Chambusiso
JF-Expert Member
- Jul 11, 2007
- 2,592
- 4,640
Kakwambia chumbani amejuaje thamani ya waganga imepanda mwamba? Anajuaje mwenendo wa bei ya uchawi? Kama sio mshirika basi ni ewura wao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atawalonga Wazungu!!Huyu mshirikina hawezi kwenda London
Anaweza kama ameweza kumloga bibi kimkazi akamrudisha kwenye system atashindwa nini?Atawalonga Wazungu!!
kweli nmeamini wachawi ndoNdugu zangu Watanzania,
Maneno hayo yamesemwa na Mwamba wa kaskazini Paul Christian Makonda Kijana Jasiri kusini mwa jangwa la Sahara.siku ya jana ya jumapili pale alipopewa nafasi ya kuzungumza na kusalimu katika kanisa la kiinjili la Kilutheli Tanzania Dayosisi ya kaskazini kati.katika kustaafu kwa Dkt Solomoni Jakob Massangwa.
Ambapo Mwamba Mwenyewe Paul Makonda amesema kwa sasa watu wanaendekeza sana uchawi na Majungu na hata kumsahau mwenyezi Mungu.amesema mfano katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi thamani ya waganga wa kienyeji imepanda sana ukilinganisha na thamani ya watumishi wa Mungu .
Amesema ya kuwa kwa sasa magari ya VX yaani yale ya thamani yanapishana kwa waganga wa kienyeji.
Amelitaka kanisa kusimama katika nafasi yake na kuwaombea viongozi wote. Amewataka watu wote pia kumrudia Mungu.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Inabidi Basi ulogwe na wewe ili akili zirejee kichwani Mwako.Anaweza kama ameweza kumloga bibi kimkazi akamrudisha kwenye system atashindwa nini?
Acha Majungu yako wewe.
Ulikuwepo wakati wa kumpeleka huyo mganga?Jivike akili asilia, achana na uchawa. Fanya uchunguzi huyo unayemsemea ili umfahamu ni mtu wa namna gani
Yaani mshirikina ambaye alifanya mipango ya kumpeleka mganga mpaka ikulu, leo anachukia ushirikina?
Uwe na adabu kwa Mheshimiwa RCMuhalifu anawezaje kwashawishi watu watende mema,ni nani atachukuwa usahuri wake?
Duh!! Kwa hiyo, Mwashambwa amehama kutoka kulamba nyayo, analamba hips za watu!!
Swali lako halina msingi. Panua uelewa.Ulikuwepo wakati wa kumpeleka huyo mganga?
Jibu swali acha kuleta mifano ya kijinga isiyoendana kabisa.Swali lako halina msingi. Panua uelewa.
Mambo yote unayoyajua, ulikuwepo hapo hapo yalipokuwa yanatendeka?
Kwa aina ya maswali yako, hata leo hii nikisema kuwa Rais Samia alizaliwa mwaka 1960, utaniuliza kama nilikuwepo wakati anazaliwa!!!
Kuhusu uchawi bashite ni muumini no1Ndugu zangu Watanzania,
Maneno hayo yamesemwa na Mwamba wa kaskazini Paul Christian Makonda Kijana Jasiri kusini mwa jangwa la Sahara.siku ya jana ya jumapili pale alipopewa nafasi ya kuzungumza na kusalimu katika kanisa la kiinjili la Kilutheli Tanzania Dayosisi ya kaskazini kati.katika kustaafu kwa Dkt Solomoni Jakob Massangwa.
Ambapo Mwamba Mwenyewe Paul Makonda amesema kwa sasa watu wanaendekeza sana uchawi na Majungu na hata kumsahau mwenyezi Mungu.amesema mfano katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi thamani ya waganga wa kienyeji imepanda sana ukilinganisha na thamani ya watumishi wa Mungu .
Amesema ya kuwa kwa sasa magari ya VX yaani yale ya thamani yanapishana kwa waganga wa kienyeji.
Amelitaka kanisa kusimama katika nafasi yake na kuwaombea viongozi wote. Amewataka watu wote pia kumrudia Mungu.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Ni mcha MunguKuhusu uchawi bashite ni muumini no1
Wewe punguani, ujasiri wa kuwaita watu wajinga, unaupata wapi?Jibu swali acha kuleta mifano ya kijinga isiyoendana kabisa.
Mshirikina, muuaji na mporaji wa mali za watu, ni mcha mungu!! mungu gani? Au ninyi mna mungu wenu mnayemjua ambaye ni mungu wa uovu? Fanyeni ujinga wote lakini msimkufuru Mungu. Mjue kuwa kila kufuru, inawatengenezea laana.Ni mcha Mungu