Paula anaweza kuwa msichana mwenye mafanikio mpaka dunia ikashangaa


Management ya kufanya kazi gani kipaji gani?!
 

Ku trend kwa kudanga au nini Embu tuelezee?!
 

Kabisa hazipo applicable sbb Hamna watu wa maana wenye akili hizo kibongobongo kufanya mtu awe na bidhaa na watu wakaipenda wakaifuataa..
Iko wp product za Diamond na anapenda na watanzania?!
 
Mfano mzuri mzee mpili now anapiga pesa haswa kusoma haimaanishi ndio kufanikiwa kimaisha mdau umetoa ushauri mzuri
Mzee Mpili hapigi hela ya maana. Akiumwa hata malaria tu wanayanga wataambiwa wachange. Alikuwepo mzee wa 900 itapendeza, alikuwepo Mzee Majuto wote tuliona mwisho wao ambavyo hawakuthaminiwa
 
Mkuu hasa pale kuna mama? Bint kaanza mabwana yeye anatembea uchi Sisi waafrika hatuna hiyo, halafu kajitoa fahamu. Siku bint akigombana na huyo bwana matusi yote kwa mama tena asithubutu kusuluhisha [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Mkuu hasa pale kuna mama? Bint kaanza mabwana yeye anatembea uchi Sisi waafrika hatuna hiyo, halafu kajitoa fahamu. Siku bint akigombana na huyo bwana matusi yote kwa mama tena asithubutu kusuluhisha [emoji3][emoji3][emoji3]
Sie tutasubiria ulimwengu umfunze hata Lulu aliwehushwa na dunia ila alipokaa ndani mwaka mzima akatolewa kwa hisani ya kigogo mmoja ndio ilipokuwa pona yake ila alijifunza kitu na sahizi humuoni akihangaika na kiki toka atoke jela!!
 
Sie tutasubiria ulimwengu umfunze hata Lulu aliwehushwa na dunia ila alipokaa ndani mwaka mzima akatolewa kwa hisani ya kigogo mmoja ndio ilipokuwa pona yake ila alijifunza kitu na sahizi humuoni akihangaika na kiki toka atoke jela!!
Dah halafu kweli kapotea wala hasikiki sasa hivi

Sent from my SM-C7000 using JamiiForums mobile app
 
Kwani Jokate alisaidiwa na elimu yake au ilitokea zari akapendwa na mtu mkubwa.
Akina kingkiba wamepita naye sana

Sent from my SM-C7000 using JamiiForums mobile app
Elimu ilifanya akabebeka kirahisi
Kupita na Kingkiba na wengineo si hoja. Elimu inamfanya aendelee kuwa valid baada ya mwili kuchoshwa na hao uliowataja unlike wema ambaye alitegemea mwili tu bila kuwa na elimu
 
Elimu ilifanya akabebeka kirahisi
Kupita na Kingkiba na wengineo si hoja. Elimu inamfanya aendelee kuwa valid baada ya mwili kuchoshwa na hao uliowataja unlike wema ambaye alitegemea mwili tu bila kuwa na elimu
Kinachokufanya umhukumu Wema ni kipi ? Unataka kusema wema ameharibikiwa Sana maisha kuliko graduate wote mjin hapa kisa Hana Elimu ..... Wema sio choka mbaya kama unavyofkri
 
Kabisa hazipo applicable sbb Hamna watu wa maana wenye akili hizo kibongobongo kufanya mtu awe na bidhaa na watu wakaipenda wakaifuataa..
Iko wp product za Diamond na anapenda na watanzania?!
Kwanza nahisi kama makampuni yamestuka flani hivi yanatoa ubalozi kwa wasanii wapumbavu, mwisho wa siku brand ya bidhaa inashuka ukijumlisha na wanaharakati kusagia kunguni ndio kabisa.
 
Elimu ilifanya akabebeka kirahisi
Kupita na Kingkiba na wengineo si hoja. Elimu inamfanya aendelee kuwa valid baada ya mwili kuchoshwa na hao uliowataja unlike wema ambaye alitegemea mwili tu bila kuwa na elimu
Uko sahihi wema angekuwa hata na diploma angebebeka na angekuwa mbali Sasa yeye aliwekeza kudanga na kusahau elimu wakati mwili umekongoroka, joketi kilichomsaidia ni shule yake pia bila hivo angekuwa ka wema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…