Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
- Thread starter
-
- #21
Lissu ni wa kupuuzwa tu maana kila mtu anafahamu matatizo yake.kwai wewe unaona yupo sawa?Wewe Bashite, jibu tuhuma za Tundu Lissu, kuwa wewe ndiye uliyeongoza kikosi Cha mauaji, kilichotaka kumwua Tundu Lissu.
Wacha kujizunngusha zungusha
Kama unaumia sana basi kunywa sumu UFE tu.Wewe mbwiga hata Makonda akijamba utakuja kutusimulia humu, utakuwa na utaahira fulani wewe si bure
Huu ujinga wenu ufanyeni kwenye majukwa yenu ya siasa yanayolindwa na ulozi, kamwe msilete uhuni wenu Madhabahuni ni chukizo kwa Mungu.Ndugu zangu Watanzania,
Maneno hayo yamesemwa na Mwamba wa kaskazini Paul Christian Makonda Kijana Jasiri kusini mwa jangwa la Sahara.siku ya jana ya jumapili pale alipopewa nafasi ya kuzungumza na kusalimu katika kanisa la kiinjili la Kilutheli Tanzania Dayosisi ya kaskazini kati.katika kustaafu kwa Dkt Solomoni Jakob Massangwa.
Ambapo Mwamba Mwenyewe Paul Makonda amesema kwa sasa watu wanaendekeza sana uchawi na Majungu na hata kumsahau mwenyezi Mungu.amesema mfano katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi thamani ya waganga wa kienyeji imepanda sana ukilinganisha na thamani ya watumishi wa Mungu .
Amesema ya kuwa kwa sasa magari ya VX yaani yale ya thamani yanapishana kwa waganga wa kienyeji.
Amelitaka kanisa kusimama katika nafasi yake na kuwaombea viongozi wote. Amewataka watu wote pia kumrudia Mungu.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Jenga kanisa lako ndio ukaweke masharti yako.Huu ujinga wenu ufanyeni kwenye majukwa yenu ya siasa yanayolindwa na ulozi, kamwe msilete uhuni wenu Madhabahuni ni chukizo kwa Mungu.
Ukifa wewe inatosha na ni faida kwa Taifa!!Kama unaumia sana basi kunywa sumu UFE tu.
Sawa mchepuko wa Makonda lakini ujue Mama Keagan yupo.Kama unaumia sana basi kunywa sumu UFE tu.
Mungu hana Kanisa,Jenga kanisa lako ndio ukaweke masharti yako.
We kwanin kila kukicha unasifia wanaume wenzio?!!Acha kuropoka ropoka
hasa hawa wapinzani sijui nani kawadanganya eti kupata uongozi kisiasa Lazima eti washiriki uganga na ushirikina, ramli na kuchukuana miskule πNdugu zangu Watanzania,
Maneno hayo yamesemwa na Mwamba wa kaskazini Paul Christian Makonda Kijana Jasiri kusini mwa jangwa la Sahara.siku ya jana ya jumapili pale alipopewa nafasi ya kuzungumza na kusalimu katika kanisa la kiinjili la Kilutheli Tanzania Dayosisi ya kaskazini kati.katika kustaafu kwa Dkt Solomoni Jakob Massangwa.
Ambapo Mwamba Mwenyewe Paul Makonda amesema kwa sasa watu wanaendekeza sana uchawi na Majungu na hata kumsahau mwenyezi Mungu.amesema mfano katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi thamani ya waganga wa kienyeji imepanda sana ukilinganisha na thamani ya watumishi wa Mungu .
Amesema ya kuwa kwa sasa magari ya VX yaani yale ya thamani yanapishana kwa waganga wa kienyeji.
Amelitaka kanisa kusimama katika nafasi yake na kuwaombea viongozi wote. Amewataka watu wote pia kumrudia Mungu.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Hivi yeye Makonda ni msafi?Paul Makonda: Watu wanaendekeza Uchawi na Majungu
Hata wewe unamjua sema wajifanya mjinga tuAcha Majungu yako wewe.
Hawezi kujibu sababu ni kweli tupuWewe Bashite, jibu tuhuma za Tundu Lissu, kuwa wewe ndiye uliyeongoza kikosi Cha mauaji, kilichotaka kumwua Tundu Lissu.
Wacha kujizunngusha zungusha
Ni mshirikina vibaya snHivi yeye Makonda ni msafi?
π
Huyu shetani ni mgonjwa tumchangie akatibiweKila upuuzi anaosema huyo fala unakuja kutuwekea humu hivi una tatizo gani wewe mbugila mbugila?
Huyu mshirikina hawezi kwenda LondonAnagonjwq London kwa kesi ya mauaji wewe @Lucasmwashambwa utaja olewa na bashite