Paula Kajala na Marioo ni Wapenzi?

Paula Kajala na Marioo ni Wapenzi?

Kwanza I believe it was Turkey ambapo Paula alijifanya anasoma mpk Mange akasema hapana; Ukraine alikuwa anasoma Sonia wa Monalisa I thk hapo umechanganya mambo
Niko timamu na nilicho kiandikaa. Labdaa wee mgeni hapa jukwaani
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan alie kisa paula kudate na wanaume? Kwan ni mdogo?? Mmmmh
Kwa mzazi yeyote mwenye akili timamu na anayejitambua. Hawezi kupenda mtoto wake kuwa mtu wa ovyo. Pfunk majani anaonekana hata kwa uso, hana raha akiulizwa ishu yoyote kuhusu huyo binti yake.

Halafu huyo binti, shule alifeli? Ilimshinda? Au ada ilikosekana?
 
Mtoto maarufu na asiyekaukiwa na matukio mjini, wa mastaa wawili wa Bongo industry, kajala masanja na P Funk Majani, aitwae Paula ameamua kuonesha wazi mapenzi yake kwa msanii pendwa na mwenye hit songs kibao za mapenzi ya kubembeleza anayefahamika km Marioo.

Kwani mwenzenu hata sielewi huyu shoga kidawa anasoma au aliachaa? Maana tuliambiwa anasoma chuo Ukraine, wambea na wafukunyuku tulipokataa kuwa hasomi yupo huko km vacation tyuuh, mama na mwanae walisimamisha Insta kwa muda, mapicha picha na captions, mara yupo lecture room, mara yuko hostel, mara yuko discussion na wenzie wakaka wa kizungu, mara yuko ndani ya pepa, hadi ID ya chuo tulioneshwa, yaan wambea lilitushuka shuu, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Ila tangu vita ya Ukraine na Russia ianze na kupamba motoo wanafunzi wageni na wengineo walirudi makwao, akiwemo na huyu shoga kidawa, sasa huyu yupo tyuuh hata haeleweki, na hapa Waziri mkuu alisema wanafunzi waende TCU wakapate utaratibu wa uhamisho ili wasome vyuo vya hapa Bongo, lakini huyu hata haijulikani yuko chuo gani, na km angekua anasoma hapa tungeonaa tyuuh, au anasoma kwa online mwenzetu huko huko Ukraine? Maana mda wote yuko bongo kuzuzura na mama ake, hebu ninyamaze nisije ulizwa niliwahi changia hata peni ya mia mbili, nikakosa cha kujibu mdaku mie, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Bas bhana shoga kidawa baada ya kumwagana na vanny boy akaamua atue kwa Marioo, na venye uzuri na mvuto Jah aliweka kituo kwake, Marioo kampokea wima wima [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]yaan hakuna kona kona ni ndiyooo, ila paula jaman hawezagi kuwa single hata kwa sekunde, mweeeeeh, mtoto hatakagi kujibana kwanini asioneshe umma kuwa yuko kwa Marioo ili wambea na wakuda tupate kuwafatilia maana ndo wanapenda, hadi anasema alichelewa kumjua Marioo, yaan anataman angemjua mapemaaa,

Mtoto ana heka heka huyu, kwa Vanny boy alisema pale ndo amefika na mwisho wake, leo anasema bora angemjua Marioo mapemaa, cjui baada ya Marioo atakaefuata atasema nn [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Afu kumbe Marioo na Mimi mars wamemwagana nao, mdaku mie nilijua tyuuh baada ya ile intaview mimi mars kusema anatamani mtoto na soon itakua hivyo nkajua tayari Marioo hana chakee, sio rahis mimi mars azae na marioo kwan alisha sema anataka watu wa nje ya bongo, na hapo ukute Vanessa amesha mtafutia mpopo wa Atlanta ili wazamie wote huko Marekani, wapare hawa kwa Fursa siwawezii mie [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Vanny boy na Fayma wake nao mapenzi yamerudi upyaa na kutaradadiiii, ila Fayma amevumilia na amejua kujitunza, hata km ana dark side ila kwa umma anajulikana katulia na kaweza kuhimili mikiki ya kuwa nje ya mzazi mwenza hadi sahivi wamerudiana, itoshe kusema Fayma ana mapenzi ya dhati kwa Vanny boy anastahili kupongezwaa,

Mbea mwenzangu Mwijaku hakuwa nyuma na hawezagi kupitwaa, akaamua kumpa ushauri Marioo kuwa atumie kinga kwa Paula kwani ana UTI sugu, Mmakonde na Vanny boy watitumia powercef na sindano 5 kujitibu, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan Mwijaku namgawa buree kwa kweli. Woiiiiiiih.

Wasanii wa Bongo kupokezana wapenzi, wao sio shida zao, wanasemaga Haluwa haina makomboooo.
Weuweeeeeeeee!!!!!!!View attachment 2583067View attachment 2583068
Aloo wewe huu umbea umeuleta vzr sna,uko vzr kufatilia maish za wasani wetu
Saf Sana Sina baya na wew[emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380]

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Kwa mzazi yeyote mwenye akili timamu na anayejitambua. Hawezi kupenda mtoto wake kuwa mtu wa ovyo. Pfunk majani anaonekana hata kwa uso, hana raha akiulizwa ishu yoyote kuhusu huyo binti yake.

Halafu huyo binti, shule alifeli? Ilimshinda? Au ada ilikosekana?
Kuhusu shule ndo hatuelewi, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tunaona drama za mapenzi tyuuh.
 
Back
Top Bottom