Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni ngumu sana, labda wagawanywe matita matita huko huko kwenye nchi za mashariki ya kati.Mapori bado ni mengi duniani ( ingawa yana wenyewe) be it in Africa, Asia, Europe and Americas wapalestina wahamishiwe huko na kusaidiwa kuji establish as a new state! Sounds ridiculous, but can work!
Nalo hili linawezekana. Ni waislamu wenzao, kuwapokea wenzao waislamu very much possible kuliko haya mateso wanayoyapata. Kwani wako wangapi? Nchi za kiarabu ziko ngapi? Unawagawanya katika waislamu wenzao.... and the deal is done!ni ngumu sana,
labda wagawanywe matita matita huko huko kwenye nchi za mashariki ya kati
***** ile ni Ardhi Yao na Kuna urithi wao. Hao Washenzi waliotokea Ulaya Wayahudi ndio wahame au warudi walikotoka.Mapori bado ni mengi duniani ( ingawa yana wenyewe) be it in Africa, Asia, Europe and Americas wapalestina wahamishiwe huko na kusaidiwa kuji establish as a new state! Sounds ridiculous, but can work!
Vema, toa sababuWazo lako siliungi Mkono mkuu.
Asante.
sure,Nalo hili linawezekana. Ni waislamu wenzao, kuwapokea wenzao waislamu very much possible kuliko haya mateso wanayoyapata.Kwani wako wangapi? nchi za kiarabu ziko ngapi? Unawagawanya katika waislamu wenzao.... and the deal is done!
unaanza kurusha makombora ya manenoeeSolution ni Wayahudi wapeww Uganda kama ulivyokuwa mpango wa Zamani. Au Si vibaya Waisrael wakapewa wilaya ya Ngorongoro ili waache fujo zao za kuuaua watu huko Palestine.
Lazima watajikusanya na kurudi palepale.Nalo hili linawezekana. Ni waislamu wenzao, kuwapokea wenzao waislamu very much possible kuliko haya mateso wanayoyapata.Kwani wako wangapi? nchi za kiarabu ziko ngapi? Unawagawanya katika waislamu wenzao.... and the deal is done!
Why not Jews?Mapori bado ni mengi duniani ( ingawa yana wenyewe) be it in Africa, Asia, Europe and Americas wapalestina wahamishiwe huko na kusaidiwa kuji establish as a new state! Sounds ridiculous, but can work!
Sasa mkuu bora wakubali tu yaishe. Hata kama wakosaji ni Israel lakini wenzao wana kila kitu cha kuwatwanga. Heri nusu shari kuliko shari kamili. Ni uungwana pia kumuepuka adui. Si dhambi kumkimbia mdhalimu. Wapalestina hawana ubavu kushindana nao hao Israel na wafadhili wake. Wakubali tu yaishe hakuna namna. La sivyo wataendelea kuteswa miaka kadiri. Wangelikua na teknolojia kama wenzao wangepambana.***** ile ni Ardhi Yao na Kuna urithi wao.Hao Washenzi waliotokea Ulaya Wayahudi ndio wahame au warudi walikotoka.
Kwenye maisha Kuna mambo 2, kuzaliwa na kufa.Sasa mkuu bora wakubali tu yaishe. Hata kama wakosaji ni Israel lakini wenzao wana kila kitu cha kuwatwanga. Heri nusu shari kuliko shari kamili. Ni uungwana pia kumuepuka adui. Si dhambi kumkimbia mdhalimu. Wapalestina hawana ubavu kushindana nao hao Israel na wafadhili wake. Wakubali tu yaishe hakuna namna. La sivyo wataendelea kuteswa miaka kadiri. Wangelikua na teknolojia kama wenzao wangepambana.
Kimsingi Jews ndio walipaswa kuhama.Why not Jews?