Huwezi mlinganisha Nape na Paulo.
Nape tayari aliwiva kisiasa na hakuwa mporaji wa mali za umma na za watu binafsi.
Nape hakuwa na jinai, kutofautiana Nape na JPM ni misimamo ya kisiasa ambayo kuomba radhi mtu unaeleweka.
Paulo ni fisadi, na alifisadi mali nyingi za watu binafsi.
Paulo na Sabaya ngoma droo!
Unakumbuka yale ma BMW aliyopora toka kwa wafanyabiashara?
Nyumba za Masaki na kwingineko?
Paulo ana jinai and he should come clean.
Hata Mama akisema anamsamehe tutashangaa, kwa nini Sabaya afungwe na Paulo asepe kiulainii!