Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Weeeh tumewaheshimisha kwa kuwapa watoto halafu bado mnatusimanga! Mara paaap DNA imekosewa, ya Khamis kapewa Juma! Msitafute matatizo nyie viumbe, leeni watoto wenu.Endelea kuficha hivyo hivyo ila siku ukibainika, ukipona sana ni kuivunja familia yako, yaani hayo yatakuwa ni madhara yenye haueni kwako.