Paula Kajala na Marioo ni Wapenzi?

Paula Kajala na Marioo ni Wapenzi?

Nimeachaa dada, now nimekaa kwa kutuliaaa.
[emoji23][emoji23][emoji23] mic u mnoo.
😂😂😂 nliogopa jamani nkajua ndo washakuflash tena uje na id mpya…. Miss you pia sanaaa😘😘😘
 
Nishawahi kusikia hizi habari. Maana kuna jamaa yetu ana hela za urithi na zinamuwasha sana na anapenda kula mastar ndio alitupa hizo habari[emoji23][emoji23]
Afanye nae akasafishee nyotaa kwa paulaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nahisi pfunk huwa anajuta sana kuzaa na kajala. Yaani huyo paula kafundishwa umalaya akiwa mdogo sana yaani ameharibika mapema mno. Nahisi pfunk huwa anajifungia sehemu analia kwanza halafu akitoka anajikausha.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan alie kisa paula kudate na wanaume? Kwan ni mdogo?? Mmmmh
 
Back
Top Bottom