Pendekezo: John Heche chukua fomu ya kungombea wenyekiti Taifa (CHADEMA) Lissu na Mbowe wote wapigwe chini

Pendekezo: John Heche chukua fomu ya kungombea wenyekiti Taifa (CHADEMA) Lissu na Mbowe wote wapigwe chini

4 7mbatizaji

JF-Expert Member
Joined
Dec 8, 2019
Posts
8,406
Reaction score
9,619
Wakuu wana jf amani ya Bwana ikawe juu yenu ,kila mmoja kwa imani yake.

Husika na mada tajwa hapo juu.

Kwa maslai mapana ya chama na kwa kuzingatia kwamba chama bado kinawaitaji mh Lissu pamoja na mhMbowe katika kuendeleza mapambano ya kuiodoa ccm madarakani, lakini pia mapambano aya bado yanamuitaji mwanachama mmoja mmoja kufanikisha hili.

Kuna uchaguzi wa Mwenyekiti taifa ndani ya chadema ambao unatarajiwa kufanyika sio mda mrefu na tiyari wanachama wameanza kutia nia kwa mjibu wa katiba ya chama, ila bado mwenyekiti wa sasa (mh Mbowe)hajatia nia ila dalili zote zinaonesha atatia nia kutetea nafasi yake.

Ikumbukwe kati ya waliotia nia ni M/mwenyekiti Mh lissu.

Sasa kutokana na kukubalika kwa hawa viongozi ndani ya chama na nje ya chama tiyari yameanza kuibuka makundi ,namanisha ya upande wa mh lissu na ya upande ya mh Mbowe jambo ambalo kwangu sioni kama ni afya kwa chama ambacho kinajiandaa kwa mapambano makali kuelekea uchaguzi mkuu 2025.

SULUHU

Kwa mara MOJA napendekeza Mh JOHN HECHE kulazimishwa ikiwa ni pamoja na wanachama kumchangia kuchukua form ya kugombea Uenyekiti taifa ( Chadema) na wanachama tumuunge mkono kwa kumpigia kura ya Ndio hasa nyie viongozi mnaopiga kura .

AIDHA : Napendekeza mh Lissu , Mh Mbowe wote kupigwa chini kwa kura ya hapana ya wajumbe wa mkutano mkuu siku ya uchaguzi , hatutaki makundi katika chama katika kipindi ichi.

Mwisho

Mh John Heche naomba chukua ujumbe huu utafakari na ufanyie kazi , wanachadema naomba muunge mkono hoja hii .
Mungu ibariki Chadema
 
Kama Heche anachukua achukue tu, lakini hakuna yoyote kujitoa, tunataka kuona demokrasia ya kweli ndani ya cdm. Tumechoka kuona sura moja wakati wote. Ikibidi kujitoa basi Mbowe ndio asiwepo maana ameshakaa miaka dahari.
 
Kama Heche anachukua achukue tu, lakini hakuna yoyote kujitoa, tunataka kuona demokrasia ya kweli ndani ya cdm. Tumechoka kuona sura moja wakati wote. Ikibidi kujitoa basi Mbowe ndio asiwepo maana ameshakaa miaka dahari.
Nakubaliana na wewe ndo maana nikaomba wajumbe siku ya uchaguzi kumuunga mkono John Heche , na kuwapigia kura ya hapana ,Mh lissu na Mbowe, period
 
Embu acha uongo wako hapa wewe.Tangia lini Lissu akakubalika ndani na nje ya CHADEMA? Lissu hana uwezo wa kuongoza CHADEMA wala hata huyo heche wako naye pia hana uwezo haya kidogo wa kuiongoza CHADEMA.Mwenye uwezo na anayestahili kuendelea kuiongoza CHADEMA ni Mwamba Mwenyewe Mbowe.
 
Cc
Embu acha uongo wako hapa wewe.Tangia lini Lissu akakubalika ndani na nje ya CHADEMA? Lissu hana uwezo wa kuongoza CHADEMA wala hata huyo heche wako naye pia hana uwezo haya kidogo wa kuiongoza CHADEMA.Mwenye uwezo na anayestahili kuendelea kuiongoza CHADEMA ni Mwamba Mwenyewe Mbowe.
Ccm safari hii mnalo ,ngoja kisimame chuma pale John Heche ndo mtajua chadema ina watu , uyo ni balaa Mbowe ,lissu hawaoni ndani , alimpa jiwe majibu mpaka akataka kuzima moto .

Safari hii ccm mmjaa kwenye 18
 
Cc
Ccm safari hii mnalo ,ngoja kisimame chuma pale John Heche ndo mtajua chadema ina watu , uyo ni balaa Mbowe ,lissu hawaoni ndani , alimpa jiwe majibu mpaka akataka kuzima moto .

Safari hii ccm mmjaa kwenye 18
Acha kujilisha upepo wewe na ujinga.Mwemyekiti ni Mbowe utake usitake.
 
Embu acha uongo wako hapa wewe.Tangia lini Lissu akakubalika ndani na nje ya CHADEMA? Lissu hana uwezo wa kuongoza CHADEMA wala hata huyo heche wako naye pia hana uwezo haya kidogo wa kuiongoza CHADEMA.Mwenye uwezo na anayestahili kuendelea kuiongoza CHADEMA ni Mwamba Mwenyewe Mbowe.
Mlete mamayenu anayewabubujisha machozi aje angongwe knock out.
 
Huwezi kuongoza chama kwa kutegemea kilimo cha ufuta
 
Wakuu wana jf amani ya Bwana ikawe juu yenu ,kila mmoja kwa imani yake.

Husika na mada tajwa hapo juu.

Kwa maslai mapana ya chama na kwa kuzingatia kwamba chama bado kinawaitaji mh Lissu pamoja na mhMbowe katika kuendeleza mapambano ya kuiodoa ccm madarakani, lakini pia mapambano aya bado yanamuitaji mwanachama mmoja mmoja kufanikisha hili.

Kuna uchaguzi wa Mwenyekiti taifa ndani ya chadema ambao unatarajiwa kufanyika sio mda mrefu na tiyari wanachama wameanza kutia nia kwa mjibu wa katiba ya chama, ila bado mwenyekiti wa sasa (mh Mbowe)hajatia nia ila dalili zote zinaonesha atatia nia kutetea nafasi yake.

Ikumbukwe kati ya waliotia nia ni M/mwenyekiti Mh lissu.

Sasa kutokana na kukubalika kwa hawa viongozi ndani ya chama na nje ya chama tiyari yameanza kuibuka makundi ,namanisha ya upande wa mh lissu na ya upande ya mh Mbowe jambo ambalo kwangu sioni kama ni afya kwa chama ambacho kinajiandaa kwa mapambano makali kuelekea uchaguzi mkuu 2025.

SULUHU

Kwa mara MOJA napendekeza Mh JOHN HECHE kulazimishwa ikiwa ni pamoja na wanachama kumchangia kuchukua form ya kugombea Uenyekiti taifa ( Chadema) na wanachama tumuunge mkono kwa kumpigia kura ya Ndio hasa nyie viongozi mnaopiga kura .

AIDHA : Napendekeza mh Lissu , Mh Mbowe wote kupigwa chini kwa kura ya hapana ya wajumbe wa mkutano mkuu siku ya uchaguzi , hatutaki makundi katika chama katika kipindi ichi.

Mwisho

Mh John Heche naomba chukua ujumbe huu utafakari na ufanyie kazi , wanachadema naomba muunge mkono hoja hii .
Mungu ibariki Chadema
Acha wana-CDM waamue sio ninye CCM.
 
Wakuu wana jf amani ya Bwana ikawe juu yenu ,kila mmoja kwa imani yake.

Husika na mada tajwa hapo juu.

Kwa maslai mapana ya chama na kwa kuzingatia kwamba chama bado kinawaitaji mh Lissu pamoja na mhMbowe katika kuendeleza mapambano ya kuiodoa ccm madarakani, lakini pia mapambano aya bado yanamuitaji mwanachama mmoja mmoja kufanikisha hili.

Kuna uchaguzi wa Mwenyekiti taifa ndani ya chadema ambao unatarajiwa kufanyika sio mda mrefu na tiyari wanachama wameanza kutia nia kwa mjibu wa katiba ya chama, ila bado mwenyekiti wa sasa (mh Mbowe)hajatia nia ila dalili zote zinaonesha atatia nia kutetea nafasi yake.

Ikumbukwe kati ya waliotia nia ni M/mwenyekiti Mh lissu.

Sasa kutokana na kukubalika kwa hawa viongozi ndani ya chama na nje ya chama tiyari yameanza kuibuka makundi ,namanisha ya upande wa mh lissu na ya upande ya mh Mbowe jambo ambalo kwangu sioni kama ni afya kwa chama ambacho kinajiandaa kwa mapambano makali kuelekea uchaguzi mkuu 2025.

SULUHU

Kwa mara MOJA napendekeza Mh JOHN HECHE kulazimishwa ikiwa ni pamoja na wanachama kumchangia kuchukua form ya kugombea Uenyekiti taifa ( Chadema) na wanachama tumuunge mkono kwa kumpigia kura ya Ndio hasa nyie viongozi mnaopiga kura .

AIDHA : Napendekeza mh Lissu , Mh Mbowe wote kupigwa chini kwa kura ya hapana ya wajumbe wa mkutano mkuu siku ya uchaguzi , hatutaki makundi katika chama katika kipindi ichi.

Mwisho

Mh John Heche naomba chukua ujumbe huu utafakari na ufanyie kazi , wanachadema naomba muunge mkono hoja hii .
Mungu ibariki Chadema
Hii ni akili kubwa ambayo inapaswa kutumika, ili M/Kiti Taifa na Makamu wake wakae pembeni ili makada wengine wapya wachukue hatamu. Kiriba kipya hutunza mvinyo mpya.

Kamwe, mvinyo wa kale hauwezi kutunzwa katika kiriba kipya. Busara ikichukua mkondo wake, wote Mh. Mbowe na Mh. Lissu wanapaswa kukaa pembeni ili kiongozi mpya apate kukiongoza harakati mpya, na chachu mpya ya mapambano dhidi ya CCM.

Mapungu ya waheshimiwa hawa ni pigo kwa demokrasia nchini, na pia ni mzigo mzito kwa CDM katika kujitambulisha kwake mbele ya umma.
 
Kuwa Heche anahitaji kuchangiwa ili agombee uenyekiti awe Chairman ambaye hawezi/ hana maarifa ya kupata pesa ya fomu labda kama ni mapenzi.
I wonder wana- CHADEMA mnasigina hata kusahau kufanya kazi za chama kwani Mh. MBOWE katangaza kugombea how do you know kama yupo side ya Mh. LISSU. Wale mnaomshambulia Lissu kisa MBOWE kesho akisema hagombei mtahama chama au mtaacha kufanya siasa? Kwani Lissu kuwa Chairman kuna shida gani? MBOWE we know him years over years, amekuwa chairman wengine tukiwa primary hadi Leo tunaingia kwenye vikao vya wazee he has had good time as chairman so let's others lead if possible.

Sioni maana watu mlioaminika mnatupiana vijembe na matusi kisa MBOWE na Lissu, ninachojua wote ni top leaders MBOWE 2005 aligombea Urais wa Nchi pia Lissu 2020 aligombea wote almost share the same hegemony & hierarchy. I hate the statements from Lema & Heche " oòoooh Watanzania wapo busy kushangilia Simba na Yanga" so washangilie this idiotic, hates , shambolic & mockery politics.

Ushauri wangu viongozi wa CHADEMA na wafuasi wao punguzeni ujuaji maana nyie kila kitu mnakijua be ignorant sometimes to earn positive energy from even illite people, they've something special..
 
Ni pendekezo la hovyo lisilo na maana kiasi cha kulileta kwa watu wenye akili za kufikiria vizuri...

Wapigwe chini kwa njia gani iwapo uchaguzi wenyewe haujafanyika...?

Mimi nilifikiri, kama mapenzi yako wewe yako kwa mtu anayeitwa John Heche na ungependa awe ndiye kiongozi wenu, basi ungemshauri aingie kwenye kinyang'anyiro hiki cha kidemokrasia ashindane na wenzake kwa hoja na mipango yake aliyonayo kukipeleka chama mbele zaidi na zaidi....

Hizi purukushani zinazoendelea ndani ya CHADEMA zinazochochewa na joto la uchaguzi, ni ishara kuwa chama kina afya, kimekua na kina uhai mkuu....

Kwa hiyo, katika msimu wa uchaguzi, kuwa na mawazo ya wanachama yanagongana na kulenga kuboresha chama, ni afya sana na mwisho mawazo mchanganyika haya, atapatikana aliye na mawazo bora zaidi ya wenzake kwa manufaa ya chama na huyo ndiye atapata nafasi ya kukiongoza chama....

Kwa hiyo, acheni hofu. Ondoeni wasiwasi. Haya yanayoendelea ndiyo matunda ya uhuru na demokrasia ndani ya chama...

Huko CCM na vyama vingine vya siasa huwezi kuona purukushani kama hizi. Huko kwa wenzenu hawa (CCM) wakiwa na kitu wanachokiita "uchaguzi", mtashitukia tu kuwa chama kimempa uenyekiti ndugu X na wengine huku nje mnabaki mnashangaa tu na kujiuliza, kwani ilikuwaje? Aligombea na nani....nk

Kwa hiyo, rafiki, hizi struggle zinazoendelea si za kuwatia hofu bali ni za kushangilia na kuwaonesha kuwa chama chenu kimekua na kipo hai zaidi ya uhai wenyewe...!!
 
Back
Top Bottom