PCB siyo tahasusi ya mchezo

PCB siyo tahasusi ya mchezo

🤣 🤣🤣🤣 Ila KO wangesema bios waondoe prac ungekubali kwasabu ni mzigo? Bam inamateso gani mkuu hujui hesabu Tu Io bam nmesoma as additional mathematics olevel bila calculator na nmefaulu math sio ya kila mtu na ukijua umejua kwel hip ndo Tofauti coz wanaojua math wamerelax ndo maana mnaona ni rahisi akat bam inawatoa jasho
Biology ni ndefu, ina mambo mengi haielezeki, majina magumu magumu, mechanism za kutosha, michoro n.k

inabidi uelewe na kukariri
ndo maana ni ya moto, huwezi kuifananisha na hesabu
 
Biology ni ndefu, ina mambo mengi haielezeki, majina magumu magumu, mechanism za kutosha, michoro n.k

inabidi uelewe na kukariri
ndo maana ni ya moto, huwezi kuifananisha na hesabu
Husabu haiishi pia usisahau ilo shule kwetu tulireport mwez wa 7 mwez wa 11 PCB na cbg walkua wanamalza bios walifanya na party Mimi apo ata sielew naanzia wapi Tupo topic ya 4 nadhani. PCB na cbg ikabak kaz ya mwanafunz kukalili notes Tu na kujifunza kujibu maswali na hapa ndo pagumu bios jinsi ya kujibu maswali kwasabu watu NI wengi wote wanataka muhimbili ndo maana wanakaza ili watu wapite kwa haki
 
Calculus unafanya nini na calculator? au mtihani wenu ulikua unakua machagulio?
Nipe Jibu usitumie calculator
image5.jpg
 
Mi kuna jamaa zangu tumesoma wote Olvel na Alevel tukaenda shule moja, sasa huyo jamaa alikuwa PCM alikuja kuwa kilaza ajabu mpaka nikawa nashangaa imekuwaje.

Mi nilikuwa EGM, na tuliluwa na utaratibu wa kutungiana pepa za hesabu, ikabidi yule jamaa nimualike darasani kwetu! Huwezi amini mtihan ukaja akapiga sijui 15%, mpaka leo huwa najiuliza hizo PCB, PCB na Mwenzake PGM zina shida gani!
 
Biology ni ndefu, ina mambo mengi haielezeki, majina magumu magumu, mechanism za kutosha, michoro n.k

inabidi uelewe na kukariri
ndo maana ni ya moto, huwezi kuifananisha na hesabu
Bado hawajaelewa rudia tena kwa kufafanua vizuri
 
Kwa law za calculus Io x^3 tafta derivative Ake then zidisha na Io function af kwny t weka x^3
Nimekwambia Jibu hapo yamewekwa ABCD nipe 1 niambie hili ndio Jibu unaleta mambo yako ya trick kupakiapakia formula kwenye calculator fanya hio kavu kavu usiguse calculator
 
Nimekwambia Jibu hapo yamewekwa ABCD nipe 1 niambie hili ndio Jibu unaleta mambo yako ya trick kupakiapakia formula kwenye calculator fanya hio kavu kavu usiguse calculator
We niekee kwny calculator ikupe jibu la apo kama haikupi math error au jibu lenye decimal yn calculus Huna hata haja ya kuwaza calculator achana na swali lako linataka jibu lipo kwny equation ambayo it means usolve uishie apo
 
Kuna jamaa angu alikutwa amelala kwenye kipindi cha chem 2 ....
Ilikua organic two ile mzigo wa Amine.

Teacher Sanga akaja kumwamsha alafu akamwambia hivi. ""Kijana utapa A ya chemistry """

Alafu hyo A haitamkwi kizngu ila ni kwa kiswahili ( a )
Kuna jamaa angu alikutwa amelala kwenye kipindi cha chem 2 ....
Ilikua organic two ile mzigo wa Amine.

Teacher Sanga akaja kumwamsha alafu akamwambia hivi. ""Kijana utapa A ya chemistry """

Alafu hyo A haitamkwi kizngu ila ni kwa kiswahili ( a )
🤣🤣🤣🤣ninyi watoto wa njos walaini sana ,ilibidi mletwe Tosamaganga kiumeni pale mpate akili ,pale hata mwalimu humuoni darasani qmamae ,utajijua mwenyewe ,na akija ni kuongea useng£ useng£ halafu anapotea
Ila shule nyingine za serikali nyingine mamaee sana 🤣🤣🤣🤣🤣
 
We niekee kwny calculator ikupe jibu la apo kama haikupi math error au jibu lenye decimal yn calculus Huna hata haja ya kuwaza calculator achana na swali lako linataka jibu lipo kwny equation ambayo it means usolve uishie apo
Mboni unajitetea sana Jibu sahihi ni lipi hapo?
 
Back
Top Bottom