Ila hiki ulichoandika mwanawane sijui ni ki nini aisee!Ilw dharau kwa PM nadhaninilipita kipimo....sikuo lilizidi kuchwa....alitaka PM aqe anasujudu kwa RC kusa wote wateuliwa na eti rank moja bendeea sawa daaa....alijisahau hutu mtoto.....pensi nyanya anaenda ziara kupokelewa vyombo rasmi ulinzi usalama ...mdharau ilizidi acha apambane hali yake
Heeee! Alivaa nini huyu? Yaani hawa askari nao wanathubutu vipi kukaa karibu na mtu wa hivyo?Paul atarudi siku Mpango au Chongolo watakapoachia viti vyao. Aliwadhalilisha vyakutosha.View attachment 1981368
Unadhani msukuma hana pesa? Kwa nini anang'ang'ania ubunge?mswahili bana, watu wanapiga hela, kijana ni tajiri
unamnyosha kwa lipi?
maskini bana
Alijaa kiburi kupita kiasiPaul atarudi siku Mpango au Chongolo watakapoachia viti vyao. Aliwadhalilisha vyakutosha.View attachment 1981368
Mbona hatoi tena misaada?Makonda hakuna anayemtaka hata kumsikia sasa hv ndani ya CCM..
1: Mwenyekiti hataki hata kumsikia anatia kichefuchefu
2: Katibu Mkuu CCM ndio kabisa alivyomwaibisha akiwa DC, hapana aisee.
3: Alichomfanyia Ridhiwani Kikwete mnakumbuka? Sasa eti Msoga family imsaidie? Hilo halipo sahau kabisa. Hata ingekuwa mm nisingekubali milele.
4: Wanachama wengi ndani ya CCM ndio kabisaa hata kumsikia tu hawataki na wanajua jinsi watu wanamchukia, sbb siasa ni upepo.
Daudi his time was over.
mswahili bana, watu wanapiga hela, kijana ni tajiri
unamnyosha kwa lipi?
maskini bana
Duuh anarudi?? Twafa
Makonda, Gambo, Hapi, Sabaya, Jerry Muro, Chalamila n.k hawafai kwenye jamii hata kidogo
Toa GAMBO hapo una msingizia tuMakonda, Gambo, Hapi, Sabaya, Jerry Muro, Chalamila n.k hawafai kwenye jamii hata kidogo
Huyo ni shetani kabisaToa GAMBO hapo una msingizia tu
Alikufanya nini? Mi niko namjua tangu tuko wote UVINZA yeye akiwa mkuu wa Wilaya pale enzi za JKHuyo ni shetani kabisa
Kumjua kwako kuna saidia nini kwa maovu aliyotufanyia Arusha?Alikufanya nini? Mi niko namjua tangu tuko wote UVINZA yeye akiwa mkuu wa Wilaya pale enzi za JK
Hiyo kali !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!Ila hiki ulichoandika mwanawane sijui ni ki nini aisee!
Yote maguberi tu! Vile vile tunasahau yule mpumbavu aliyetandika watu wazima viboko! Huyo niliapa ikitokea kwangu itanibidi nife tu! Nitasambaratisha reception kabla walinzi hawajanidhibiti! na kuniuaToa GAMBO hapo una msingizia tu
Inabidi wale wafanyabiashara waonane na mama au wafungue kesi ,Paulo BASHITE alichofanya ni zaidi ya SABAYA.Huwezi mlinganisha Nape na Paulo.
Nape tayari aliwiva kisiasa na hakuwa mporaji wa mali za umma na za watu binafsi.
Nape hakuwa na jinai, kutofautiana Nape na JPM ni misimamo ya kisiasa ambayo kuomba radhi mtu unaeleweka.
Paulo ni fisadi, na alifisadi mali nyingi za watu binafsi.
Paulo na Sabaya ngoma droo!
Unakumbuka yale ma BMW aliyopora toka kwa wafanyabiashara?
Nyumba za Masaki na kwingineko?
Paulo ana jinai and he should come clean.
Hata Mama akisema anamsamehe tutashangaa, kwa nini Sabaya afungwe na Paulo asepe kiulainii!
Wanaorithishana madaraka si Kikwete? Mke Mbunge mtoto Mbunge,kwani hakuna Watanzania wenye uwezo kuwa wabunge mpako iwe tu familia hii?
Vipi January Makamba yupo hapo kwa uwezo wake au kurithishana?
Nchi ilipitia kipindi kigumu sana,/kipindi Cha washambaPaul atarudi siku Mpango au Chongolo watakapoachia viti vyao. Aliwadhalilisha vyakutosha.View attachment 1981368