Halafu Lile la Messi Juzi Bernabeu Halitokaa litoke kwenye Moyo wakoIle mbona kawaida tu Ronaldo alishafanya...unaikumbuka na hii jinsi ukuta wenu ulivyopagawa baada ya Ronaldo kutia kambi kwenye BoX la barca???..ilimbidi pique akae chini tu na alves anafika golini tayari madhambi yameshafanywa na CRISTIANO!...like goli Daima litabakia kwenye akili ya pique adi aende kaburini halitofutika kamwe...Cr7 alikuwa kwenye [HASHTAG]#MotoWake[/HASHTAG] bwana.
View attachment 527703
Wewe ni Mzungu .....hahahahaaa hii Mijinga sijui inatokea wapi?
Kipindi n ikiwa kijana wa miaka 15 Niliambiwa mashabiki wa Man u (Ronaldo Fans) unganisha na wa Madrid ni mashabiki wenye mihemko na aina Fulani ya Utaahira Nilikuwa siamini ila sasa Naanza kuamini
Hahahaa Kijana unajua wewe unajificha Nyuma ya Jani Chukua stats za mechi zao zote mbona kila siku unakimbilia Hizi Record Mbili tu? embu tizama katika mechi zote kwa ujumla nan ana Goal ratio kubwa? Halafu ukipata Uje unitag!
HABARI NJEMA KWA BARCELONA!
Kiungo Machachari wa Club ya Paris saint Germain Muitaliano Marco Verrati Ameiambia Club yake hiyo imuachie aende zake Catalan Kujiunga na Miamba Hiyo ya Hispania! Verrati amedai kwamba Hatokuwa tayari Kucheza na ataigomea club Hiyo Kucheza katika mwanzo wa msimu Endapo itakataa kumuuza kwenda Barcelona!
Source! Goal.com
[HASHTAG]#ForcaBarca[/HASHTAG]
Hata hiyo ya Madrid nayo pia ni moja ya stats chache kwa cr 7 so hapo tupo drawHahahaaa izo ni stats za mechi chache lakini aliwafanya nini Madrid El Classico...ukipata Jibu Ni tag
Hili povu si la Dunia hiiDoubt isiyo na doubt hiyo siyo doubt.
Pele kajishushia heshima yake kizeeeewmbe kabisa.
Ferguson msimu huu alisema Chelsea haitakuwepo top4, maajabu Chelsea akabeba kombe kabsaaa!2014 aliambiwa ataje timu anayodhan itanyakua kombe la dunia akasema england
Mkuu kipindi kile ilikuwa inaitwa peñalty ya mwendo kasi, kutoka mlandizi mpaka unguja shoot Hilo!Yule aliyesusa baada ya kupahisha penaty kule marekani ni nani vile [emoji23][emoji23]
Ronaldo ni best in terms of energy and scoring.....ronaldo anajua mipira yote,wa timu na binfsi,messi ni team player tu,mfumo ukimtenga humuoni,ndomana alinuna ibrahimovic alipopewa jukumu la kumaliza,akatishia kuondoka,ikabidi shifo ibrahimovic aondoke barca
angalia mechi ya arsenal vs barce ambayo barce alipoteza 2-1,mechi ambayo wilshere alicheza mpira wa maisha yake,xavi anakiri hakuwahi kuwa outplayed kiasi kile,messi alikuwa mzururaji tu mule kama muuza ndiziRonaldo ni best in terms of energy and scoring.....
...Messi ni best player,scorer,play maker, creater..assister..team work..controlling...dribbling..intelligent,.. Etc
We jamaa kwa kupiga debe unawezaSio hizo tuu Ronaldo ana UNBEATEN RECORDS NYINGI DHIDI YA MESSI zikiwemo hizi...
View attachment 527705
View attachment 527708
View attachment 527714 View attachment 527709
View attachment 527718
View attachment 527720
View attachment 527732
View attachment 527740
View attachment 527741
View attachment 527742
View attachment 527743
We jamaa kwa kupiga debe unaweza
Ronaldo ni best in terms of energy and scoring.....
...Messi ni best player,scorer,play maker, creater..assister..team work..controlling...dribbling..intelligent,.. Etc
Na hapa wasipoelewa wakatafute mganga wao aliewaroga hamna namna.Mkuu tatizo sio hilo ila TUANZIE KUCHUKUA TAKWIMU ZAO WALIPOANZA KUWA WOTE PALE LALIGA maana games nyingi ambazo Ronaldo amekuwa involved bila kufunga ni zile za Man-U in EPL(Ligi ambayo ata Huyo messi wenu hawezi kwenda kwa hofu ya kupotea) ambapo Ronaldo alifunga goals 118 katika mechi 256...ila kwa pale Spain akiwa Real in LaLiga messi hagusi ata chembe...yani Ronaldo ana goals nyingi(285) kuliko michezo yote aliyocheza Laliga 265...huku messi akiwa na goals chache(349) kuliko michezo yote 382 aliyocheza LaLiga ina maana zipo games 33 ambazo messi amecheza pale laliga bila ya kufunga goli ata moja huku mwenzie RONALDO AMESHINDA KATIKA MECHI ZOTE ALIZOCHEZA LALIGA NA ANA GOALS 20+ ZAIDI YA MICHEZO ALIYOCHEZA PALE SPAIN NA NDIO MAANA RATE YA UFUNGAJI KWA RONALDO NI NZURI KULIKO MCHEZAJI YOYOTE KUWAHI KUTOKEA PALE LALIGA...ALAFU MISIMU MITANO AMBAYO MESSI EMEMZIDI RONALDO IMELETA TOFAUTI YA GOALS 64 tu(349 Goals for messi - 265 Goals for Cristiano =64 goals) kwa hiyo kuna misimu kama minne pale LaLiga messi amekuwa na wastani Wa goals 13 per season....SASA KAMA RONALDO HAJAWAI FUNGA GOALS CHACHE CHINI YA 20+ TOKEA ATUE PALE LALIGA JULY-2009 NA KAMA MSIMU WA 2014/2015 ALIWEZA KUIFUNGIA MADRID GOALS 46 ZA LALIGA INA MAANA RONALDO ANGETANGULIA MSIMU MMOJA NA NUSU PALE SPAIN IN LALIGA ANGEKUWA AMESHAMZIDI MESSI GOALS KADHAA NA KAMA ANGEANZIA SOCCER LAKE PALE SPAIN MESSI ANGEPOTEZWA VIBAYA SANA...
View attachment 527554
View attachment 527555