Pendekezo la Kidiplomasia: Diamond Platnumz Apewe Pasi ya Kibalozi (kama hana)

Pendekezo la Kidiplomasia: Diamond Platnumz Apewe Pasi ya Kibalozi (kama hana)

Mzee naona unazeeka kwa kasi. Unajua vigezo vya hiyo Diplomatic Passport? Sio njugu zile kwamba kila mtu anaweza pewa.

Unafikiri kwa nini Samata, Hashim Thabit, n.k hawajapewa hiyo pasi?

Unforgetable
Hivi we jamaa wakati unaandika haya ulikuwa unakula?
Samatta na Hashim Thabit wote wawili ukiwaunganisha wanaufikia umaarufu wa Diamond platnumz?
.
Thabit akienda Kenya tu hapo kuna mtu anamjua?
Samatta Sudan tu hapo ya kusini kuna mtu anamjua?
Makande mabaya sana
 
Mkuu umekula mlenda ulochacha au , hopless kabisa ani ila naheshimu mawazo yako finyu
 
Asee!Nahisi mimi ndo nazeeka kwa kasi sana!Diamond huyu huyu?Kwa muziki upi?
Ila hadi we Mzee unamkubali hivyo,nahisi kwangu sio uzee tu,huenda hata akili zangu zimevurugwa!
Sijawahi kuburudika vilivyo na Diamond,ninachokiona nyimbo zake zilikuwa zinabebwa sana na clouds kiasi kwamba ukilala Diamond,ukiamka Diamond hadi akili inalazimishwa kuzizoea!
Kwa maoni yako kwangu ni kali ya kufunga mwaka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asee!Nahisi mimi ndo nazeeka kwa kasi sana!Diamond huyu huyu?Kwa muziki upi?
Ila hadi we Mzee unamkubali hivyo,nahisi kwangu sio uzee tu,huenda hata akili zangu zimevurugwa!
Sijawahi kuburudika vilivyo na Diamond,ninachokiona nyimbo zake zilikuwa zinabebwa sana na clouds kiasi kwamba ukilala Diamond,ukiamka Diamond hadi akili inalazimishwa kuzizoea!
Kwa maoni yako kwangu ni kali ya kufunga mwaka.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ani haka kazee bwana itakua kapo kanaota tu anadhani wanapewa tu kama karanga
 
Unazijua jumbe za kibalozi? Unajua hizo jumbe utaratibu wake? Unaijua vizuri Diplomatic Pass mzee? Labda apewe tu ubalozi wa utalii... Dip Pass sio kitu simple kama unavyohisi! Zile sio njugu Mkuu
 
Asee!Nahisi mimi ndo nazeeka kwa kasi sana!Diamond huyu huyu?Kwa muziki upi?
Ila hadi we Mzee unamkubali hivyo,nahisi kwangu sio uzee tu,huenda hata akili zangu zimevurugwa!
Sijawahi kuburudika vilivyo na Diamond,ninachokiona nyimbo zake zilikuwa zinabebwa sana na clouds kiasi kwamba ukilala Diamond,ukiamka Diamond hadi akili inalazimishwa kuzizoea!
Kwa maoni yako kwangu ni kali ya kufunga mwaka.

Sent using Jamii Forums mobile app
Utaona kuwa sijasema miye ni shabiki wa muziki wake; as a matter of fact; muziki wake mwingi ni copy and paste au ni ule ule unazungushwa na maneno tofauti tu.. angekuwa na bendi yake inayopiga muziki ndio level yake ingezidi kuwa tofauti
 
Tanzania; A Failed State.

Ndege mnaandika HAPA KAZI TU.

WAKENYA wanaandika NGORONGORO CRATER/ MOUNT KILIMANJARO.

Halafu mnakuja na ujinga usiokuwa na maana yoyote.
 
Hebu waelezeeni Watoto historian za wakina John Stephen akhwari Acheni kuwashobokeaa wakata viuno mziki yao inhamasisha ushg tu

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
Angekuwa anapiga muziki na kuutangaza wa kitanzania ningeunga mkono. Muziki anaopiga ni wa kuungaunga kutoka vyanzo mbali mbali. Tuna mambo muhimu ya kufanya na si huu ujinga. Hizo diplomatic passport wapewe watu wenye kufanya vitu vya maana na siyo zitolewe kama pipi.
 
Ali kina ndio anafaa kuwa na passport diplomatic na sio diamond kwa sababu Ali kina Ana record nzuri na sio mtu was a media za kiki
 
Tanzania; A Failed State.

Ndege mnaandika HAPA KAZI TU.

WAKENYA wanaandika NGORONGORO CRATER/ MOUNT KILIMANJARO.

Halafu mnakuja na ujinga usiokuwa na maana yoyote.
IMG_20191220_193928.JPG
 
Back
Top Bottom