimu wanaikaushia ,alimaindi kichizi ,akarudi majuu mpaka wa leo no simu Wala call kwa ndunguze alimaindi kichizi kisa mizimu haipewi msosi .
Sasa ni hapo nikaanza kugundua hii dunia ishi tu ukifa ni kuwa unapewa uwezo wa kutoonekana mbele za Wana wanaishi ndiyo maana hata baba mkubwa alivyokuwa anatoa hela ili mizimu ile bado mizimu ilikuwa inaona aibu kula ile nyama ikidhani ikila tutajua kumbe washikaji hawakufa wapo bado .
Bro ,Mambo ya dini na mizimu ni vichekesho vya dunia tuliandaliwa ili tusikae bila kucheka kidogo
Mfano wa kuigwa...Jambo jema sana hili kwenye ustawi wa watu. Hii itasaidia kujenga pia hata moral responsibility.
SOCIAL ENTERTAINERWakuu,
Mkuu wa Mkoa wa Arusha Paul Makonda ametangaza kuwa Disemba 09, 2024 wakati Tanzania itakapokuwa inaadhimisha Miaka 63 ya Uhuru, Mkoani Arusha kutafanyika Kongamano kubwa la maombi la kuombea Mkoa wa Arusha dhidi ya changamoto mbalimbali zinazoikumba mkoa huo
Makonda ametoa kauli hiyo alipokutana na kuzungumza na Viongozi wa madhehebu mbalimbali ya dini mkoani Arusha, akisema katika maadhimisho hayo kutafanyika pia matembezi maalum kwenye maeneo mbalimbali ya Jiji la Arusha yakijumuisha Viongozi hao wa dini na wananchi wa mkoa wa Arusha.
"Tutatembea kwa pamoja maeneo mbalimbali mkoani Arusha tukiwa na bendera, tukitamka maneno ya baraka na maombezi kwa Mkoa wetu wa Arusha tukiombea amani, baraka, biashara zetu pamoja na kizazi tukitakacho mkoani Arusha." Amesema Mhe. Makonda.
Yote hayo yamo ndani ya maisha ya mwanadamu hayaepukiki !Tusichanganye dini na siasa!!
Ni vizur pia tutubu Kwa ajili ya wizi wa kura na uenda Mungu Alisha geukia ukutani Kwa dhambi ya wizi wa kura na kutekana na kuuana Kwa iyo tuombe Toba Kwa Kwa ChamaWakuu,
Mkuu wa Mkoa wa Arusha Paul Makonda ametangaza kuwa Disemba 09, 2024 wakati Tanzania itakapokuwa inaadhimisha Miaka 63 ya Uhuru, Mkoani Arusha kutafanyika Kongamano kubwa la maombi la kuombea Mkoa wa Arusha dhidi ya changamoto mbalimbali zinazoikumba mkoa huo
Makonda ametoa kauli hiyo alipokutana na kuzungumza na Viongozi wa madhehebu mbalimbali ya dini mkoani Arusha, akisema katika maadhimisho hayo kutafanyika pia matembezi maalum kwenye maeneo mbalimbali ya Jiji la Arusha yakijumuisha Viongozi hao wa dini na wananchi wa mkoa wa Arusha.
"Tutatembea kwa pamoja maeneo mbalimbali mkoani Arusha tukiwa na bendera, tukitamka maneno ya baraka na maombezi kwa Mkoa wetu wa Arusha tukiombea amani, baraka, biashara zetu pamoja na kizazi tukitakacho mkoani Arusha." Amesema Mhe. Makonda.
Wakuu,
Mkuu wa Mkoa wa Arusha Paul Makonda ametangaza kuwa Disemba 09, 2024 wakati Tanzania itakapokuwa inaadhimisha Miaka 63 ya Uhuru, Mkoani Arusha kutafanyika Kongamano kubwa la maombi la kuombea Mkoa wa Arusha dhidi ya changamoto mbalimbali zinazoikumba mkoa huo
Makonda ametoa kauli hiyo alipokutana na kuzungumza na Viongozi wa madhehebu mbalimbali ya dini mkoani Arusha, akisema katika maadhimisho hayo kutafanyika pia matembezi maalum kwenye maeneo mbalimbali ya Jiji la Arusha yakijumuisha Viongozi hao wa dini na wananchi wa mkoa wa Arusha.
"Tutatembea kwa pamoja maeneo mbalimbali mkoani Arusha tukiwa na bendera, tukitamka maneno ya baraka na maombezi kwa Mkoa wetu wa Arusha tukiombea amani, baraka, biashara zetu pamoja na kizazi tukitakacho mkoani Arusha." Amesema Mhe. Makonda.
Maombi ni utapeli mwingine umeingia nchiniWachina hata watoto wapo maabara wakijitahidi kuvumbua vitu, Waafrika wanapambana na maombi.