Pedro Gonzalez Lopez (Pedri) ndani yake kuna Xavi &Iniesta and Zinadine nusu nusu ndani yake

Pedro Gonzalez Lopez (Pedri) ndani yake kuna Xavi &Iniesta and Zinadine nusu nusu ndani yake

Pedri ni overated na huyo zidane ni overated
Zidane Sio overrated na ukitaja wachezaji 10 bora wa enzi zetu lazima huyo mtu umtaje.

Kukutafunia tafunia kama humuelewi Zidane,

Wachezaji kama Ronaldo, Messi, Mbape, Haaland etc hawa wa nahitaji Service, bila service wanakuwa wachezaji wa kawaida mfano Messi wa Psg, Ronaldo wa Man U etc.

Zidane yeye ni vice versa, akiwepo uwanjani viwango vya wenzake vinaongezeka, kuna mambo magumu anayofanya marahisi kabisa, Alikuwa ni press resistance, umbo kubwa na nguvu, anakaba, kushambulia etc. Kizazi Cha sasa hakuna mchezaji kama Zidane na ambaye angalau kwa karibu skillet zake zinafania ni Pogba ama iniesta hivi.
 
Zidane Sio overrated na ukitaja wachezaji 10 bora wa enzi zetu lazima huyo mtu umtaje.

Kukutafunia tafunia kama humuelewi Zidane,

Wachezaji kama Ronaldo, Messi, Mbape, Haaland etc hawa wa nahitaji Service, bila service wanakuwa wachezaji wa kawaida mfano Messi wa Psg, Ronaldo wa Man U etc.

Zidane yeye ni vice versa, akiwepo uwanjani viwango vya wenzake vinaongezeka, kuna mambo magumu anayofanya marahisi kabisa, Alikuwa ni press resistance, umbo kubwa na nguvu, anakaba, kushambulia etc. Kizazi Cha sasa hakuna mchezaji kama Zidane na ambaye angalau kwa karibu skillet zake zinafania ni Pogba ama iniesta hivi.
Sasa Pogba kamzidi ZIDANE kila kitu
 
Zidane Sio overrated na ukitaja wachezaji 10 bora wa enzi zetu lazima huyo mtu umtaje.

Kukutafunia tafunia kama humuelewi Zidane,

Wachezaji kama Ronaldo, Messi, Mbape, Haaland etc hawa wa nahitaji Service, bila service wanakuwa wachezaji wa kawaida mfano Messi wa Psg, Ronaldo wa Man U etc.

Zidane yeye ni vice versa, akiwepo uwanjani viwango vya wenzake vinaongezeka, kuna mambo magumu anayofanya marahisi kabisa, Alikuwa ni press resistance, umbo kubwa na nguvu, anakaba, kushambulia etc. Kizazi Cha sasa hakuna mchezaji kama Zidane na ambaye angalau kwa karibu skillet zake zinafania ni Pogba ama iniesta hivi.
Unajua Madrid mbovu ni era ya zidane ?
Juve mbovu ni ya era ya zidane
Haiwezekani wenzako wapo fainali kombe la Dunia wewe unapiga watu
Nyie huyo zidane wenu ni mchezaji mzuri ila sio kama mnavyotuaminisha

Kuhusu Messi hebu achana na Messi
Bila Messi Barcelona wameshindwa kuchukua UEFA champions league mwaka wa Tano huu
 
Unajua Madrid mbovu ni era ya zidane ?
Juve mbovu ni ya era ya zidane
Haiwezekani wenzako wapo fainali kombe la Dunia wewe unapiga watu
Nyie huyo zidane wenu ni mchezaji mzuri ila sio kama mnavyotuaminisha

Kuhusu Messi hebu achana na Messi
Bila Messi Barcelona wameshindwa kuchukua UEFA champions league mwaka wa Tano huu
Era ya Zidane ama era ya mwisho ya Zidane? Zidane kabeba UCL na La liga akiwa na Madrid, kabeba Serie A mara 2 na Juve, kabeba World Cup na Euro, in short ni wachezaji 8 tu ndio wanatambulika kushinda Makombe makubwa yote, Zidane akiwemo.

Na Makombe yote hayo Zidane hajabebwa bali yeye ndio anaibeba timu kuchukua Makombe hayo.
-kabeba World Cup Ufaransa akiwa kama Mchezaji bora na kafunga Fainali.
-Kabeba Champions league na Madrid akiwa kama Mchezaji bora na kufunga Goli la Ushindi
-Kabeba Euro na Ufaransa akiwa kama Mchezaji bora

Kwa mchezaji Bora kote Ufaransa, Italy na spain.

Toka XAVI na INIESTA waondoke Barcelona hawajabeba UCL, Baada ya hao kuondoka Messi kakaa kama misimu 5 hapo Barca bila hilo kombe, kabla ya Messi pia Barcelona walibeba Uefa. Kifupi kina XAVI ndio walitembea nalo hilo kombe kuanzia 2006 hadi 2015.
 
Era ya Zidane ama era ya mwisho ya Zidane? Zidane kabeba UCL na La liga akiwa na Madrid, kabeba Serie A mara 2 na Juve, kabeba World Cup na Euro, in short ni wachezaji 8 tu ndio wanatambulika kushinda Makombe makubwa yote, Zidane akiwemo.

Na Makombe yote hayo Zidane hajabebwa bali yeye ndio anaibeba timu kuchukua Makombe hayo.
-kabeba World Cup Ufaransa akiwa kama Mchezaji bora na kafunga Fainali.
-Kabeba Champions league na Madrid akiwa kama Mchezaji bora na kufunga Goli la Ushindi
-Kabeba Euro na Ufaransa akiwa kama Mchezaji bora

Kwa mchezaji Bora kote Ufaransa, Italy na spain.

Toka XAVI na INIESTA waondoke Barcelona hawajabeba UCL, Baada ya hao kuondoka Messi kakaa kama misimu 5 hapo Barca bila hilo kombe, kabla ya Messi pia Barcelona walibeba Uefa. Kifupi kina XAVI ndio walitembea nalo hilo kombe kuanzia 2006 hadi 2015.
Imagine huyo zidane unaemsifia kabeba makombe ya ligi kuu matatu tu huku akiwa kacheza timu kama juve na real Madrid
Elewa matatu tu
 
Era ya Zidane ama era ya mwisho ya Zidane? Zidane kabeba UCL na La liga akiwa na Madrid, kabeba Serie A mara 2 na Juve, kabeba World Cup na Euro, in short ni wachezaji 8 tu ndio wanatambulika kushinda Makombe makubwa yote, Zidane akiwemo.

Na Makombe yote hayo Zidane hajabebwa bali yeye ndio anaibeba timu kuchukua Makombe hayo.
-kabeba World Cup Ufaransa akiwa kama Mchezaji bora na kafunga Fainali.
-Kabeba Champions league na Madrid akiwa kama Mchezaji bora na kufunga Goli la Ushindi
-Kabeba Euro na Ufaransa akiwa kama Mchezaji bora

Kwa mchezaji Bora kote Ufaransa, Italy na spain.

Toka XAVI na INIESTA waondoke Barcelona hawajabeba UCL, Baada ya hao kuondoka Messi kakaa kama misimu 5 hapo Barca bila hilo kombe, kabla ya Messi pia Barcelona walibeba Uefa. Kifupi kina XAVI ndio walitembea nalo hilo kombe kuanzia 2006 hadi 2015.
Halafu Messi ni mjadala mwengine usiuingize hapa
 
Baller
 

Attachments

  • 20250308_082715.jpg
    20250308_082715.jpg
    166.6 KB · Views: 1
Imagine huyo zidane unaemsifia kabeba makombe ya ligi kuu matatu tu huku akiwa kacheza timu kama juve na real Madrid
Elewa matatu tu
Zamani ligi ilikua Competitive, Hapo Italy una AC Milan, Juve, Inter, Parma na wengineo wote wapo moto. Zidane kabeba uchezaji bora wa Dunia mara mbili akiwa na Juve na mara moja akiwa na Madrid, kama ni Kilaza Niambie wewe kwanini ashinde uchezaji bora Dunia mara 3?

Henry Unajua Kabeba Ligi mara ngap? Mara 2 tu, na anakuwa regarded kama moja ya mchezaji bora kucheza Epl,
 
Una
Zamani ligi ilikua Competitive, Hapo Italy una AC Milan, Juve, Inter, Parma na wengineo wote wapo moto. Zidane kabeba uchezaji bora wa Dunia mara mbili akiwa na Juve na mara moja akiwa na Madrid, kama ni Kilaza Niambie wewe kwanini ashinde uchezaji bora Dunia mara 3?

Henry Unajua Kabeba Ligi mara ngap? Mara 2 tu, na anakuwa regarded kama moja ya mchezaji bora kucheza Epl,
Unajua PELLE na MARADONA hawakuwahi kuchukua ballondor wakiwa wachezaji unalijua Hilo?
 
Zamani ligi ilikua Competitive, Hapo Italy una AC Milan, Juve, Inter, Parma na wengineo wote wapo moto. Zidane kabeba uchezaji bora wa Dunia mara mbili akiwa na Juve na mara moja akiwa na Madrid, kama ni Kilaza Niambie wewe kwanini ashinde uchezaji bora Dunia mara 3?

Henry Unajua Kabeba Ligi mara ngap? Mara 2 tu, na anakuwa regarded kama moja ya mchezaji bora kucheza Epl,
Career yake makombe ya ligi matatu halafu umechezea Juventus timu yenye makombe mengi Italy Kisha real Madrid yenye makombe mengi Spain halafu unatetea ??
Zidane anabaki kuwa coward namba Moja wa ufaransa mie tangu 2006 Kwa tukio lile alinikwaza sana nilikuwa nashabikia ufaransa
 
Una

Unajua PELLE na MARADONA hawakuwahi kuchukua ballondor wakiwa wachezaji unalijua Hilo?
Sababu Baloon D or ni Tuzo ya Ulaya, hivi karibuni ndio imeanza kuolewa Dunia nzima. So Wachezaji wa Zamani wa America Kusini kama Maradona na PELLE hawakuwa Eligible kupewa. Ila baada ya kufanywa Tuzo ya Dunia wakatengenezewa Tuzo zao za heshima.
 
Sababu Baloon D or ni Tuzo ya Ulaya, hivi karibuni ndio imeanza kuolewa Dunia nzima. So Wachezaji wa Zamani wa America Kusini kama Maradona na PELLE hawakuwa Eligible kupewa. Ila baada ya kufanywa Tuzo ya Dunia wakatengenezewa Tuzo zao za heshima.
Acha kubishana na watoto sasa kama mtu anakuambia Neymar ni Bora kuliko Ronaldinho bado mnabishana
 
Career yake makombe ya ligi matatu halafu umechezea Juventus timu yenye makombe mengi Italy Kisha real Madrid yenye makombe mengi Spain halafu unatetea ??
Zidane anabaki kuwa coward namba Moja wa ufaransa mie tangu 2006 Kwa tukio lile alinikwaza sana nilikuwa nashabikia ufaransa
Kwa Hio humpendi sababu ya Chuki zako binafsi na sio sababu za kimpira. Ngoja nikupe stat moja kama we unaelewa utaelewa.

Zidane kaanza mpira mwaka 1989 na kastaafu mwaka 2006.

Hawa ndio mabingwa wa Serie A toka 1989 mpaka 2006

Screenshot_20250308_120524_Chrome.jpg


Sampdoria, Napoli, Ac Milan, Lazio, Roma na Inter, Washindi 6 tofauti ndani ya miaka 17. Ligi haikua Nyepesi kwamba timu mbili ama moja tu ndio inagombania Kombe, At that time Serie A ndio ilikua Ligi bora Duniani, bora kuliko Epl, La liga etc

Hata Madrid toka Aondoke Zidane Walikaa miaka kibao hata Robo fainali ya UCL hawaijui hadi alipo kwenda Mourinho.

Na hilo kombe la Dunia 2006 unalomlaumu Zidane bila yeye Ufaransa wangefika Fainali?
 
Kwa Hio humpendi sababu ya Chuki zako binafsi na sio sababu za kimpira. Ngoja nikupe stat moja kama we unaelewa utaelewa.

Zidane kaanza mpira mwaka 1989 na kastaafu mwaka 2006.

Hawa ndio mabingwa wa Serie A toka 1989 mpaka 2006

View attachment 3263384

Sampdoria, Napoli, Ac Milan, Lazio, Roma na Inter, Washindi 6 tofauti ndani ya miaka 17. Ligi haikua Nyepesi kwamba timu mbili ama moja tu ndio inagombania Kombe, At that time Serie A ndio ilikua Ligi bora Duniani, bora kuliko Epl, La liga etc

Hata Madrid toka Aondoke Zidane Walikaa miaka kibao hata Robo fainali ya UCL hawaijui hadi alipo kwenda Mourinho.

Na hilo kombe la Dunia 2006 unalomlaumu Zidane bila yeye Ufaransa wangefika Fainali?
Chuki
Mi naenda kushangilia mpira wewe unapiga watu uwanjani

Ndio maana nakwambia Juventus ya zidane ilikuwa mbovu

Hadi Madrid ya zidane ilikuwa mbovu

Fact is fact
 
Nyie wavuta bangi wa zamani ndiyo Huwa mnadanganya watu Ronaldinho alikuwa Bora kuliko Neymar acheni bangi wazee Neymar ni mara 3 na Ronaldinho angalieni number hakuna Ronaldinho data yoyote binafsi anamzidi Neymar goals and assist
Nime-conclude kwamba hujui mpira. No wonder unamfananisha huyo dogo legends.
 
Back
Top Bottom