Pendekezo jIpya kuelekea amani Gaza, mezani

Pendekezo jIpya kuelekea amani Gaza, mezani

Sasa kama wamekutwa watu watano wamekufa baada ya Israel kuanza kajaza maji mahandaki means bado kuna movements nyingi zinaendelea tena sasahivi wakiwa more careful.

Issue nyingine ni lengo la Israel vita haiishi mpaka akamatwe kamanda mkuu wa Hamas lakini pia akifikiria mateka bado inakua ngumu kwake kutaka kuendelea. Bado kazi ni kubwa mbichi. Tunawaombea amani japo imeshapotea
Akifikiria na resilimali alizotumia na uchumia kuanzia kudorora ndo mambo yanakuwq magum walijua watatumia kam 2 week
 
Mpaka sasa hakuna watu siwaamini kwenye hili sakata kama Wamisri, Wasaudi, Wajordan, Waturuki na vile vi nchi vidogo vya Kiarabu kama Bahrain, UAE, Oman na Qatar.

Raia wao wapo safi sana lakini serikali zao za kidikteta, wote ni vibaraka wa Mmarekani, wao na serikali ya mazayuni hawana tofauti.
Hawa ndo wanaifanya Israeli iendele kuwa mwamba hapo middle East, na sio kwamba Israel anakitu cha maana sana
 
Naunga mkono hoja
Inatakiwa upambane tu mwenyewe msaada ukija unachukua ila ukiutegemea inakula kwako
Watu wenyewe wakuwategemea ndio hawa kina Qatar sijui turkey sijui Bahrain aan inakula kwako
Taleban walipambana kivyao nawakafanikiwa
Naamini hamas nao hawatatuangusha kwenye hili
Maana mpaka sasa licha ya kwamba wamepata madhara makubwa sana ila wameonesha mwelekeo mwema sana
Hamas kundi teule
USA kwenye hii vita amedhalilika saan kwakweli
 
Wanaume wanajichimbia mashimoni🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Unaowaongelea wewe ni hawa waliomfikisha huyu ndugu hapa?

IMG_20231225_201755.jpg
 
Mpaka sasa hakuna watu siwaamini kwenye hili sakata kama Wamisri, Wasaudi, Wajordan, Waturuki na vile vi nchi vidogo vya Kiarabu kama Bahrain, UAE, Oman na Qatar.

Raia wao wapo safi sana lakini serikali zao za kidikteta, wote ni vibaraka wa Mmarekani, wao na serikali ya mazayuni hawana tofauti.
Huwaelewi ni kwa sababu hizo ndio nchi za kiarabu atleast zina tumia akili sio mikurupuko kama Hamas. Ulitegemea hizo nchi zianze kuhemkwa kama makolo Hamas
 
Siku waarabu wakijipanga na kutokuwa vibaraka na kuwekeza kwenye jeshi Israeli ijipange ..kinachowangarimu waarabu ni ukibaraka wao na kumwamin USA eti atawafanyia kila kitu kwenye ulinzi
Waarabu wakiacha unafiq siku moja tu israhell inaondoka hapo
 
Hapo #4 wakaongezea, mazungumzo ni: "mateka wote kwa wafungwa wote ikiwamo kumalizika kwa vita."
Mkuu brazaj,

Athari ya kuruhusu mateka wote na wafungwa kwa pamoja inaweza kuwa nini? Naona kama US anajaribu kutengeneza muda zaidi, ila nafikiria athari ya kuacha mateka wote kwa pamoja wanaweza hata kuwachoma sindano au kitu chochote.

Hili la kupeana muda ni zuri linaridhisha ila bado US anahitaji kununua muda.

Nini maoni yako kuhusu hili mkuu?
 
Mkuu brazaj,

Athari ya kuruhusu mateka wote na wafungwa kwa pamoja inaweza kuwa nini? Naona kama US anajaribu kutengeneza muda zaidi, ila nafikiria athari ya kuacha mateka wote kwa pamoja wanaweza hata kuwachoma sindano au kitu chochote.

Hili la kupeana muda ni zuri linaridhisha ila bado US anahitaji kununua muda.

Nini maoni yako kuhusu hili mkuu?

1. Mkuu mambo mengine ni ya kumwachia Mungu. Beberu anaweza wachoma hata sindano yenye madhara baada ya miaka mbili.

2. All for all ilikuwa muafaka zaidi. Tatizo ni je itakuwa achieved? Kumbuka kuna karibu wafungwa wa kipalestina 10,000 huko.

3. Pia Israel anaendeleza mapigano akiamini anaweza bahatika kuwaokoa mateka hata kindondokela.
 
HAMAS pamoja n ISLAMIC JIHAD wamekataa maoendekezo ya Misri. Kwahio Mbungi inaendelea nahawa CONGO DRC yenye nuclear.
Hamas inaonekana wanajambo lao waliliplan mda sana
Hem acha tuone israhell bila nyuklia ni Kinshasa kabisaaaaa [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Jf imekua ya hovyo sana picha 99%kwangu hua hazifunguki
Sasa sijajua kama kwangu tu ama kwa. wote
Mkuu, hata kwangu picha hazifunguki kabisa. Kusema ukweli, Mode anapaswa kutuangalia kwa jicho la huruma katika suala hili, maana tumeshatoa malalamiko mengi mpaka sasa.
 
Mkuu, hata kwangu picha hazifunguki kabisa. Kusema ukweli, Mode anapaswa kutuangalia kwa jicho la huruma katika suala hili, maana tumeshatoa malalamiko mengi mpaka sasa.
Ukitumia chrome google nk inafunguka ila kwenye app inagoma
Jf imekua ya hovyo sana sasa sisi tuna download ma app ya nini kama hayafanyi kazi
Si watuache tu tutumie chrome moja kwa moja
 
Back
Top Bottom