DR SANTOS
JF-Expert Member
- Mar 11, 2019
- 12,846
- 28,106
Powercef za kumezaduuh, PowerCef imeingiaje hapo ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Powercef za kumezaduuh, PowerCef imeingiaje hapo ?
phalwa sanaPowercef za kumeza
Yani anafata njia zile zile za wema show off za kijinga kwenye social mediaIla huyu Paula kaanza umalaya mapema na anadanga na watu wa hovyo atumie umaarufu na kudanga Kwa Akili maan huyu atafubaa na kuchakaa haraka au anataka kuwa mamAke kuzeeka Kwa kudanga with nothing to show, ni huzuni kweli kweli asije kuwa tu ka wema kakosa soko anahangaika na chibaba chake
Bongo industry ni kitu gani?Mtoto maarufu na asiyekaukiwa na matukio mjini, wa mastaa wawili wa Bongo industry, kajala masanja na P Funk Majani, aitwae Paula ameamua kuonesha wazi mapenzi yake kwa msanii pendwa na mwenye hit songs kibao za mapenzi ya kubembeleza anayefahamika km Marioo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kweliii.Ila huyu Paula kaanza umalaya mapema na anadanga na watu wa hovyo atumie umaarufu na kudanga Kwa Akili maan huyu atafubaa na kuchakaa haraka au anataka kuwa mamAke kuzeeka Kwa kudanga with nothing to show, ni huzuni kweli kweli asije kuwa tu ka wema kakosa soko anahangaika na chibaba chake
Waja Mbakizage maneno,.Sema marioo na mimi mars waliendana sana ila hapa kwa paula marioo anaenda kufurisiwa tu paula na mamaake wajanja wajanja wanaenda kumtoa bad kwenye reli labda marioo awe mtu wa kupga na kusepa apo sawa ila kama kamuelewa tutegemee nyimbo za kulia sana mwaka huu kuliko amapiano😁😁
MUwage na akiba ya maneno😄😃Huyu malaya mbona siku hizi hafungui duka lake la Paulah's Closet
Kafungua duka kwani?MUwage na akiba ya maneno😄😃