Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Huwezi kufanikiwa kwa kudanga. Fanya kazi binti"
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atamu -influence nani labda nyie shoga zake huko instagraminfluencing.
Ukitaka kujua umeongea pumba na mashudu, hata Like amekupa chawa mwenzio wa usafini,,Mfano mzuri mzee mpili now anapiga pesa haswa kusoma haimaanishi ndio kufanikiwa kimaisha mdau umetoa ushauri mzuri
Sijui Kajala kakosea wapi? Yaani ndugu wote wameshindwa kumshauri? anayoyafanya ni kama jamii imewatenga, Baba P naye kasema kachoka sasa anaangalia dunia inavyowapelekeshaNa anapewa full support na mama, raha iliyoje[emoji1]
Ya kuuza nyapu mkuuAnafanya kazi gani?
Management ikamsimamie kwenye kazi zipi?
Ndio maisha aliyochagua na anaonekana anayafurahiaSijui Kajala kakosea wapi? Yaani ndugu wote wameshindwa kumshauri? anayoyafanya ni kama jamii imewatenga, Baba P naye kasema kachoka sasa anaangalia dunia inavyowapelekesha
View attachment 1849613
Nimeona mitandao ikimbeza sana Supastaa wetu mpya wa kike Tanzania mtoto wa Kajala aitwae Paula.
Wengi wanamchukulia Paula kama mtoto wa kike aliyeshindikana na amepoteza uelekeo wa maisha.
Wengine sababu ya elimu sababu hakufanya vizuri darasani. Na kuna wanafki wanasema kaanza mapenzi akiwa mdogo.
Mimi nataka niwaambie endapo Paula akisimamiwa vizuri na akaitumia mitandao kama sehemu ya kupiga hela basi atakuwa na pesa nyingi mpaka watu washangae.
Anachohitaji sasa hivi ni kupata management nzuri na branding nzuri.
Habari za Paula zinafatiliwa kuliko sociolite yoyote wa kike kwa hapa bongo sasa hivi. Huu ni mtaji mkubwa sana kwake kuliko hivyo veti mnavyoona ndio dili. Kazi ni kwake kubadili kelele za mitandao kuwa pesa atajenga ataendesha gari analotaka na anaweza kuwa na biashara kubwa tu akiwa na umri mdogo.
Watu wa showbiz nafikiri watanielewa zaidi.
Nimeona mamake kwny ICU Anasema mwezi wa tisa Paula anaenda chuo majuu ila hakutaka kutaja ni nchi gani mi naona ni jambo jema kama akili yake nzito shule akasomee ujuzi bado mdgo miaka yake mi3 mi4 anaanza life lake vzr tu hata akidanga wkt tyr ana mishe za kumuingizia kipato Sawa Tu atakuwa tyr anajitambua anasimama yeye kama yeye bila mamake kuhusishwa[emoji846]!!Umaarufu una mwisho wake , Elimu haina mwisho msimpotoshe, wako wapi akina nora ? , wema ?
Kula bataWhat is her occupation !!?
Mkuu, huyo mzee mpili anatumika na watu wa media ambao ndio wanaopiga pesa zaidi,watu wanaoibuka bila mikakati kama mzee mpili ni watu wakupita tu tena kwa muda mfupi sana,Mfano mzuri mzee mpili now anapiga pesa haswa kusoma haimaanishi ndio kufanikiwa kimaisha mdau umetoa ushauri mzuri
Samahani, umeishia darasa la ngapi vileee!Wanaomponda ni wivu tuu...!! Masuala ya vyeti ni ujinga tuuu
La saba BSamahani, umeishia darasa la ngapi vileee!
Ndiyo maana, si kosa lako!La saba B
Sawa mkuuNdiyo maana, si kosa lako!
Anataja number za hela km ujazo wa tank la maji[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hizi mil 30 mpaka mil50 anaweza zichezea sana hahaha.