Paula anaweza kuwa msichana mwenye mafanikio mpaka dunia ikashangaa

Paula anaweza kuwa msichana mwenye mafanikio mpaka dunia ikashangaa

Huwezi kufanikiwa kwa kudanga. Fanya kazi binti"
Screenshot_20210709-210354.jpg
 
Mfano mzuri mzee mpili now anapiga pesa haswa kusoma haimaanishi ndio kufanikiwa kimaisha mdau umetoa ushauri mzuri
Ukitaka kujua umeongea pumba na mashudu, hata Like amekupa chawa mwenzio wa usafini,,

Mzee mpili yuko kwenye soka, huyo demu udangaji.. Wapi na wapi?
Toka uanze kudanga umepata bei gani?
 
View attachment 1849613

Nimeona mitandao ikimbeza sana Supastaa wetu mpya wa kike Tanzania mtoto wa Kajala aitwae Paula.

Wengi wanamchukulia Paula kama mtoto wa kike aliyeshindikana na amepoteza uelekeo wa maisha.

Wengine sababu ya elimu sababu hakufanya vizuri darasani. Na kuna wanafki wanasema kaanza mapenzi akiwa mdogo.

Mimi nataka niwaambie endapo Paula akisimamiwa vizuri na akaitumia mitandao kama sehemu ya kupiga hela basi atakuwa na pesa nyingi mpaka watu washangae.

Anachohitaji sasa hivi ni kupata management nzuri na branding nzuri.

Habari za Paula zinafatiliwa kuliko sociolite yoyote wa kike kwa hapa bongo sasa hivi. Huu ni mtaji mkubwa sana kwake kuliko hivyo veti mnavyoona ndio dili. Kazi ni kwake kubadili kelele za mitandao kuwa pesa atajenga ataendesha gari analotaka na anaweza kuwa na biashara kubwa tu akiwa na umri mdogo.

Watu wa showbiz nafikiri watanielewa zaidi.

Umaarufu una mwisho wake , Elimu haina mwisho msimpotoshe, wako wapi akina nora? , wema?
 
Wabongo tunapenda kuhukumu sana tuache kila mtu aishi kivyake
Walifanikiwa wengi kimaisha hawajasoma hata [emoji23][emoji23]
 
Umaarufu una mwisho wake , Elimu haina mwisho msimpotoshe, wako wapi akina nora ? , wema ?
Nimeona mamake kwny ICU Anasema mwezi wa tisa Paula anaenda chuo majuu ila hakutaka kutaja ni nchi gani mi naona ni jambo jema kama akili yake nzito shule akasomee ujuzi bado mdgo miaka yake mi3 mi4 anaanza life lake vzr tu hata akidanga wkt tyr ana mishe za kumuingizia kipato Sawa Tu atakuwa tyr anajitambua anasimama yeye kama yeye bila mamake kuhusishwa[emoji846]!!
 
Mfano mzuri mzee mpili now anapiga pesa haswa kusoma haimaanishi ndio kufanikiwa kimaisha mdau umetoa ushauri mzuri
Mkuu, huyo mzee mpili anatumika na watu wa media ambao ndio wanaopiga pesa zaidi,watu wanaoibuka bila mikakati kama mzee mpili ni watu wakupita tu tena kwa muda mfupi sana,

Yuko wapi Piere liquid? yuko wapi Dr shika? alichoka mpaka akakosa hela ya kujitibisha hadi mauti yalipo mkuta.
 
Back
Top Bottom