Pendekezo: Itungwe sheria ya upimaji wa DNA kwa mtoto. Sheria iwe lazima pindi tu mtoto anapozaliwa

Pendekezo: Itungwe sheria ya upimaji wa DNA kwa mtoto. Sheria iwe lazima pindi tu mtoto anapozaliwa

We jinsia gani ndugu!?
😂😂😂😂😂😂😂😂
Ninaongea kwa experience sio kwa kuropoka.
Kadri mwanamke unavyozidi kumpa uaminifu ndivyo kadri anavyofanya mambo chini ya kapeti.
Na kadri mwanamke unavyompa uhuru ndivyo kadri anavyovuka mipaka.
Uyo ndugu ni mwanamke, maandiko yake yanaonesha ana conflict of interest
 
Atulie yy mwenyewe akipimwa utakuta huyo anayemjua km baba yake “si baba yake” 😹
 
Rest In Peace Binti Machelina! Binafsi nilikuwa rafiki mkubwa sana wa bibi yangu. Huyu mzee alikuwa ndo DNA tester wa Ukoo! Yaani anajifanya anakubeba na kucheza na wewe ila anatazama alama zake! Binafsi naunga Mkono kabsa suala ya kupima DNA kabla wazazi hawajatia saini kwenye cheti cha kuzaliwa. Ili baba jina lake liwe kwenye hati basi kuwepo na kiambanisho cha DNA.​
 
Wamarekani wajinga tu hata ndoa zao za mikataba

Waafrika tunaamini kitanda hakizai haramu
Huo upumbavu ubakie huko huko marekani
Utakuwa umembambika mumeo watoto wewe, siyo bure, mada hapa siyo ndoa za mikataba, usituondoe kwenye ajenda, mada ni DNA
 
Rest In Peace Binti Machelina! Binafsi nilikuwa rafiki mkubwa sana wa bibi yangu. Huyu mzee alikuwa ndo DNA tester wa Ukoo! Yaani anajifanya anakubeba na kucheza na wewe ila anatazama alama zake! Binafsi naunga Mkono kabsa suala ya kupima DNA kabla wazazi hawajatia saini kwenye cheti cha kuzaliwa. Ili baba jina lake liwe kwenye hati basi kuwepo na kiambanisho cha DNA.​
Soko la kupima DNA limebuma unasaka wateja mpate pesa baada ya kuona dude lenu la kupimia DNA linaoza na kupata kutu huko maabara kwa kukosa wateja
 
Kwa taarifa yako kwetu kwa upande wa kaka tuna watoto wawili wazungu.mapacha wakati sisi weusi tulikubali kama watoto wetu kuwa kitanda hakizai haramu

Tukasema hao watoto wanafanana na bibi mzaa bibi wa bibi wa bibi alikuwa mzungu tukataifisha .Tukawa tunakisubiri kitokee kidume koko kijitokeze kiseme hao ni watoto wake tukionyeshe cha mtema kuni.Tukasema hakuna cha DNA test wala nini ni watoto wetu wa ndani ya ndoa

Tunafurahi kwenye familia yetu tuna wazungu watoto wetu
Wr ukapimwe akili siyo bure
 
Soko la kupima DNA limebuma unasaka wateja mpate pesa baada ya kuona dude lenu la kupimia DNA linaoza na kupata kutu huko maabara kwa kukosa wateja
Kwani baba kutaka kujua kama kweli mtoto ni wake ni dhambi!?? Mbona unawashambulia wanaume wenye kutaka kufanya DNA!?
 
Ukitazama kwa makini ni kama vile wanaume waliopo kwenye system wameamua kutukomoa Wanaume wenzetu......
Mpango wa ferminism nyuma ya pazia unapewa backup na wanaume wenye nguvu, hawa ferminists huku mtaani ni pawns tu wanaotangulizwa mbele kama chambo. Ferminism ni mpango wa kumpa nguvu mwanamke zaidi ya mwanaume kwenye kila nyanja ili iwe rahisi kwa wakubwa kupitisha ajenda zao binafsi kwa sababu mwanamke ni rahisi kumtikisa tofauti na mwanaume
 
Kupona kwako kwenye hili ni kwenda na mwanamke kwa machale machale Sana......ingawa si vyema lakini nyakati hizi ushetani umekuwa mwingi kuliko ubinadamu....hivyo basi kuzama kwenye penzi na kuziacha fahamu zako mbali na wewe ni Sawa kujitengenezea jahanam yako na iko siku utajua kulia kilio kikuu na hakutakuwa na wa kukubembeleza......

Siku zote za maisha yako mwanaume mwenzangu BEBA FAHAMU ZAKO.....USILEWESHWE NA MANENO MATAMU KWENYE SAUTI NZURI KAMA KASUKU........NI MTEGO HUO.....
Kila siku nawaambia vijana haya mambo bahati mbaya sana kuna mpaka wanaume wenzangu wananishambuliaga
 
Mpango wa ferminism nyuma ya pazia unapewa backup na wanaume wenye nguvu, hawa ferminists huku mtaani ni pawns tu wanaotangulizwa mbele kama chambo. Ferminism ni mpango wa kumpa nguvu mwanamke zaidi ya mwanaume kwenye kila nyanja ili iwe rahisi kwa wakubwa kupitisha ajenda zao binafsi kwa sababu mwanamke ni rahisi kumtikisa tofauti na mwanaume
Ishi sana Mkuu!
 
Kikubwa nafikri tusifanye generalization kwamba wanaume wote wanabambikiwa, wengine wamekubali kuishi na huyo mtoto kwa mapenzi makubwa tu waliyonayo kwa mama. Hii inatokea kama umemkuta my wife mke wangu yuko na mtoto! Wala haina sababu ya kumbagua maana ulijua kabisa tangu mwanzo kwamba huyo siyo wa kwako. Mama mdogo alijichanganya kwangu eti nagharamika kusomesha mtoto ambaye siyo wa kwangu akasahau na yeye kama alienda kwenye ndoa akiwa na mtoto wa mwanaume mwingine, nikamlipua ikabidi awe mdogo kama Piriton. Sijui alidhani tulivyokuwa wadogo tulikuwa hatujui.
Haujaelewa mada
 
Hivi blood crossing haiwezi fanya kazi...kujaua hii damu yangu au laah.

Afu kwanini kipimo cha DNA kimekuwa kigumu hv kuliko cha HIV
Kundi la damu halina maana, lakini wazazi wote wakiwa na blood group AB au mmoja ana AB, mwingine ana A au B, mtoto hawezi kuwa na blood group O, tofauti na hizo hali, blood group hazina maana ktk utambuzi wa mtoto.
 
Kikubwa nafikri tusifanye generalization kwamba wanaume wote wanabambikiwa, wengine wamekubali kuishi na huyo mtoto kwa mapenzi makubwa tu waliyonayo kwa mama. Hii inatokea kama umemkuta my wife mke wangu yuko na mtoto! Wala haina sababu ya kumbagua maana ulijua kabisa tangu mwanzo kwamba huyo siyo wa kwako. Mama mdogo alijichanganya kwangu eti nagharamika kusomesha mtoto ambaye siyo wa kwangu akasahau na yeye kama alienda kwenye ndoa akiwa na mtoto wa mwanaume mwingine, nikamlipua ikabidi awe mdogo kama Piriton. Sijui alidhani tulivyokuwa wadogo tulikuwa hatujui.
Swali la msingi! Je hao watoto uliomkuta nao mke wako wanatumia majina yako au majina ya baba yao?! Lakini pia ikitokea ndoa imechacha na mkaamua kutengana, hiyo emotional attachment ya mwanaume kwa hao watoto ambao sio wake, inaondokaje!?
 
Mpango wa ferminism nyuma ya pazia unapewa backup na wanaume wenye nguvu, hawa ferminists huku mtaani ni pawns tu wanaotangulizwa mbele kama chambo. Ferminism ni mpango wa kumpa nguvu mwanamke zaidi ya mwanaume kwenye kila nyanja ili iwe rahisi kwa wakubwa kupitisha ajenda zao binafsi kwa sababu mwanamke ni rahisi kumtikisa tofauti na mwanaume
Andiko lako limeyazibua masikio yangu na akili Yangu
1002297686.jpg
 
Habari wakuuu..,....

Hali ilipofikia sio kuzuri.......palipofikia tena sio kwa kuoneana aibu.......watu wanalia kwa kutoa milio wengine wanalia kwa vibration na wengine wagugumia ndani ndani......

Siku hizi kitanda kinazaa haramu kwa kuwa wanandoa wameamua kuwa wana haramu......

Kwa hali ilipofikia sio tena kufumbiana macho tuambiane ukweli wa mambo.........

Hii ni dhuruma kubwa inafanyika lakini watu wanaiona ni kawaida.......


Hili pendekezo Tu......

NB;
Mzee wa miaka 62 ajitoa uhai baada ya kugundua wanae watano aliowalea sio wa kwake......imetokea huko Kenya....
One man down
 
Back
Top Bottom