Paula Kajala na Marioo ni Wapenzi?

Mweee Marioo jamani si ampende mmojaa asitakee mwingineee.. Ila kwa wembamba wake atamezwa mzima mzima kama chatu
 
Mario alimdate Mimi? Duhh!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mweee Marioo jamani si ampende mmojaa asitakee mwingineee.. Ila kwa wembamba wake atamezwa mzima mzima kama chatu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watu mna maneno.
 
Hivi inamaana ni kweli Harmonise alimla huyo Paula???
 
Uyu dogo hakua Ukraine umechanganya ma faili Ukraine alikuepi mtoto wa Monalisa lakini Paula alikua Uturuki but umechangamsha kijiwe UTI inatibika awaone wataalam wa afya.
 
Sio wapenzi wala nini,,,ni mtu na dada yake!!!
 
Hivi inamaana ni kweli Harmonise alimla huyo Paula???
Nini kinachoshindikana mbele ya pesa rayvan aligharamia safari ya Paula kwenda nje zaidi ya mil 50 pesa hiyo ni nyingi sana inatosha kabisa kuwala hao wote mama na mtoto
 
Nilikua busy kidogo Jana kushindwa kuchangia
Ila Kajala sio mama mzuri Bora mange 100%na uchizi wake wotee ila Bhoke alinyooshwa mpk kukimbila Kwa baba Ake UK
 
Nilikua busy kidogo Jana kushindwa kuchangia
Ila Kajala sio mama mzuri Bora mange 100%na uchizi wake wotee ila Bhoke alinyooshwa mpk kukimbila Kwa baba Ake UK
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hatareee sanaa yaan.
 
Ila huyu Paula kaanza umalaya mapema na anadanga na watu wa hovyo atumie umaarufu na kudanga Kwa Akili maan huyu atafubaa na kuchakaa haraka au anataka kuwa mamAke kuzeeka Kwa kudanga with nothing to show, ni huzuni kweli kweli asije kuwa tu ka wema kakosa soko anahangaika na chibaba chake
 
Marioo anaenda kuchemka mapema sama,Paula kashashindikana sidhani Kama Marioo atamuweza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…