Akifikiria na resilimali alizotumia na uchumia kuanzia kudorora ndo mambo yanakuwq magum walijua watatumia kam 2 weekSasa kama wamekutwa watu watano wamekufa baada ya Israel kuanza kajaza maji mahandaki means bado kuna movements nyingi zinaendelea tena sasahivi wakiwa more careful.
Issue nyingine ni lengo la Israel vita haiishi mpaka akamatwe kamanda mkuu wa Hamas lakini pia akifikiria mateka bado inakua ngumu kwake kutaka kuendelea. Bado kazi ni kubwa mbichi. Tunawaombea amani japo imeshapotea
Hawa ndo wanaifanya Israeli iendele kuwa mwamba hapo middle East, na sio kwamba Israel anakitu cha maana sanaMpaka sasa hakuna watu siwaamini kwenye hili sakata kama Wamisri, Wasaudi, Wajordan, Waturuki na vile vi nchi vidogo vya Kiarabu kama Bahrain, UAE, Oman na Qatar.
Raia wao wapo safi sana lakini serikali zao za kidikteta, wote ni vibaraka wa Mmarekani, wao na serikali ya mazayuni hawana tofauti.
USA kwenye hii vita amedhalilika saan kwakweliNaunga mkono hoja
Inatakiwa upambane tu mwenyewe msaada ukija unachukua ila ukiutegemea inakula kwako
Watu wenyewe wakuwategemea ndio hawa kina Qatar sijui turkey sijui Bahrain aan inakula kwako
Taleban walipambana kivyao nawakafanikiwa
Naamini hamas nao hawatatuangusha kwenye hili
Maana mpaka sasa licha ya kwamba wamepata madhara makubwa sana ila wameonesha mwelekeo mwema sana
Hamas kundi teule
Wanaume wanajichimbia mashimoni🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Huwaelewi ni kwa sababu hizo ndio nchi za kiarabu atleast zina tumia akili sio mikurupuko kama Hamas. Ulitegemea hizo nchi zianze kuhemkwa kama makolo HamasMpaka sasa hakuna watu siwaamini kwenye hili sakata kama Wamisri, Wasaudi, Wajordan, Waturuki na vile vi nchi vidogo vya Kiarabu kama Bahrain, UAE, Oman na Qatar.
Raia wao wapo safi sana lakini serikali zao za kidikteta, wote ni vibaraka wa Mmarekani, wao na serikali ya mazayuni hawana tofauti.
Ukitumia app ndio picha zinasumbua ww ingia kawaida kupitia googleJf imekua ya hovyo sana picha 99%kwangu hua hazifunguki
Sasa sijajua kama kwangu tu ama kwa. wote
Kama mazayuni yanayokaa angani na ndege zao au baharini na meli zao wakiogopa kuja fieldWanaume wanajichimbia mashimoni[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Shukran mkuuUkitumia app ndio picha zinasumbua ww ingia kawaida kupitia google
Waarabu wakiacha unafiq siku moja tu israhell inaondoka hapoSiku waarabu wakijipanga na kutokuwa vibaraka na kuwekeza kwenye jeshi Israeli ijipange ..kinachowangarimu waarabu ni ukibaraka wao na kumwamin USA eti atawafanyia kila kitu kwenye ulinzi
Mbona Netanyau ali hama nyumbani akaenda kwenye nyumba ya rafiki yake yenye mashimo.Wanaume wanajichimbia mashimoni[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mkuu brazaj,Hapo #4 wakaongezea, mazungumzo ni: "mateka wote kwa wafungwa wote ikiwamo kumalizika kwa vita."
HAMAS pamoja n ISLAMIC JIHAD wamekataa mapendekezo ya Misri. Kwahio Mbungi inaendelea nahawa CONGO DRC yenye nuclear.Waarabu wakiacha unafiq siku moja tu israhell inaondoka hapo
Mkuu brazaj,
Athari ya kuruhusu mateka wote na wafungwa kwa pamoja inaweza kuwa nini? Naona kama US anajaribu kutengeneza muda zaidi, ila nafikiria athari ya kuacha mateka wote kwa pamoja wanaweza hata kuwachoma sindano au kitu chochote.
Hili la kupeana muda ni zuri linaridhisha ila bado US anahitaji kununua muda.
Nini maoni yako kuhusu hili mkuu?
Hamas inaonekana wanajambo lao waliliplan mda sanaHAMAS pamoja n ISLAMIC JIHAD wamekataa maoendekezo ya Misri. Kwahio Mbungi inaendelea nahawa CONGO DRC yenye nuclear.
Mkuu, hata kwangu picha hazifunguki kabisa. Kusema ukweli, Mode anapaswa kutuangalia kwa jicho la huruma katika suala hili, maana tumeshatoa malalamiko mengi mpaka sasa.Jf imekua ya hovyo sana picha 99%kwangu hua hazifunguki
Sasa sijajua kama kwangu tu ama kwa. wote
HAMAS pamoja n ISLAMIC JIHAD wamekataa mapendekezo ya Misri. Kwahio Mbungi inaendelea nahawa CONGO DRC yenye nuclear.
Ukitumia chrome google nk inafunguka ila kwenye app inagomaMkuu, hata kwangu picha hazifunguki kabisa. Kusema ukweli, Mode anapaswa kutuangalia kwa jicho la huruma katika suala hili, maana tumeshatoa malalamiko mengi mpaka sasa.