Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Iko haja sasa ya Mkuu wa Itifaki wa Chadema kuchukua uwakilishi wa Wananchi wa Vunjo wanaomuamini na ambao walimtaka tangu 2015 .
John Mrema ndio chaguo la Vunjo tangu awali lakini alikaa kando kutokana na kuheshimu makubaliano ya UKAWA , kwa faida ya wadau ni kwamba kama huyu jamaa akiamua kukubaliana na pendekezo langu la kuingia kwenye kinyang'anyiro cha ubunge wa Vunjo , basi bila shaka atashinda kwa kishindo na hakuna wa kumzuia
Wakati umefika sasa kwa wananchi wa Vunjo kupata Mbunge wa kisasa mwenye fikra chanya zinazoenda na wakati
John Mrema ndio chaguo la Vunjo tangu awali lakini alikaa kando kutokana na kuheshimu makubaliano ya UKAWA , kwa faida ya wadau ni kwamba kama huyu jamaa akiamua kukubaliana na pendekezo langu la kuingia kwenye kinyang'anyiro cha ubunge wa Vunjo , basi bila shaka atashinda kwa kishindo na hakuna wa kumzuia
Wakati umefika sasa kwa wananchi wa Vunjo kupata Mbunge wa kisasa mwenye fikra chanya zinazoenda na wakati
