PAYE kwa Wafanyakazi imepunguzwa kutoka 9% hadi 8%. Kodi kwenye marupurupu imeondolewa; hatua hii itaongeza mshahara!

PAYE kwa Wafanyakazi imepunguzwa kutoka 9% hadi 8%. Kodi kwenye marupurupu imeondolewa; hatua hii itaongeza mshahara!

Hiyo ya 8% ni ya watu wa kima cha chini cha laki 270,000.
Tunataka kodi ipungue kwa ambao mishahara wa digiti 7.
Kikubwa zaidi kodi ya ongezeko la thamani ipungue kutoka 18% hadi 15%.
Mkuu, hapo hapo. Hii kitu inanichanganya. Kodi ya ongezeko la thamani na PAYE ni kitu kimoja kwa wenye seven-digit salaries? Maana nimekuwa nikisikia wimbo huu wa kupunguziwa kodi, lakini kila nikiipigia hesabu nakuta ni 18%
 
UPUUZI MTUPU! Watu hawajaongezewa mishahara kwa miaka 6 halafu unaongeza elfu tu hahahahahaha elfu kwa wastani wa miaka sita ni upuuzi MTUPU!
Serikali imepunguza kodi ya PAYE kutoka 9% na sasa itakuwa 8%

Punguzo hili litasababisha mshahara kuongezeka kadhalika kodi kwenye marupurupu imeondolewa.

Kazi Iendelee!
 
Ni kwa wale wanao pata mshahara kati ya 270,000 hadi 540,000.. wengine wote haiwahusu.

Huwezi pata mshahara juu ya hapo bila makato ya 270,000/= - 540,000/=
Hivyo, kama unajua makato yanavyofanyika wote wenye mshahara juu ya hapo wanahusika.

Haya mambo yanahitaji stepwise approach. Huwezi kugeuza kibao ghafla baadaye tutasema alitaka sifa kama mambo yakifeli.

Unaweza kuongezewa kiasi cha mshahara na kodi pia. Ni vyema kwenda kwa umakini huku serikali ikiangalia sehemu za kupunguza matumizi yasiyo ya lazima ili kuwapunguzia wananchi mzigo, hasa kwenye PAYE ambayo pia inamgusa kila mwananchi.

Pia, tuongeze ufanisi wa kazi zetu kila mmoja kwa sehemu yake.
 
Serikali imepunguza kodi ya PAYE kutoka 9% na sasa itakuwa 8%

Punguzo hili litasababisha mshahara kuongezeka kadhalika kodi kwenye marupurupu imeondolewa.

Kazi Iendelee!
Mengine ni vichekesho tu hivi mtendaji, MWALIM, na watumishi wengine katika idara mbali mbali Wana marupurupu yapi ambayo uingia kwenye mishara yao ,labda wale wa vyombo vya ulinzi,na watumishi ngazi za juu
 
Ni haki yao kupinga kwa sababu hakuna kilichoongezeka kiuhalisia! Halafu ni watumishi wachache sana wanaopata marupurupu, kwa kifupi ni viongozi tu walio na marupurupu?
Upo sahii Sasa , marupurupu Sio ya wafanyakazi ngazi za chini
 
Serikali imepunguza kodi ya PAYE kutoka 9% na sasa itakuwa 8%
Punguzo hili litasababisha mshahara kuongezeka kadhalika kodi kwenye marupurupu imeondolewa.
Kazi Iendelee!
Hapa nadhani wanacheza na akili za wanamapambio. Wafanyakazi wengi wanakatwa 18%, hiyo 9% ambayo imekuwa 8% ni kundi dogo la wenye kima cha chini
 
Kupunguza paye 1% na Retention 6% itaongeza kidogo salary.
Rentation Fee haiwezi kuongeza salary mkuu, Retention Value Added Fee ni ongezeko la Mkopo kwa kila mwaka na siyo hela inayokatwa kutoka kwako bali ni ongezeko linalosababisha Mkopo usiishe
 
Kumbuka hii kitu inaitwa PAYE ( Pay As You Earn )

Hilo punguzo la kodi kama hupati kima cha chini cha mshahara halikuhusu, utaendelea kukatwa 18% na kuendelea.

Ila nimpongeze Rais anaonekana no mkweki na nia ipo.

Maana nadhani kuna wengine deni la bodi limeisha leo baada ya RF ya 6% kuondolewa.

Wafanyakazi masikini kupunguziwa 1% kwenye PAYE.

Madaraja, na Ajira ( Kama itakuwa kweli )

Kwa kuanzia tu, siyo mbaya sana.
Haitoshi kuondoa retention fee angerudisha na makato yawe 9% kama ya awali sasa hapo haina maana sana
 
Serikali imepunguza kodi ya PAYE kutoka 9% na sasa itakuwa 8%

Punguzo hili litasababisha mshahara kuongezeka kadhalika kodi kwenye marupurupu imeondolewa.

Kazi Iendelee!
ILO inatambua annual leave allowance,incentive na increments,Sasa hawa wakuu wetu na uchumi uchumi wetu wa Kati wakati hata leave allowance inawakamata na bado wanakopa,balance sheet ya wapi,kama watawala wangekuwa wanaendesha kampuni,imewashinda,sijui nini na nini.
 
Back
Top Bottom