Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 12,679
- 25,646
Makonda yuko vizuri mnoo
CCM DAMUDAMU!!!,CHAMA CHA MAMA &BABA
CCM DAMUDAMU!!!,CHAMA CHA MAMA &BABA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi sijaugua ndio maana nashawishika na maneno ya Bashite, sijaona ndugu wala jamaa yangu kuugua korona,hata adui yangu.Kwani wewe umeugua? Kweli mnaamishwa ujinga huo na kina Bashite? Nawaambia furaha yao wawaone mnakufa kama ndezi, haya fanyeni hayo maigizo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu siku za hivi karibuni nakuelewa sana. Naomba nikwambie kuwa me ni fan wako
Sent using Jamii Forums mobile app
Mungu ametusikiaKwahivyo corona imeisha?
Umefiwa? Pole sanaTutaona na kuyasikia mengi mwaka huu, tumeishinda corona wakati hatujui takwimu ziko vipi
"Pia Makonda amewataka watu wote waliokimbia Corona Dar warudi haraka kwani kifo hakikimbiwi". Mwisho wa kunukuu!
Hii kauli nimeilewa sana hii maana inawahusu wale wote waliolikimbia Jiji, kisa Corona! Uoga siyo jambo la kujivunia hata kidogo. Dawa ya matatizo ni kuyakabili na siyo kuyakimbia.
Itakuwa kweli ndyo mana kasema tucheze disco twende beach tule bataHuko mtandaoni et.
Kuna mtu kanitext et "bro kumbe corona inaisha jumapili hii"
Tanzania aisee!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama haiui no problem maisha yanaendelea. Kalibu tupige nyungu mkuuMay 19, 2020
Nairobi, Kenya
Tanzania yaongoza kwa corona mpakani
Kenya yaripoti visa vya wenye corona ktk vivuko vya mpaka wa Tanzania na Kenya. Vivuko hivyo ni vya Namanga, Horohoro, Isebania, Lungalunga , Holili na Loitoktok...