The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
- Thread starter
- #21
Pandeni ndege sio kwa umbali huoKagera - Mtwara kupitia Ruvuma au Dar
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pandeni ndege sio kwa umbali huoKagera - Mtwara kupitia Ruvuma au Dar
Nimeona Moro-Kahama-BukobaMoro-Kiomboi
Sioni sababu ya msingi kuzuia magari yasisafiri usikuDuh, aiseee hii ngoma waruhusu ngoma zipigwe fimbo usiku kucha
Shukrani Mpwa, nimezoea Ile Superfeo ya Songea-MwanzaSongea to Arusha via Dom kuna usafiri wa Superfeo mkuu.
Duh hii ni pori kwa PoriMasasi > Liwale > Njombe via Ifakara/Ulanga/Mahenge
Hapo Chalinze si ndio karibu kila basi linapita sasa ni ngumu kuwa na route ya kuishia hapo hapo.Chalinze - Moro - Dodoma.
Chalinze - Moshi - Arusha.
Chalinze - Mwanza.
Chalinze - Mbeya.
Chalinze - Musoma.
Hivi kwanini hakuna basi zinazoanzia CHALINZE??
Ila ingeanzia hapo ni nzuri kwa sababu ingefanya kuwe na uhakika wa usafiri muda wote, sasa hivi wakishapita jamaa wa Dar ndio basi Tena.Hapo Chalinze si ndio karibu kila basi linapita sasa ni ngumu kuwa na route ya kuishia hapo hapo.