Mr Pixel3a
JF-Expert Member
- Sep 15, 2021
- 5,710
- 8,579
Labda kwa shule za Asante kikwete ila madogo wa feza wanapiga mabanda kama wao ndo marking skimMliochaguliwa combination Tajwa hapo juu Za science PCM(Engineering) na PCB(Doctor, Pharmacy etc) mjipange ,hazihitaji Ubishoo/usistaduuh..hata kidogo lasivyo mtarudi CBE miaka miwili ijayo kila la kheri..
Wananunua mitihani haoLabda kwa shule za Asante kikwete ila madogo wa feza wanapiga mabanda kama wao ndo marking skim
Hakuna kitu kama hicho tatizo mnasoma kwenye mazingira magumu mpaka kufaulu mnaona haiwezekaniWananunua mitihani hao
Izo zilikua Moto wa kuotea mbali organic namba tumeisoma😅Pcm shikamoo!!! Aisee hii kitu acha tu
Nilichek chemistry Topic form 6 zipo mbili tu, organic na inorganic!! Ila moto wake
Sure kisaikolojia wanafunz weng wa serikali hawapo vizur na wengi hawajui mbinu za kugaulu.. mtu anasoma kama chizi full kukesha matokeo yakija sasa[emoji28]Hakuna kitu kama hicho tatizo mnasoma kwenye mazingira magumu mpaka kufaulu mnaona haiwezekani
Sasa unawashauri vipi vijana Zaid ya 50 wanaoenda Pugu au Azania?Hakuna kitu kama hicho tatizo mnasoma kwenye mazingira magumu mpaka kufaulu mnaona haiwezekani
Binafsi kemia ndo ilkua uwanja wang wa kupumzikia ila hyo physics aisee.. ilkua kama swali hujawah kukutana nalo b4 af ukalikuta kwmy pepa kulipata we mtabe haswa... somo lina mambo mengi aiseeIzo zilikua Moto wa kuotea mbali organic namba tumeisoma[emoji28]
Sure wakati kusini mwa jangwa la shahara hakuna kitu kinachoitwa physics zaidi ya kukariri mafomulaSure kisaikolojia wanafunz weng wa serikali hawapo vizur na wengi hawajui mbinu za kugaulu.. mtu anasoma kama chizi full kukesha matokeo yakija sasa[emoji28]
Advance kuna jamaa alikuwa anasoma huyoo., kameza BS.Sure kisaikolojia wanafunz weng wa serikali hawapo vizur na wengi hawajui mbinu za kugaulu.. mtu anasoma kama chizi full kukesha matokeo yakija sasa[emoji28]
Na pia majasusi wengi duniani plus wanadiplomasia wa kimataifa ndio wanasomea hivi[emoji3578][emoji3578][emoji28]HKL ndio watawala.