The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
- Thread starter
- #81
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana zinaenda moja kwa moja kahama zikifika tinde zinakata kwenda kahama hazinyoishi au haziendi Shinyanya ndio zirudi kahamaNaomba kuuliza wajuzi wa route ya dodoma to kanda ya ziwa ...gari zinazo kwenda kahama huwa zinanpita shinyanga mjini ?
Dah kulikuwa na basi linaitwa KATIBA,leyland clydesdale(CD)![emoji119][emoji119]Kuna route Moja ya zamani sana Aisee hii ni Route ya Tanga-Mbeya- Sumbawanga. Hahahaah sijui wale Jamaa miaka ile waliwaza kitu Gani why Tanga to Sumbawanga? Miaka ya 1990's.... wanaenda mara moja tu kwa week
Maamuzi tu kusafiri na basi ni kwa wapenda kudadisi/kujifunza,wale ambao wakishakalia siti tu ni usingizi na akiamka ni kelele za punguza mwendo ndege zinawafaa kama mfuko unawaruhusu.Pandeni ndege sio kwa umbali huo