Lutandagula
JF-Expert Member
- Apr 8, 2018
- 1,762
- 2,154
Sawa Rayvan!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa maisha wanayoishi hao watu mama na mtoto bado hiyo pesa ni poketi money mill 50 ni nauli ya kwenda dubai na kurudi kufikia hotel pesa imeshaishaUwezi kutoboa kwa kudanga ila ukiwa na mipango kwa sasa hivi kibongobongo pesa ipo hizi mil 30 mpaka mil 50 Paula anaweza kuzichezea sana
[emoji23][emoji23][emoji23] hizi mil 30 mpaka mil50 anaweza zichezea sana hahaha.Uwezi kutoboa kwa kudanga ila ukiwa na mipango kwa sasa hivi kibongobongo pesa ipo hizi mil 30 mpaka mil 50 Paula anaweza kuzichezea sana.
Sio kwa maisha anayofunzwa ya kuishi kwa kutegemea papuchi.View attachment 1849613
Nimeona mitandao ikimbeza sana Supastaa wetu mpya wa kike Tanzania mtoto wa Kajala aitwae Paula.
Wengi wanamchukulia Paula kama mtoto wa kike aliyeshindikana na amepoteza uelekeo wa maisha.
Wengine sababu ya elimu sababu hakufanya vizuri darasani. Na kuna wanafki wanasema kaanza mapenzi akiwa mdogo.
Mimi nataka niwaambie endapo Paula akisimamiwa vizuri na akaitumia mitandao kama sehemu ya kupiga hela basi atakuwa na pesa nyingi mpaka watu washangae.
Anachohitaji sasa hivi ni kupata management nzuri na branding nzuri.
Habari za Paula zinafatiliwa kuliko sociolite yoyote wa kike kwa hapa bongo sasa hivi. Huu ni mtaji mkubwa sana kwake kuliko hivyo veti mnavyoona ndio dili. Kazi ni kwake kubadili kelele za mitandao kuwa pesa atajenga ataendesha gari analotaka na anaweza kuwa na biashara kubwa tu akiwa na umri mdogo.
Watu wa showbiz nafikiri watanielewa zaidi.
amefeli!View attachment 1849613
Nimeona mitandao ikimbeza sana Supastaa wetu mpya wa kike Tanzania mtoto wa Kajala aitwae Paula.
Wengi wanamchukulia Paula kama mtoto wa kike aliyeshindikana na amepoteza uelekeo wa maisha.
Wengine sababu ya elimu sababu hakufanya vizuri darasani. Na kuna wanafki wanasema kaanza mapenzi akiwa mdogo.
Mimi nataka niwaambie endapo Paula akisimamiwa vizuri na akaitumia mitandao kama sehemu ya kupiga hela basi atakuwa na pesa nyingi mpaka watu washangae.
Anachohitaji sasa hivi ni kupata management nzuri na branding nzuri.
Habari za Paula zinafatiliwa kuliko sociolite yoyote wa kike kwa hapa bongo sasa hivi. Huu ni mtaji mkubwa sana kwake kuliko hivyo veti mnavyoona ndio dili. Kazi ni kwake kubadili kelele za mitandao kuwa pesa atajenga ataendesha gari analotaka na anaweza kuwa na biashara kubwa tu akiwa na umri mdogo.
Watu wa showbiz nafikiri watanielewa zaidi.
Kuwapanga wahitaji huduma yakeHiyo menejimenti imsimamie kwenye nini yani?
Huyu hakufunzwa mkuu kayakuta na kuyaona kwa mama yake. Ila huyu mtoto ana Raha Sana karithi kazi ya mama mapemaSio kwa maisha anayofunzwa ya kuishi kwa kutegemea papuchi.
Na anapewa full support na mama, raha iliyoje😄Huyu hakufunzwa mkuu kayakuta na kuyaona kwa mama yake. Ila huyu mtoto ana Raha Sana karithi kazi ya mama mapema
Hahaha, like mother like daughter. Wanaume tuangaliage pa kupeleka sperms zetu unazaa Toto halitaki shule linataka kuliwa tu.Huyu hakufunzwa mkuu kayakuta na kuyaona kwa mama yake. Ila huyu mtoto ana Raha Sana karithi kazi ya mama mapema
Hebu kajifunze kuandika kwanzaUpo gizani sana, pengine hujui hata socialite wanatengenezaje pesa.
Paula tayri ni brand anachotakiwa ni kuset trend then pesa itamfata kama mfereji wa maji.
Bongo hakuna uhaba wa pesa bongo kuna uhaba wa watengeneza pesa. Watu wana opt kusoma sana sababu ndio only way waliokalilishwa watatoboa.
Marketing, branding strategies, influencing.Hiyo menejimenti imsimamie kwenye nini yani?