Paul Makonda: Watu wanaendekeza Uchawi na Majungu

Paul Makonda: Watu wanaendekeza Uchawi na Majungu

Lucas Mwashambwa

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2022
Posts
28,722
Reaction score
20,610
Ndugu zangu Watanzania,

Maneno hayo yamesemwa na Mwamba wa kaskazini Paul Christian Makonda Kijana Jasiri kusini mwa jangwa la Sahara.siku ya jana ya jumapili pale alipopewa nafasi ya kuzungumza na kusalimu katika kanisa la kiinjili la Kilutheli Tanzania Dayosisi ya kaskazini kati.katika kustaafu kwa Dkt Solomoni Jakob Massangwa.

Ambapo Mwamba Mwenyewe Paul Makonda amesema kwa sasa watu wanaendekeza sana uchawi na Majungu na hata kumsahau mwenyezi Mungu.amesema mfano katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi thamani ya waganga wa kienyeji imepanda sana ukilinganisha na thamani ya watumishi wa Mungu .

Amesema ya kuwa kwa sasa magari ya VX yaani yale ya thamani yanapishana kwa waganga wa kienyeji.

Amelitaka kanisa kusimama katika nafasi yake na kuwaombea viongozi wote. Amewataka watu wote pia kumrudia Mungu.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
 
Ninyi ndio wale wenye Majungu na uchawi.
Makonda ni mshirikina ndiyo maana anakutana na wenzake huko vilengeni, vinginevyo amejuaje kuwa kipindi hiki thamani ya waganga inapanda ? Usipende kutetea kila ujinga wa huyo bwege.
 
Makonda ni mshirikina ndiyo maana anakutana na wenzake huko vilengeni, vinginevyo amejuaje kuwa kipindi hiki thamani ya waganga inapanda ? Usipende kutetea kila ujinga wa huyo bwege.
Embu tulia huko mpiga Majungu mkubwa wewe
 
IMG_5563.jpeg
 
Ndugu zangu Watanzania,

Maneno hayo yamesemwa na Mwamba wa kaskazini Paul Christian Makonda Kijana Jasiri kusini mwa jangwa la Sahara.siku ya jana ya jumapili pale alipopewa nafasi ya kuzungumza na kusalimu katika kanisa la kiinjili la Kilutheli Tanzania Dayosisi ya kaskazini kati.katika kustaafu kwa Dkt Solomoni Jakob Massangwa.

Ambapo Mwamba Mwenyewe Paul Makonda amesema kwa sasa watu wanaendekeza sana uchawi na Majungu na hata kumsahau mwenyezi Mungu.amesema mfano katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi thamani ya waganga wa kienyeji imepanda sana ukilinganisha na thamani ya watumishi wa Mungu .

Amesema ya kuwa kwa sasa magari ya VX yaani yale ya thamani yanapishana kwa waganga wa kienyeji.

Amelitaka kanisa kusimama katika nafasi yake na kuwaombea viongozi wote. Amewataka watu wote pia kumrudia Mungu.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Wewe Bashite, jibu tuhuma za Tundu Lissu, kuwa wewe ndiye uliyeongoza kikosi Cha mauaji, kilichotaka kumwua Tundu Lissu.

Wacha kujizunngusha zungusha
 
Back
Top Bottom