Pedro Gonzalez Lopez (Pedri) ndani yake kuna Xavi &Iniesta and Zinadine nusu nusu ndani yake

Pedro Gonzalez Lopez (Pedri) ndani yake kuna Xavi &Iniesta and Zinadine nusu nusu ndani yake

Jidanganye waulize viungo wako wote unaowajua saivi pedri ni nani watakuambia
Declan rice partey na odegard huyo pedri atamuweka nani nje pale arsenal
Halafu niambie iniesta asingecheza timu Gani
Huyo pedri ni aina ya veratti Marco wap ni ni kuweka kichwa sehemu ya mguu
 
Declan rice partey na odegard huyo pedri atamuweka nani nje pale arsenal
Halafu niambie iniesta asingecheza timu Gani
Huyo pedri ni aina ya veratti Marco wap ni ni kuweka kichwa sehemu ya mguu
Kumbe hata haujui anacheza number ngapi 😁 uyo ana muweka nje odergard ,Jude,musiala, na viungo number 10 wote unaowajua wa sasa
 
Mfano Pedri angekua Real Madrid harafu Jude Bellingham angekua Barcelona

Ungetuletea huu uzi?
Pedri akimfanyia ubatizo Jude victor William Bellingham 😁🙌
 

Attachments

  • tweeload_2fb1b3ac.mp4
    812.5 KB
Acha utani, dogo bado sana kwa hao uliowataja.
Nyie wavuta bangi wa zamani ndiyo Huwa mnadanganya watu Ronaldinho alikuwa Bora kuliko Neymar acheni bangi wazee Neymar ni mara 3 na Ronaldinho angalieni number hakuna Ronaldinho data yoyote binafsi anamzidi Neymar goals and assist
 
Kumbe hata haujui anacheza number ngapi 😁 uyo ana muweka nje odergard ,Jude,musiala, na viungo number 10 wote unaowajua wa sasa
Odegard odegard odegard
How on earth hebu Anza kuangalia mpira sasa
 
Em waombe radhi Xavi na Iniesta. Huyo Dogo level zake ni kina Jude.
Jude hafiki ata robo alafu ndo kwanza ana 22 alafu halinganishwi nao wanasema ndani yake Kuna nusu ya hao
 
Ni mahitaji ya kocha ndo maana anakimbia sana
Hans Ile ya kukabia juu ndio sababu wanakimbia sana
Huo mchezo msije mkacheza na Liverpool
Mtaokota nyingi sana kwenye neti
Madrid anavyookotaga nyingi ndiyo Liverpool ataokota
 
Hakika ukimpa jicho huyu kijana Kuna viungo wengi nusu nusu Bora wako ndani yake control na skills ni nusu ya ZIDANE kuamrisha mchezo ni XAVI dribling skills ni INIESTA mtupu

Huyu kijana kwakweli ni balaa tupu tumuombee kwa Mungu azidi kuwa fit na Bora

View attachment 3261628
Zidane? Pedri sio elegant wala hana quality za Zidane unless hujamuona.
 
Back
Top Bottom