PELE: No doubt, Best Player in the World is Cristiano Ronaldo


HABARI NJEMA KWA BARCELONA!
Kiungo Machachari wa Club ya Paris saint Germain Muitaliano Marco Verrati Ameiambia Club yake hiyo imuachie aende zake Catalan Kujiunga na Miamba Hiyo ya Hispania! Verrati amedai kwamba Hatokuwa tayari Kucheza na ataigomea club Hiyo Kucheza katika mwanzo wa msimu Endapo itakataa kumuuza kwenda Barcelona!
Source! Goal.com

[HASHTAG]#ForcaBarca[/HASHTAG]
 
Kwahyo mchezaji bora anatafsiriwa mechi moja tu du wewe kiboko,

Kwa hiyo fact yako mkuu utakuja useme oliver giroud Ni no 9 bora pale ufaransa na hana mpinzani
 
ronaldo anajua mipira yote,wa timu na binfsi,messi ni team player tu,mfumo ukimtenga humuoni,ndomana alinuna ibrahimovic alipopewa jukumu la kumaliza,akatishia kuondoka,ikabidi shifo ibrahimovic aondoke barca
Nakupinga kwa 100%
Msimu huu Barcelona ilikuwa out of form,huyo huyo messi unayesema hayupo vizuri individual,ndie mchezaji ambaye amekuwa na performance nzuri mzuri wa 2016/2017 ulaya nzima kma Si dunia
 
B
Brother hizo stastics zako za wapi yani msimu wa 2016/2017 messi ana goals ratio ya 0.96 Ronaldo 1 duh embu fuatilia vizuri.
 
Kuishia Darasa la tatu ni Tatizo Kubwa Mno.. Kushinda Kombe la Dunia ni Kigezo ila sio Kikubwa kama unavodhani....Think out of the Box Panua Fikra..Acha uvivu wa Kufikiri....Hii ni Karne ya 21!
Huna akili kichwani humo... kwako ww kigezo kupiga chenga??? Kama ndivyo messi hata okocha hamfikii.. we ni mpumbavu tena sijawahi kuona..
 
Huna akili kichwani humo... kwako ww kigezo kupiga chenga??? Kama ndivyo messi hata okocha hamfikii.. we ni mpumbavu tena sijawahi kuona..
Messi anauchezea Mpira na kufunga,naomba uniambie huyo okocha kwenye Carrier yake yote ana magoli mangapi
 
ronaldo anajua mipira yote,wa timu na binfsi,messi ni team player tu,mfumo ukimtenga humuoni,ndomana alinuna ibrahimovic alipopewa jukumu la kumaliza,akatishia kuondoka,ikabidi shifo ibrahimovic aondoke barca

Jamaa ni complete player na ana goals nyingi kwa mguu wake zaifu(Wa kushoto) kuliko messi kwa mguu wake zaifu(Wa Kulia)... NA ANA HEADERS NYINGI MARA 4 YA MESSI...EBU WAULIZE HAO MESSI FAN BOYS KUWA LEO10 ANA GOALS NGAPI ZA HEADERS?...KAMA SI KICHEKESHO UTAKACHOPEWA HAPO.



Na hiyo ni Hadi kufikia 1 MAY 2017, lakini Hadi Sasa ana Goals za header 108...Sasa uliza Header za Messi kama zimefika ata 40 tu ni bahati...kwa jinsi hii Ronaldo anavyoruka juu DAIMA ATABAKIA KUWA MFALME WA HEADERS MESSI HAFIKII ATA AKIGEWA GOALS 50 BURE ZA HEADER...So Weak to him!



Ame destroy EPL(ENGLISH PREMIERE LEAGUE) NA SASA ANAENDELEZA UHARIBIFU WAKE KULE LALIGA!!!


 
Asiyekubali Ronaldo ni zaidi ya Messi...
1.Haujui mpira
2.Mahaba/mihemuko inamuongoza.Huyu hawezi kusema tofauti na kilichomo ndani yake (mahaba)
Kwani mchezaji bora duniani anatakiwa awe na nini
1.magoli mengi?? It means mabeki na.makipa hawaruhusiwi kuwa wachezaji bora duniani??
2.pesa nyingi??
3.mafanikio kisoka??
 
Sasa mkuu huyo zilatan mwenyewe na huyo Messi wako wote wameburuzwa...UNATEGEMEA ASEME NINI TENA???

View attachment 527631
Weka ma idadi ya mechi walizocheza pia. We umeanza kucheza miaka 2 nyuma ya mwenzako halafu unajitamba na magoli mengi
Angalia stats na goal ratio per match utaona messi yuko juu.
 
Huna akili kichwani humo... kwako ww kigezo kupiga chenga??? Kama ndivyo messi hata okocha hamfikii.. we ni mpumbavu tena sijawahi kuona..
wewee ni Shoga yaani vitu vidogo unashindwa kuelewaa? acha kupigwa Mashinee unapoteaa ahahahahaaa Ma Gay Bhana!
 
Lakini ukumbuke anasema Messi is Extraordinary...Refer Physics kaka Einstein was Genius but Newton was Extraordinary....kama Hujui Extraordinary is More than Genius ma Geniuos wapo wengi sana!

Mhhh!...hiyo yako mwenyewe me sijaona hapo Mahala amesema messi ni extraOrdinary....on other hand I salute to the Geniuses more than ExtraOrdinary Ones.
 
Mhhh!...hiyo yako mwenyewe me sijaona hapo Mahala amesema messi ni extraOrdinary....on other hand I salute to the Geniuses more than ExtraOrdinary Ones.
Basi Ahsantee kwa Kukubali kwamba Messi is EXTRAORDINARY na Ronaldo is Genious!
 
Fact afu Mzee anazeeka Vibayaa yaani Hasa kwa Huu Msimu Messi amekuwa Bora sana Kuliko Ronaldo Ukiachana Na Trophies walizoshindaa!

Pleas!..make it Clear sio BlahBlah tu...messi amekuwa bora msimu huu uliomalizika kwa lipi???...KAMA ISHU NI KUWA MFUNGAJI BORA LALIGA ATA RONALDO ALIWAHI KUWA MFUNGAJI BORA MSIMU WA 2014/2015 AKIWA NA GOALS 48 HUKU AKIWA WA PILI KWENYE ASSISTS(Alikuwa nazo 16 akizidiwa mbili tu na Messi) NA AKACHUKUA GOLDEN BOOT PIA BUT TROPHIES WALIZOCHUKUA BARCA ZILIMSAIDIA MESSI KUTWAA BALLON D'or 2015 DHIDI YA RONALDO UKIZINGATIA MADRID WALIKUWA WAMEPOTEZA VIKOMBE VYOTE MUHIMU KWA HIYO KWA UPANDE WA ACHIEVEMENTS ULIMSHUSHA SANA RONALDO MESSI ALICHUKUA VIKOMBE VINGI ZAIDI YAKE...NDIVYO HIVYO KAMA HIVI SASA KUWA MESSI AMEIBUKA KUWA MFUNGAJI BORA LALIGA 2016/2017 DHIDI YA RONALDO LAKINI VIKOMBE WALIVYOBEBA REAL VITAMSAIDIA RONALDO KUTWAA BALLON D'or 2017...nafikiri nimeeleweka vyema hapo.


 
Nakupinga kwa 100%
Msimu huu Barcelona ilikuwa out of form,huyo huyo messi unayesema hayupo vizuri individual,ndie mchezaji ambaye amekuwa na performance nzuri mzuri wa 2016/2017 ulaya nzima kma Si dunia
unajificha kwenye kichaka cha performance ya timu?!..barcelona kama timu na mfumo wao inaenda chini lakini bado mfumo unambeba messi
 
KAKA MBONA HILI LA EL CLASSICO MNAKWEPA...MESSI ALIFANYA NINI? NA ROALDO ALIFANYA NINI?

Ile mbona kawaida tu Ronaldo alishafanya...unaikumbuka na hii jinsi ukuta wenu ulivyopagawa baada ya Ronaldo kutia kambi kwenye BoX la barca???..ilimbidi pique akae chini tu na alves anafika golini tayari madhambi yameshafanywa na CRISTIANO!...lile goli Daima litabakia kwenye akili ya pique adi aende kaburini halitofutika kamwe...Cr7 alikuwa kwenye [HASHTAG]#MotoWake[/HASHTAG] bwana.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…