Paula anaweza kuwa msichana mwenye mafanikio mpaka dunia ikashangaa

Paula anaweza kuwa msichana mwenye mafanikio mpaka dunia ikashangaa

Uwezi kutoboa kwa kudanga ila ukiwa na mipango kwa sasa hivi kibongobongo pesa ipo hizi mil 30 mpaka mil 50 Paula anaweza kuzichezea sana
Kwa maisha wanayoishi hao watu mama na mtoto bado hiyo pesa ni poketi money mill 50 ni nauli ya kwenda dubai na kurudi kufikia hotel pesa imeshaisha

Kibongo bongo bado tasnia hailipi kihivyo ndio mana ata wasanii wetu bado wana hali mbaya wanapata pesa inayoonekana ni kubwa sawa lakini matumizi yao ni makubwa kuzidi uwekezaji
 
View attachment 1849613

Nimeona mitandao ikimbeza sana Supastaa wetu mpya wa kike Tanzania mtoto wa Kajala aitwae Paula.

Wengi wanamchukulia Paula kama mtoto wa kike aliyeshindikana na amepoteza uelekeo wa maisha.

Wengine sababu ya elimu sababu hakufanya vizuri darasani. Na kuna wanafki wanasema kaanza mapenzi akiwa mdogo.

Mimi nataka niwaambie endapo Paula akisimamiwa vizuri na akaitumia mitandao kama sehemu ya kupiga hela basi atakuwa na pesa nyingi mpaka watu washangae.

Anachohitaji sasa hivi ni kupata management nzuri na branding nzuri.

Habari za Paula zinafatiliwa kuliko sociolite yoyote wa kike kwa hapa bongo sasa hivi. Huu ni mtaji mkubwa sana kwake kuliko hivyo veti mnavyoona ndio dili. Kazi ni kwake kubadili kelele za mitandao kuwa pesa atajenga ataendesha gari analotaka na anaweza kuwa na biashara kubwa tu akiwa na umri mdogo.

Watu wa showbiz nafikiri watanielewa zaidi.
Sio kwa maisha anayofunzwa ya kuishi kwa kutegemea papuchi.
 
Mbona mtoto wa Monalisa nae yupo kama Paula tu. Ishu sio vyeti vya Paula, ishu ni kwamba huyo mtoto ni MJINGA.
 
View attachment 1849613

Nimeona mitandao ikimbeza sana Supastaa wetu mpya wa kike Tanzania mtoto wa Kajala aitwae Paula.

Wengi wanamchukulia Paula kama mtoto wa kike aliyeshindikana na amepoteza uelekeo wa maisha.

Wengine sababu ya elimu sababu hakufanya vizuri darasani. Na kuna wanafki wanasema kaanza mapenzi akiwa mdogo.

Mimi nataka niwaambie endapo Paula akisimamiwa vizuri na akaitumia mitandao kama sehemu ya kupiga hela basi atakuwa na pesa nyingi mpaka watu washangae.

Anachohitaji sasa hivi ni kupata management nzuri na branding nzuri.

Habari za Paula zinafatiliwa kuliko sociolite yoyote wa kike kwa hapa bongo sasa hivi. Huu ni mtaji mkubwa sana kwake kuliko hivyo veti mnavyoona ndio dili. Kazi ni kwake kubadili kelele za mitandao kuwa pesa atajenga ataendesha gari analotaka na anaweza kuwa na biashara kubwa tu akiwa na umri mdogo.

Watu wa showbiz nafikiri watanielewa zaidi.
amefeli!
 
Kibongo bongo Usocialite haulipi. Unakuwa na jina kubwa Halafu fursa za kutumia jina lako hamna.
Mastaa Wengi wanamajina makubwa lakini maisha magumu.

Mtu hata nauli ya boda Hana Ila anashindwa kupanda daladala sababu Istagram Ni maarufu.
 
Upo gizani sana, pengine hujui hata socialite wanatengenezaje pesa.
Paula tayri ni brand anachotakiwa ni kuset trend then pesa itamfata kama mfereji wa maji.

Bongo hakuna uhaba wa pesa bongo kuna uhaba wa watengeneza pesa. Watu wana opt kusoma sana sababu ndio only way waliokalilishwa watatoboa.
Hebu kajifunze kuandika kwanza
 
Kama ni management ya kumtafutia masponsa wa kumlala hilo simshauri.

Wema sepetu enzi zile akiwa wa moto, katika team yake ya machawa, alitumia mpaka mashoga. hawa walikuwa busy kumtafutia mabwana mpaka wa nje ya nchi kwa 10 parcent.

Leo wema kaachwa peke yake na maisha yake huku mwili wake ukizidi kukonda na kukomaa. waliomtumia washamkimbia.

Ninaamini hata wale aliowapa uroda enzi nzile akiwa na lile tako lake la plastic surgery, leo hata simu yake hawapokei, wanamuona "exipaya deti" baada ya kumtumia.
 
Back
Top Bottom