P h a r a o h
JF-Expert Member
- Mar 25, 2024
- 785
- 1,413
Biology ni ndefu, ina mambo mengi haielezeki, majina magumu magumu, mechanism za kutosha, michoro n.k🤣 🤣🤣🤣 Ila KO wangesema bios waondoe prac ungekubali kwasabu ni mzigo? Bam inamateso gani mkuu hujui hesabu Tu Io bam nmesoma as additional mathematics olevel bila calculator na nmefaulu math sio ya kila mtu na ukijua umejua kwel hip ndo Tofauti coz wanaojua math wamerelax ndo maana mnaona ni rahisi akat bam inawatoa jasho
Husabu haiishi pia usisahau ilo shule kwetu tulireport mwez wa 7 mwez wa 11 PCB na cbg walkua wanamalza bios walifanya na party Mimi apo ata sielew naanzia wapi Tupo topic ya 4 nadhani. PCB na cbg ikabak kaz ya mwanafunz kukalili notes Tu na kujifunza kujibu maswali na hapa ndo pagumu bios jinsi ya kujibu maswali kwasabu watu NI wengi wote wanataka muhimbili ndo maana wanakaza ili watu wapite kwa hakiBiology ni ndefu, ina mambo mengi haielezeki, majina magumu magumu, mechanism za kutosha, michoro n.k
inabidi uelewe na kukariri
ndo maana ni ya moto, huwezi kuifananisha na hesabu
Nipe Jibu usitumie calculatorCalculus unafanya nini na calculator? au mtihani wenu ulikua unakua machagulio?
KO apo unatia kwenye calculator unajaza jibu?🤣🤣🤣 Af izo hesabu za bam bnNipe Jibu usitumie calculator View attachment 3054445
Bado hawajaelewa rudia tena kwa kufafanua vizuriBiology ni ndefu, ina mambo mengi haielezeki, majina magumu magumu, mechanism za kutosha, michoro n.k
inabidi uelewe na kukariri
ndo maana ni ya moto, huwezi kuifananisha na hesabu
Acha upimbi leta Jibu unaleta dharau leta JibuKO apo unatia kwenye calculator unajaza jibu?🤣🤣🤣 Af izo hesabu za bam bn
Kwa law za calculus Io x^3 tafta derivative Ake then zidisha na Io function af kwny t weka x^3Nipe Jibu usitumie calculator View attachment 3054445
Nimekwambia Jibu hapo yamewekwa ABCD nipe 1 niambie hili ndio Jibu unaleta mambo yako ya trick kupakiapakia formula kwenye calculator fanya hio kavu kavu usiguse calculatorKwa law za calculus Io x^3 tafta derivative Ake then zidisha na Io function af kwny t weka x^3
Hahaaaa watani wetu ninyi kumbe""PCB sio matako kusema kila mtu anayo...""
Teacher Sanga from Njoss boys
Mzee apo kilichobaki si nikueka mbili kwenye X au?🤣🤣Nimekwambia Jibu hapo yamewekwa ABCD nipe 1 niambie hili ndio Jibu
We niekee kwny calculator ikupe jibu la apo kama haikupi math error au jibu lenye decimal yn calculus Huna hata haja ya kuwaza calculator achana na swali lako linataka jibu lipo kwny equation ambayo it means usolve uishie apoNimekwambia Jibu hapo yamewekwa ABCD nipe 1 niambie hili ndio Jibu unaleta mambo yako ya trick kupakiapakia formula kwenye calculator fanya hio kavu kavu usiguse calculator
Kuna jamaa angu alikutwa amelala kwenye kipindi cha chem 2 ....
Ilikua organic two ile mzigo wa Amine.
Teacher Sanga akaja kumwamsha alafu akamwambia hivi. ""Kijana utapa A ya chemistry """
Alafu hyo A haitamkwi kizngu ila ni kwa kiswahili ( a )
🤣🤣🤣🤣ninyi watoto wa njos walaini sana ,ilibidi mletwe Tosamaganga kiumeni pale mpate akili ,pale hata mwalimu humuoni darasani qmamae ,utajijua mwenyewe ,na akija ni kuongea useng£ useng£ halafu anapoteaKuna jamaa angu alikutwa amelala kwenye kipindi cha chem 2 ....
Ilikua organic two ile mzigo wa Amine.
Teacher Sanga akaja kumwamsha alafu akamwambia hivi. ""Kijana utapa A ya chemistry """
Alafu hyo A haitamkwi kizngu ila ni kwa kiswahili ( a )
Mboni unajitetea sana Jibu sahihi ni lipi hapo?We niekee kwny calculator ikupe jibu la apo kama haikupi math error au jibu lenye decimal yn calculus Huna hata haja ya kuwaza calculator achana na swali lako linataka jibu lipo kwny equation ambayo it means usolve uishie apo
Jibu ni nini?Mzee apo kilichobaki si nikueka mbili kwenye X au?🤣🤣
Kwny t weka x^3 KO litakua na ln 8 derivative ya X ni 3x^2 ambayo ni 12 jibu ni DMboni unajitetea sana Jibu sahihi ni lipi hapo?
Umetumia calculator tayari yaan Kiswali kidogo km hiko unakimbilia calculatorKwny t weka x^3 KO litakua na ln 8 derivative ya X ni 3x^2 ambayo ni 12 jibu ni D
Calculator gani apo nmeelezea kila kitu nlichokua nafanya au we calculator unamaanisha nini? Na nmefanya kwa kichwaUmetumia calculator tayari
Ulipokua unazuga hutoi Jibu mpaka uchezee calculatorCalculator gani apo nmeelezea kila kitu nlichokua nafanya au we calculator unamaanisha nini? Na nmefanya kwa kichwa
Mzee calculator gani inakupa jibu kwny equation? Si ungenipa kwenye decimal jibuUmetumia calculator tayari yaan Kiswali kidogo km hiko unakimbilia calculator