Pedro Gonzalez Lopez (Pedri) ndani yake kuna Xavi &Iniesta and Zinadine nusu nusu ndani yake

Pedro Gonzalez Lopez (Pedri) ndani yake kuna Xavi &Iniesta and Zinadine nusu nusu ndani yake

Hahahahaha
Kacheza umtiti mina we jamaaa
Zimepita takataka kibao hapo
Walipita halaf ikawaje? If hauko vizur huwez dumu pale. Only the best ndio wanabaki. Evn injury tu inakuchomoa
 
Point yako nn sasa
Hivi unajua kuna kipindi namba Tisa ya Barcelona alikuwa braithewat sijui takataka gani
Barcelona kumsajili mtu kama Braithwaite ni kutokana na ugumu wa uchumi aliokuwa na anaondelea kupitia Barca.

Barca ingekuwa vyema kiuchumi huyo Braithwaite wako hata benchi asingekaa.
 
Em waombe radhi Xavi na Iniesta. Huyo Dogo level zake ni kina Jude.
Mcheki mchezaji wako hapa Yuda Bolingo anavyogeuzwa na mtoto mwenye kipaji halisi.
 
Declan rice partey na odegard huyo pedri atamuweka nani nje pale arsenal
Halafu niambie iniesta asingecheza timu Gani
Huyo pedri ni aina ya veratti Marco wap ni ni kuweka kichwa sehemu ya mguu
Wewe kama sio shabiki wa Arsenal basi Madrid.
 
Ni mahitaji ya kocha ndo maana anakimbia sana
Hans Ile ya kukabia juu ndio sababu wanakimbia sana
Huo mchezo msije mkacheza na Liverpool
Mtaokota nyingi sana kwenye neti
Tunawasubiri hao Liverpool wako.
 
Halafu watu wanaosema zidane alikuwa hatari huwa nachekaga sana
Ngoja nikitulia nitawaambia kwann zidane sio kama tunavyoaminishwa
ZIDANE as number 5 career goals UCL na assist ni hazifiki 30
 
We utakuwa umevuta unga unalinganisha takataka na Ronaldinho
Mfungaji Bora Brazil mda wote anamzidi assist mbali mno gaucho Hadi skills ana mzidi mbali mno juzi tu Neymar kapiga corner ndani oya wazee wa zamani mnawajaza sana ila tukiingia field ni kina zuchu tu
 
ZIDANE anazidiwa assist na goals na kila kiungo wa sasa heshima Huwa anapewa kwa kipi alichofanya?
Nani kakuambia Zidane Anasifiwa kwa Ajili ya Magoli na Assist? Huyo Pedri unaemsifia Hajawahi kufikisha Goli 7 kwenye Msimu wa La Liga, na Assist nyingi alizowahi kufikisha La liga ni 3 je naye ni kilaza?

Kiungo akifunga ama kutoa Assist hio ni extra tu, mtu kama Zidane ni Playmaker aka Mchezeshaji, kazi yake ni kuifanya timu yake icheze, role ambayo alifanya kwa ufanisi mkubwa, kama hujui Mpira obvious utaona Zidane hajui mpira.
 
Ni mahitaji ya kocha ndo maana anakimbia sana
Hans Ile ya kukabia juu ndio sababu wanakimbia sana
Huo mchezo msije mkacheza na Liverpool
Mtaokota nyingi sana kwenye neti
Duh! Wewe hauna akili Master
 
Nilijua tu.

Ulivyoanza kuwataja Ordegad,Partey na Decran rice na kusema Pedri hawezi kuwaweka benchi nkajua wewe ni shabiki wa Arsenal.
Kwa hiyo ukiwa shabiki wa arsenal hutakiwi kuongea ukweli ?
 
Nani kakuambia Zidane Anasifiwa kwa Ajili ya Magoli na Assist? Huyo Pedri unaemsifia Hajawahi kufikisha Goli 7 kwenye Msimu wa La Liga, na Assist nyingi alizowahi kufikisha La liga ni 3 je naye ni kilaza?

Kiungo akifunga ama kutoa Assist hio ni extra tu, mtu kama Zidane ni Playmaker aka Mchezeshaji, kazi yake ni kuifanya timu yake icheze, role ambayo alifanya kwa ufanisi mkubwa, kama hujui Mpira obvious utaona Zidane hajui mpira.
Pedri ni overated na huyo zidane ni overated
 
Back
Top Bottom