Penati nane za Rais Samia katika maslahi ya watumishi

Penati nane za Rais Samia katika maslahi ya watumishi

Binafsi namkubali sana huyu mama, ndani ya mwaka wa utawala wake nimeongezewa kiasi Cha shilingi 200,000 bila kusahau daraja.

Long live mama samia
 
Hapo kwenye kupandisha mshahara asilimia 23.3, umetudanganya mkuu! Sio kwa wafanyakazi ni kwa wale wa kima cha chini hivyo sie wenye mishahara ya kati ni chini ya hiyo ila sio sifuri. Na swala la wastaafu ilikuwa 50%, yule akaishusha hadi 25% sasa yeye kuileta hapo 33% ! Bado ameumiza watumishi wa umma. Japo haya yake ni "Bora" kuliko ya mtangulizi wake.
 
Kitu nachoamini mwezi huu mishahara itachelewa sana kutoka. Nawaza tu mchakato mzima wa hiyo increment ya 23% na masuala ya bajeti yanaweza leta hiyo changamoto ingawa sina uhakika sana
 
Lakini pia gharama za maisha zimeongezeka mara dufu
 
Think twice vinginevyo umetoroka Milembe.

1.Miradi mikubwa haikamiliki mfano bwawa la Nyerere, daraja la Busisi, SGR

2.Gharama za maisha kupaa

3.Watu wa kawaida wanafaidikaje

4....View attachment 2293331
Bwawa la Nyerere sio kama unashona kiatu wewe. Kazi inaendelea kwa umakini au unataka wafanye haraka sana?

Umewahi kwenda Rufiji kujionea??

Halafu aliyekwambia umeme wa maji ni wa uhakika ni nani??
 
Hii kauli umeifanyia utafiti wa kutosha?

Nyongeza ya mshahara kwa asilimia 23.3 kwa watumishi wote wa umma ikiwemo wa kima cha chini
 
Bwawa la Nyerere sio kama unashona kiatu boya wewe. Kazi inaendelea kwa umakini au unataka wafanye haraka sana?
Umewahi kwenda rufiji kujionea??

Alafu aliyekwambia umeme wa maji ni wa uhakika ni nani??
Umeme upi ni reliable kwa uelewa wako?
 
Hii Nchi Ina wajinga wengi sana .

Hivi 23% kwenye Inflation iliyopo Sasa inamaana gan?


Nchi ilojaa wajinga na wabinafsi, wee umezungumzia Mfanyakazi ?? Umetenga Muda wako kumtizama Mtanzania wa kawaida ,Kwa Sasa anapitia hali gani???.
 
Hii Nchi Ina wajinga wengi sana .

Hivi 23% kwenye Inflation iliyopo Sasa inamaana gan?


Nchi ilojaa wajinga na wabinafsi, wee umezungumzia Mfanyakazi ?? Umetenga Muda wako kumtizama Mtanzania wa kawaida ,Kwa Sasa anapitia hali gani???.
Toa solution
 
Toa solution
Ongeza uzalishaji wa Bidhaa ili upunguze presha kwenye mzunguko wa Bidhaa in turn utapunguza Inflation.

Mfano. JPM alipambana kuboresha na kuvipa nguv viwanda vya Ndani, alilenga nini? Nikichokisema hapo.

Achana na Umaarufu wa Mitandaoni, toa nyongeza yako Kwa wafanyakazi kimya , Hao wanaopewa Nyongeza waache ufujaji pesa ili Kuwafanya Wafanya Biashara wasijiamulie tu kupandisha Bei ya Bidhaa sababu tu wameona Kuna Pesa

Uimarishaji na Utekelezaji wa SHERIA zetu , watu wasikwepe Kodi, na Kodi hiyo isimamiwe ipasavyo kama alivyofanya JPM.

Wachumi wetu waonyeshe Ubora wao kwakua walisomeshwa na Pesa za walala hoi,. Ikiwezekana , Serikali ipeleke wachumi wetu kwenye Nchi kama za Iran, China, Urusi ,Cuba n.k wakajifunze huko ni namna gan wao Wana tackle Inflation .

Kama tutaacha Inflation izidi kua kubwa, TUTAISHIA KUA MASIKINI.
 
Kabla nlijua nishapoteza miaka kumi..Mama akaja kutufuta machozi
 
Binafsi namkubali sana huyu mama, ndani ya mwaka wa utawala wake nimeongezewa kiasi Cha shilingi 200,000 bila kusahau daraja.

Long live mama samia
Hahaha 200,000 ulivyo kichwa maji unadhani utafanyia chechote ongezeko la gharama za maisha hulifikirii! Na mikopo mnayochukuaga mnafanyia mambo yasiyo na kichwa wala miguu!
 
Back
Top Bottom