Pele na Magoli yake 1,000

Pele na Magoli yake 1,000

Gautten Potten

JF-Expert Member
Joined
Aug 22, 2022
Posts
1,642
Reaction score
3,426
Najaribu kuwaza:

Haya Magoli 1000 ambayo nimekua nikiyasikia toka midomoni mwa Kaka zetu, wajomba pengine wazee na vikongwe kuhusu Pele na Magoli yake 1000 ni Chai kongwe kuwahi kutokea kwenye ulimwengu wa soka ?

Huku ndiko yalipotoka Magoli msiyoyajua kukamilisha Idadi ya Goli Mbombo Goli Buku.

Goal Machine kahenya mno kufika alipofika Mana Kuna rundo la Sheria, mifumo ya kisayansi na manedeleo mengi ktk soka kuzidi Zama za Gwiji.

Swali: Goli Buku Gwiji kazitolea wapi ?
1738829047894.jpg
 
Kila nabii na zama zake..

Binafsi pele nimemfuatilia sana, video za youtube, video zake za full game, amini nakwambia huyu mzee alikuwa fundi mnoo.

Sheria za siku hizi zimepunguza ukali wa kuvunjana, watu walikuwa wanamrukia mitama ya hatari.
Tizama game yao vs Portugal world cup ya mwaka 66 kama sikosei, alipigwa viatu vya hatari, ikabidi awe anachezea mguu wa kushoto zaidi, ila baada ya game hii akasema hawezi cheza tena world cup, ndio mwaka 1970 fifa wakaanzisha red card katika kombe la dunia.
Viwanja havikuwa rafiki sana, viatu walivyokuwa wanavaa ni mazito sio kama ya sasa na bado alifanya kitu.
Game aliyofunga goli la 1000 ilikuwa kimbembe hapo uwanjani, game ilikiwa vs vasco da gama. Alikula viatu vya hatari, ilipigwa krosi inaelekea kwake kufunga, mtu akaona usinitanie, akajifunga, akawa anaend kufunga chuma ya buku mtu akamlamba mtama, ili kama ni penati iwe anaweza akakosa, hiyo yote kulinda heshima wao wasiwe kwenye rekodi ya kufumgwa goli la 1000

Respect kwa huyu legend.

Kwangu mimi.
Pele kisha messi wengine watafata.
 
Kila nabii na zama zake..

Binafsi pele nimemfuatilia sana, video za youtube, video zake za full game, amini nakwambia huyu mzee alikuwa fundi mnoo.

Sheria za siku hizi zimepunguza ukali wa kuvunjana, watu walikuwa wanamrukia mitama ya hatari.
Tizama game yao vs Portugal world cup ya mwaka 66 kama sikosei, alipigwa viatu vya hatari, ikabidi awe anachezea mguu wa kushoto zaidi, ila baada ya game hii akasema hawezi cheza tena world cup, ndio mwaka 1970 fifa wakaanzisha red card katika kombe la dunia.
Viwanja havikuwa rafiki sana, viatu walivyokuwa wanavaa ni mazito sio kama ya sasa na bado alifanya kitu.
Game aliyofunga goli la 1000 ilikuwa kimbembe hapo uwanjani, game ilikiwa vs vasco da gama. Alikula viatu vya hatari, ilipigwa krosi inaelekea kwake kufunga, mtu akaona usinitanie, akaudaka mpira, ili kama ni penati iwe anaweza akakosa, hiyo yote kulinda heshima wao wasiwe kwenye rekodi ya kufumgwa goli la 1000

Respect kwa huyu legend.

Kwangu mimi.
Pele kisha messi wengine watafata.
1738918628278.jpg
 
Kwanza umeandika kama Khdija Kopa kimipasho mipasho tu et unaniletea habari za Romario sasa yeye hawezi kua na chuki binafsi na mwamba Pele kama wewe ulivyo nazo kwake..
Umesoma ulivyojibu
Unafikiri wewe unaweza kukosa kuwa Khadija halisi
Romaria kshikilia namba ziongee sio ubahatishaji.
 
Issue ni namba za Magoli
Kwa namba zozote mtakazompa bado pele ni balaa, nikikwambia uniletee goli hizo wanazosema hazifai kuhesabiwa utaweza? Pele kacheza game 10 hivi akiwa na timu ya jeshi na alifunga goli kati ya 10 mpaka 13 hivi, zitoe hizo..
Kuna mambo ukifuatilia utaona ni chuki tu na nongwa, mwaka 1969 anafunga goli la 1000 kwenye uwanja wa maracana vs vasco da gama, video ipo YouTube, pele alipewa cheti chenye saini ya raisi wa fifa akiwa mchezaji wa kwanza kufikisha hizo goli 1000, sasa tuseme bwana stanley rous aliyekuwa rais wa fifa wakati huo aliongopea ulimwengu?

Habari ni ndefu sana siwezi andika vyoote.

Kwa nyongeza tu pele ni mfungaji bora wa freekick namba 2 ama 3 nyuma ya fundi juninho pernambucano.
Katika game 14 za world cup kafunga goli 10 na ana assist 10,nitajie wachezaji mnao warate na pele mwenye jeuri ya kufanya hivi world cup.
 
Kwa namba zozote mtakazompa bado pele ni balaa, nikikwambia uniletee goli hizo wanazosema hazifai kuhesabiwa utaweza? Pele kacheza game 10 hivi akiwa na timu ya jeshi na alifunga goli kati ya 10 mpaka 13 hivi, zitoe hizo..
Kuna mambo ukifuatilia utaona ni chuki tu na nongwa, mwaka 1969 anafunga goli la 1000 kwenye uwanja wa maracana vs vasco da gama, video ipo YouTube, pele alipewa cheti chenye saini ya raisi wa fifa akiwa mchezaji wa kwanza kufikisha hizo goli 1000, sasa tuseme bwana stanley rous aliyekuwa rais wa fifa wakati huo aliongopea ulimwengu?

Habari ni ndefu sana siwezi andika vyoote.

Kwa nyongeza tu pele ni mfungaji bora wa freekick namba 2 ama 3 nyuma ya fundi juninho pernambucano.
Katika game 14 za world cup kafunga goli 10 na ana assist 10,nitajie wachezaji mnao warate na pele mwenye jeuri ya kufanya hivi world cup.
Hizi Ni story watu a kumbukumbu na data center wameweka ofisho matches na Magoli yake 700+ ukirudi kwa hao wanaotaja Buku wanavurugana mwengine kwenye Mechi anaongeza sita mwingine anapunguza yaani ni kukisia.

Case ni nambaz.
 
Kila nabii na zama zake..

Binafsi pele nimemfuatilia sana, video za youtube, video zake za full game, amini nakwambia huyu mzee alikuwa fundi mnoo.

Sheria za siku hizi zimepunguza ukali wa kuvunjana, watu walikuwa wanamrukia mitama ya hatari.
Tizama game yao vs Portugal world cup ya mwaka 66 kama sikosei, alipigwa viatu vya hatari, ikabidi awe anachezea mguu wa kushoto zaidi, ila baada ya game hii akasema hawezi cheza tena world cup, ndio mwaka 1970 fifa wakaanzisha red card katika kombe la dunia.
Viwanja havikuwa rafiki sana, viatu walivyokuwa wanavaa ni mazito sio kama ya sasa na bado alifanya kitu.
Game aliyofunga goli la 1000 ilikuwa kimbembe hapo uwanjani, game ilikiwa vs vasco da gama. Alikula viatu vya hatari, ilipigwa krosi inaelekea kwake kufunga, mtu akaona usinitanie, akaudaka mpira, ili kama ni penati iwe anaweza akakosa, hiyo yote kulinda heshima wao wasiwe kwenye rekodi ya kufumgwa goli la 1000

Respect kwa huyu legend.

Kwangu mimi.
Pele kisha messi wengine watafata.
Kwangu mimi CR7 kwanza wengine wanafuata
 
Hizi Ni story watu a kumbukumbu na data center wameweka ofisho matches na Magoli yake 700+ ukirudi kwa hao wanaotaja Buku wanavurugana mwengine kwenye Mechi anaongeza sita mwingine anapunguza yaani ni kukisia.

Case ni nambaz.
Swali jepesi, rais wa fifa alipotoa diploma ya kumtambua pele kafunga goli la 1000 mwaka 1969, alikuwa punguani ama, hizo namba hakuziona ama? Na pele 69 bado wa moto, na mwaka 1970 akacheza kombe lake la dunia la 4, na kuchukua kwa mara ya 3, akaja akastaafu mwaka 74 kama sikosei, kisha akaenda marekani akakipiga mpaka 77 hivi.
 
Back
Top Bottom