Paul Makonda: Watu wanaendekeza Uchawi na Majungu

Paul Makonda: Watu wanaendekeza Uchawi na Majungu

Wewe Bashite, jibu tuhuma za Tundu Lissu, kuwa wewe ndiye uliyeongoza kikosi Cha mauaji, kilichotaka kumwua Tundu Lissu.

Wacha kujizunngusha zungusha
Lissu ni wa kupuuzwa tu maana kila mtu anafahamu matatizo yake.kwai wewe unaona yupo sawa?
 
Wachawi wanawajua wenzao. Uchawi huongelewa na anayeijua labda kwa mafanikio au kwa kushindwa kwa kuzidiwa na wachawi wenzake.
 
Tangu Faza Asepe Jamaa hatoi machozi hovyo.
Keshajijua mtoto wa kambo.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Maneno hayo yamesemwa na Mwamba wa kaskazini Paul Christian Makonda Kijana Jasiri kusini mwa jangwa la Sahara.siku ya jana ya jumapili pale alipopewa nafasi ya kuzungumza na kusalimu katika kanisa la kiinjili la Kilutheli Tanzania Dayosisi ya kaskazini kati.katika kustaafu kwa Dkt Solomoni Jakob Massangwa.

Ambapo Mwamba Mwenyewe Paul Makonda amesema kwa sasa watu wanaendekeza sana uchawi na Majungu na hata kumsahau mwenyezi Mungu.amesema mfano katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi thamani ya waganga wa kienyeji imepanda sana ukilinganisha na thamani ya watumishi wa Mungu .

Amesema ya kuwa kwa sasa magari ya VX yaani yale ya thamani yanapishana kwa waganga wa kienyeji.

Amelitaka kanisa kusimama katika nafasi yake na kuwaombea viongozi wote. Amewataka watu wote pia kumrudia Mungu.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Huu ujinga wenu ufanyeni kwenye majukwa yenu ya siasa yanayolindwa na ulozi, kamwe msilete uhuni wenu Madhabahuni ni chukizo kwa Mungu.
 
Kumbe ndo wanavopishana na mavx kipindi cha uchaguzii....!!!?? Kijana karusha jiwe gizani
 
Ndugu zangu Watanzania,

Maneno hayo yamesemwa na Mwamba wa kaskazini Paul Christian Makonda Kijana Jasiri kusini mwa jangwa la Sahara.siku ya jana ya jumapili pale alipopewa nafasi ya kuzungumza na kusalimu katika kanisa la kiinjili la Kilutheli Tanzania Dayosisi ya kaskazini kati.katika kustaafu kwa Dkt Solomoni Jakob Massangwa.

Ambapo Mwamba Mwenyewe Paul Makonda amesema kwa sasa watu wanaendekeza sana uchawi na Majungu na hata kumsahau mwenyezi Mungu.amesema mfano katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi thamani ya waganga wa kienyeji imepanda sana ukilinganisha na thamani ya watumishi wa Mungu .

Amesema ya kuwa kwa sasa magari ya VX yaani yale ya thamani yanapishana kwa waganga wa kienyeji.

Amelitaka kanisa kusimama katika nafasi yake na kuwaombea viongozi wote. Amewataka watu wote pia kumrudia Mungu.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
hasa hawa wapinzani sijui nani kawadanganya eti kupata uongozi kisiasa Lazima eti washiriki uganga na ushirikina, ramli na kuchukuana miskule 🐒
 
Makonda angekuwa kweli anamcha mwenyezi Mungu asingekuwa anashindwa hata kumpa mimba mkewe.
 
Futa ujinga wako, Makonda ni mwamba wa kaskazini? unadhani na kaskazini hatuna akili kama Songwe?
 
Back
Top Bottom