The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Kama Heading inavyosomeka,tupendekeze route Mpya ambazo zinahitaji usafiri wa mabasi kwa kuanzishwa route Mpya au kuongeza idadi ya mabasi.
Mimi napendekeza route zifuatazo,
Mbeya-Kahama via Chunya au via Dodoma.
Sumbawanga-Dodoma via Iringa.
Mbeya-Kigoma via Mpanda.
Mbeya -Musoma via Bariadi & Maswa.
Ongezeni zingine maana abiria wapo ila hakuna usafiri wa moja kwa moja, uliopo ni wa kuunga unga tuu.👇
Mimi napendekeza route zifuatazo,
Mbeya-Kahama via Chunya au via Dodoma.
Sumbawanga-Dodoma via Iringa.
Mbeya-Kigoma via Mpanda.
Mbeya -Musoma via Bariadi & Maswa.
Ongezeni zingine maana abiria wapo ila hakuna usafiri wa moja kwa moja, uliopo ni wa kuunga unga tuu.👇