Paul Makonda: Watu wanaendekeza Uchawi na Majungu

Kakwambia chumbani amejuaje thamani ya waganga imepanda mwamba? Anajuaje mwenendo wa bei ya uchawi? Kama sio mshirika basi ni ewura wao
 
kweli nmeamini wachawi ndo
wanaolia kwa sauti kwenye misiba aiseeee
 
Muhalifu anawezaje kwashawishi watu watende mema,ni nani atachukuwa usahuri wake?
 
Acha Majungu yako wewe.


Jivike akili asilia, achana na uchawa. Fanya uchunguzi huyo unayemsemea ili umfahamu ni mtu wa namna gani

Yaani mshirikina ambaye alifanya mipango ya kumpeleka mganga mpaka ikulu, leo anachukia ushirikina?
 
Jivike akili asilia, achana na uchawa. Fanya uchunguzi huyo unayemsemea ili umfahamu ni mtu wa namna gani

Yaani mshirikina ambaye alifanya mipango ya kumpeleka mganga mpaka ikulu, leo anachukia ushirikina?
Ulikuwepo wakati wa kumpeleka huyo mganga?
 
Ulikuwepo wakati wa kumpeleka huyo mganga?
Swali lako halina msingi. Panua uelewa.

Mambo yote unayoyajua, ulikuwepo hapo hapo yalipokuwa yanatendeka?

Kwa aina ya maswali yako, hata leo hii nikisema kuwa Rais Samia alizaliwa mwaka 1960, utaniuliza kama nilikuwepo wakati anazaliwa!!!
 
Swali lako halina msingi. Panua uelewa.

Mambo yote unayoyajua, ulikuwepo hapo hapo yalipokuwa yanatendeka?

Kwa aina ya maswali yako, hata leo hii nikisema kuwa Rais Samia alizaliwa mwaka 1960, utaniuliza kama nilikuwepo wakati anazaliwa!!!
Jibu swali acha kuleta mifano ya kijinga isiyoendana kabisa.
 
Kuhusu uchawi bashite ni muumini no1
 
Ni mcha Mungu
Mshirikina, muuaji na mporaji wa mali za watu, ni mcha mungu!! mungu gani? Au ninyi mna mungu wenu mnayemjua ambaye ni mungu wa uovu? Fanyeni ujinga wote lakini msimkufuru Mungu. Mjue kuwa kila kufuru, inawatengenezea laana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…