Pedeshee maarufu kumuoa mtangazaji wa kiume

Pedeshee maarufu kumuoa mtangazaji wa kiume

Msitusahau katika ufalme wa umbea kizuri kula na wenzako

Ndo namsubir Madame B aniletee ubuyu maana nimemsubir chemba naona kimya, nimedodaje, ngoja tumsubir labda anaandaa ubuyu mzito
 
Last edited by a moderator:
KINYAIYA001.jpg
 
Nyie mapedeshee nyie sijui mnaojiita pembe la ng'ombe, mara papaa nini sijui mnajua wenyewe na mabalaa yenu uko, maana kwa kupenda sifa za kijinga hamjambo , majina yote yenu apa mjini. Mmetudhalilishia Dada zetu sana, japokuwa na wenyewe wana tamaa, mmewaaribu si mbele wala nyuma hawatamaniki, mmewachezea wee na kuwarubuni na vijumba vya mil 400 na magar badae mnawapokonya na kuwadhalilisha na kuwaacha wameshaoza.

Sasa ivi mmehamia sasa kwa wasanii na vijana wa kiume, ivi nyie wazee hamnaga vijana wa kiume uko majumbani kwenu? Mtajisikiaje mkisikia vijana wenu wanafanywa vibaya kama mnavyofanya watoto wa watu? Hata kama wana tamaa nyie si baba zao kabisa kama sio mababu?, mnawarubuni wasanii mnawapa magar mnawachokonoa wee mkiwachoka mnawapokonya.

STORY KAMILI

Kuna pedeshee mmoja maarufu tu apa mjini (jina kapuni kwa sasa) anapenda sana kuhudhuria kwenye ma club na kumwaga pesa hovyo, mweusi wa wastani ana mwili mkubwa na kitambi cha wastani. Huyo pedeshee sasa nasikia anataka kumuoa kabisa na kumuweka ndani mtangazaji maarufu apa bongo, yaani unaambiwa jamaa kashatuma watu na kuwapa laki tano kila mmoja ili wafanikishe hilo zoezi la kumpata mke huyo mtarajiwa anayemtaka.

Na huyo mtangazaji kashahaidiwa million 5 kama tu atakubali ombi la pedeshee huyo kumuweka ndani kama mkewe, sasa haijajulikana hiyo mil 5 anampa kama mahali au njia ya kumshawishi akubali kuolewa. Mtangazaji mwenyewe jina lake linaanzia na herufi B, ana urefu wa wastani, ni smart sana halafu ni mweupe na akitangaza ana mbwembwe na bashasha nyingi , huwezi kuboreka kumsikiliza na alishawahi kuhusishwa sana na scandal ya ushoga.

mkuu B na D znachanganya saana nadhan ulimaanisha anaanzia na heruf D,hahah
 
Binamu yangu, yaani nina bonge la umbea mpaka najishangaa.
Sijui nikufate chemba au niumwage hapa!!!!!!
Hahahahaha.....mjini rareeeeeeee.
Kha, mpaka naona aibu jamani.

Binami jana ndo nini kuniacha kwenye mataa mwenzio? Nimesubir chemba na umbea wangu nimeaibikaje
 
Namii nakusubirii binamuuu hata sikuoniii loooo nimeaibikajeee

Halafu si unajua inavyosisimua pale mtu anapokwambia ana umbea mzito? Yani mwili wote unasisimka mbili haikai wala tatu, mmh nyie binamu acheni masihara umbea mtamu bhana, mimi apa Madame B hadi kieleweke leo bhana
 
Last edited by a moderator:
Halafu si unajua inavyosisimua pale mtu anapokwambia ana umbea mzito? Yani mwili wote unasisimka mbili haikai wala tatu, mmh nyie binamu acheni masihara umbea mtamu bhana, mimi apa Madame B hadi kieleweke leo bhana

jamani msinisahau kwenye umbea tafadhali nawaombeni!
 
Last edited by a moderator:
jamani msinisahau kwenye umbea tafadhali nawaombeni!

Mbona usihofu binamu, apa tunamsubir source wetu Madam B, maana uo umbea ukishatua kwanza lazima niweke nazi,sukar,chumvi na pilipili mbona mtalia kwa utamu??
 
Last edited by a moderator:
Muuza Sura hebu tia ubani hapa kama hii habari inaukweli lazima utakuwa unajuwa.
sijaipata hii bab!wacha nichekeche kwa wana kama ina ukweli maana personally naweza kuwa bias..si unajua kinyaiya mwana flani japo siyo kivile
 
Back
Top Bottom