Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Dhahiri !
basi chadema na ukawa kwa ujumla inabidi wajitathmini inakuaje kuaje wanatoa maboko kiasi hikiDhahiri !
John Mrema atachaguliwa kwa kura nyingi hasa wakati huu Mbatia kaelekea upande wa pili.
mbona kamka huyu ni mammy yako? nisamehe kama nimemchanganya sura. Samahani sana, acha udhalilishaji wa waqzazi wako
Uzi huu ni sehemu ya kujitathminibasi chadema na ukawa kwa ujumla inabidi wajitathmini inakuaje kuaje wanatoa maboko kiasi hiki
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbatia ni puppet
Hypocrite
Kwani Mrema yuko upande gani?John Mrema atachaguliwa kwa kura nyingi hasa wakati huu Mbatia kaelekea upande wa pili.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeuliza yuko upande gani? Maana yeye ni CCM toka enzi za Jakaya
Hai wanamtaka Ole Sabaya. Arusha Jiji wao ni Mrisho Gambo tu!Iko haja sasa ya Mkuu wa Itifaki wa Chadema kuchukua uwakilishi wa Wananchi wa Vunjo wanaomuamini na ambao walimtaka tangu 2015 .
John Mrema ndio chaguo la Vunjo tangu awali lakini alikaa kando kutokana na kuheshimu makubaliano ya UKAWA , kwa faida ya wadau ni kwamba kama huyu jamaa akiamua kukubaliana na pendekezo langu la kuingia kwenye kinyang'anyiro cha ubunge wa Vunjo , basi bila shaka atashinda kwa kishindo na hakuna wa kumzuia
Wakati umefika sasa kwa wananchi wa Vunjo kupata Mbunge wa kisasa mwenye fikra chanya zinazoenda na wakati
Unamfahamu John Mrema kweli ?Nimeuliza yuko upande gani? Maana yeye ni CCM toka enzi za Jakaya
Hata akigombea hatashinda!Iko haja sasa ya Mkuu wa Itifaki wa Chadema kuchukua uwakilishi wa Wananchi wa Vunjo wanaomuamini na ambao walimtaka tangu 2015 .
John Mrema ndio chaguo la Vunjo tangu awali lakini alikaa kando kutokana na kuheshimu makubaliano ya UKAWA , kwa faida ya wadau ni kwamba kama huyu jamaa akiamua kukubaliana na pendekezo langu la kuingia kwenye kinyang'anyiro cha ubunge wa Vunjo , basi bila shaka atashinda kwa kishindo na hakuna wa kumzuia
Wakati umefika sasa kwa wananchi wa Vunjo kupata Mbunge wa kisasa mwenye fikra chanya zinazoenda na wakati
Shetani hajawahi kumshinda MunguHata akigombea hatashinda!
Safari hii chadema hamtapata kitu.
muda utasema