Pendekeza maeneo ambayo yanahitaji route Mpya ya Usafiri Ili matajiri walete mabasi

Pendekeza maeneo ambayo yanahitaji route Mpya ya Usafiri Ili matajiri walete mabasi

Nimeona Moro-Kahama-Bukoba
Nini moro, kitu kinatoka Dar Kahama mpaka Kagera, tena kuna gari nyingi sana na kuna moja mpya na ni kali sana inaitwa Travel Partner. Angalizo gari zote from Dar to Bukoba lazima zilale Kahama, ila wakati wa kutoka Bukoba to Dar hakuna kulala popote mpaka Dar labda wewe abiria binafsi ndiyo usinzie ndani ya gari lakini gari hailali popote
 
Chalinze - Moro - Dodoma.
Chalinze - Moshi - Arusha.
Chalinze - Mwanza.
Chalinze - Mbeya.
Chalinze - Musoma.

Hivi kwanini hakuna basi zinazoanzia CHALINZE??
Sababu kuwa ni route fupi na hakuna abiria wengi so mwenye gari atapata hasara
 
Ila ingeanzia hapo ni nzuri kwa sababu ingefanya kuwe na uhakika wa usafiri muda wote, sasa hivi wakishapita jamaa wa Dar ndio basi Tena.
Huwezi kosa usafiri pale, gari za mizigo ni nyingi sana,hata ufike saa ngapi au upate safari ya ghafla muda wowote unapata usafiri sema utakuwa siyo rasmi
 
Ndani ya Dar

Mbande kisewe - Vikindu

Mbande - gongolamboto kupitia kwa Mpalange

Mbande - Kigamboni kupitia Kongowe
 
Back
Top Bottom