Hajto
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 5,646
- 5,606
nauli yake si itakuwa haipungui chini ya laki 2Kagera - Mtwara kupitia Ruvuma au Dar
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nauli yake si itakuwa haipungui chini ya laki 2Kagera - Mtwara kupitia Ruvuma au Dar
Usafiri upo kila siku,tena inakomea Ikonda.Kuna route Moja fupi ila tamu sana ni ya Makete to Mbeya.....Ina Wateja wengi sana wale wagonjwa wanaoenda hospital wanapita Kitulo
wewe utakuwa muumini wa MwamposaGongo la mboto kwenda kawe via kawawa road
Naikumbuka vyema sana dahUsafiri upo kila siku,tena inakomea Ikonda.
DahMakumbusho - Mwenge - UDSM - Msewe - Kimara - Mbezi
Why akatiwa ndani?kwani hii route ina umbali gani?,nachukia mno ninaposoma comments za watu kutiana lupango ovyo ovyo tuNZURI sana, wale Jamaa wa Takbir wanatoka Kasulu wanafika Dar saa nane usiku, ngoma asubuhi inaamsha inarudi Kasulu. Kuna siku walinyoosha wakafika Kasulu saa nane usiku, hahaha the following day kufika Kaliua driver akatiwa ndani
Ile route unatakiwa ukiondoka Dar saa 12 asubuhi, Kasulu unatakiwa ufike Kesho saa nne. Kwahio unalazimika kulala Wilaya ya Kaliua Mkoa wa Tabora, wao kufika Kaliua wakaunganisha to KasuluWhy akatiwa ndani?kwani hii route ina umbali gani?,nachukia mno ninaposoma comments za watu kutiana lupango ovyo ovyo tu
Hii ruti ndefu aseeeKagera - Mtwara kupitia Ruvuma au Dar
Hii ni safari ya siku 2 kama sio 3.Kagera - Mtwara kupitia Ruvuma au Dar
Kwanini isiwezekane wakati zipo route za dar mpaka harare?Hii ni safari ya siku 2 kama sio 3.
Sidhani kama itawezekana.
Mpaka wateja wapatikane sio leo.Kwanini isiwezekane wakati zipo route za dar mpaka harare?
Hata mimi najua ndivyo ilivyo. Kama una bus unaweza kuamuwa kupita njia unazotaka iwapo ukiona kuna abiria.Mbona hakuna route zisizo na mabus.
Route uamuliwa na uwepo wa abiria.
Huko kila mtu Mungu alimpa usafiri wake, ukiweka wako hupati abiriaMuhimbili-mbinguni
Mfuko wako ndiyo unakuamulia kama upande ndege au ukae siku mbili mpaka tatu kufika uendakoPandeni ndege sio kwa umbali huo