MO11
JF-Expert Member
- Mar 23, 2014
- 19,057
- 39,387
Syzeney ndio alistahili Hadi pedri alikiriUna mda gani hujaiangalia Barca unajua ni match ya ngapi hii kila siku ni man of the match?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Syzeney ndio alistahili Hadi pedri alikiriUna mda gani hujaiangalia Barca unajua ni match ya ngapi hii kila siku ni man of the match?
Naona hivyo pia,labda kwakuwa bado anakua huenda akafikia viwango vya hawa jamaa.Em waombe radhi Xavi na Iniesta. Huyo Dogo level zake ni kina Jude.
Declan rice partey na odegard huyo pedri atamuweka nani nje pale arsenalJidanganye waulize viungo wako wote unaowajua saivi pedri ni nani watakuambia
Kumbe hata haujui anacheza number ngapi 😁 uyo ana muweka nje odergard ,Jude,musiala, na viungo number 10 wote unaowajua wa sasaDeclan rice partey na odegard huyo pedri atamuweka nani nje pale arsenal
Halafu niambie iniesta asingecheza timu Gani
Huyo pedri ni aina ya veratti Marco wap ni ni kuweka kichwa sehemu ya mguu
Ndio Shida ya JF ukieleza feelings zako utasikia wivu sijui Nini ujinga mtupu.Acha wivu utakuja uolewe kama dada zako, dogo anajua
Nyie wavuta bangi wa zamani ndiyo Huwa mnadanganya watu Ronaldinho alikuwa Bora kuliko Neymar acheni bangi wazee Neymar ni mara 3 na Ronaldinho angalieni number hakuna Ronaldinho data yoyote binafsi anamzidi Neymar goals and assistAcha utani, dogo bado sana kwa hao uliowataja.
Odegard odegard odegardKumbe hata haujui anacheza number ngapi 😁 uyo ana muweka nje odergard ,Jude,musiala, na viungo number 10 wote unaowajua wa sasa
Ni mahitaji ya kocha ndo maana anakimbia sanaPedri alikimbia kilometers nyingi mno ile match na ni number 10 na walikuwa pungufu
Zidane? Pedri sio elegant wala hana quality za Zidane unless hujamuona.Hakika ukimpa jicho huyu kijana Kuna viungo wengi nusu nusu Bora wako ndani yake control na skills ni nusu ya ZIDANE kuamrisha mchezo ni XAVI dribling skills ni INIESTA mtupu
Huyu kijana kwakweli ni balaa tupu tumuombee kwa Mungu azidi kuwa fit na Bora
View attachment 3261628
Barcelona hawachezi wachezaji wa kawaidaMpira wake wa kawaida tu ila kwasababu anacheza Barcelona
We utakuwa umevuta unga unalinganisha takataka na RonaldinhoNyie wavuta bangi wa zamani ndiyo Huwa mnadanganya watu Ronaldinho alikuwa Bora kuliko Neymar acheni bangi wazee Neymar ni mara 3 na Ronaldinho angalieni number hakuna Ronaldinho data yoyote binafsi anamzidi Neymar goals and assist
HahahahahaBarcelona hawachezi wachezaji wa kawaida
Halafu watu wanaosema zidane alikuwa hatari huwa nachekaga sanaZidane? Pedri sio elegant wala hana quality za Zidane unless hujamuona.