Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Kiongozi wa watu huchangamana na watu mitaani, hivi ndivyo walivyofanya wapigania Uhuru Maarufu wa Enzi zile
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Picha iko wapiKiongozi wa watu huchangamana na watu mitaani , hivi ndivyo walivyofanya wapigania Uhuru Maarufu wa Enzi zile
Si kawaida yako mkuu, kuandika bila kithibitisho cha usemacho!!Kiongozi wa watu huchangamana na watu mitaani , hivi ndivyo walivyofanya wapigania Uhuru Maarufu wa Enzi zile
Picha iko wapi
rudi tena pale juuPicha iko wapi
Aliyeenda ameenda mkuu , tubaki na waliopo .Kipindi kile anaenda Mwendazake kupigiwa rangi kwenye vijiwe, utasikia anajidai huyo.
Ila kwa Mbowe, ndivyo walivyofanya wapigania uhuru.
Utadhani Tanzania bado haijajitawala.
Duuh!.
Mipango ya Chadema haijawahi kufeli , tushirikiane kudai katiba mpya tuAkimaliza kuzurura atoe taarifa ya mafanikio ya hizo ziara watu tuzichambue na tuangalie mafanikio then kama kuna maboresho wakubali ushauri itawasaidia Ila wakizurura halafu muanze matusi basi endeleeni tu.
Lazima kila strategy ipimwe na tuangalie kama inalipa au hailipi kisiasa? Otherwise itakuwa yaleyale tu ya kupeana empty hopes full of lies.
Sawa Ila tusitukanane aisee vijana wanakosa busara ukitoa ushauri wanatupa matusi as if kila mtu ni CCM tuMipango ya Chadema haijawahi kufeli , tushirikiane kudai katiba mpya tu
Unafaham maana ya kuzurura?Akimaliza kuzurura atoe taarifa ya mafanikio ya hizo ziara watu tuzichambue na tuangalie mafanikio then kama kuna maboresho wakubali ushauri itawasaidia Ila wakizurura halafu muanze matusi basi endeleeni tu.
Lazima kila strategy ipimwe na tuangalie kama inalipa au hailipi kisiasa? Otherwise itakuwa yaleyale tu ya kupeana empty hopes full of lies.
As long wewe unafahamu maana yake basi utakuwa umenielewa despite ya wewe kuchagua kunyambua neno moja tu kwenye comment nzima.Unafaham maana ya kuzurura?
Yaani humuoni hapoPicha iko wapi
Kwani kaka una ugomvi na Samia ,naona toka Magufuli aende zake umekuwa hueleweki.Mungu ibariki CDM tuseme AMEN
unawezaje kumuiga mtu kama yule aiseee ?Anaiga kiki ya hayati mzee baba....