Pendekezo la Kidiplomasia: Diamond Platnumz Apewe Pasi ya Kibalozi (kama hana)

Pendekezo la Kidiplomasia: Diamond Platnumz Apewe Pasi ya Kibalozi (kama hana)

mkuu niko na maswali wawili tu kwako 1-je umesoma au elimu yako ni kiasi gani, la7, from 4,6 au pengine degrees au, 2-je wajua ni kwanini diplomatic passport hutolewa na ni kina nani wanastahili kupewa?????
 
Angekuwa anapiga muziki na kuutangaza wa kitanzania ningeunga mkono. Muziki anaopiga ni wa kuungaunga kutoka vyanzo mbali mbali. Tuna mambo muhimu ya kufanya na si huu ujinga. Hizo diplomatic passport wapewe watu wenye kufanya vitu vya maana na siyo zitolewe kama pipi.
Kweli kabisa!
Tunapenda ku entertain ujingaujinga
Itatokea siku sanchy naye watasema apewe hyo vip pport

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimeamini watu wanao support ushoga wana kampeni kali sana!

Serikali hii inayopinga ushoga mnataka i support kwa siri wale wanaowezesha hiyo biashara?!!!
Tunajua ana support kubwa sana ya wapenda michezo michafu huko nje,hiyo inatosha msilazimishe serikali ijitie unajisi!
Huyo jamaaa tumwacheni Tu anawa-outclass watu vibaya mno , naishaur serikali impe support kimya kimya mana wakifanya public kuna watu Wana roho mbaya Sana watamharibia kijana wa watu , hasa clouds na genge lao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umeshasoma masharti ya nani anaweza kupewa pasi ya kibalozi? usidhani nimekurupuka tu.. ndio tatizo la stori za vijiweni hizo.
kama umesoma vizuri kisha umekuja na haya mapendekezo basi naamini umeamua kufanya utani tu na kuchangamsha jukwaa.
 
hahahahahahaha..walikuanazo kitambo sana mara paaap wauza ngada..
 
Always to the point. Sio Diamond peke yake na wanamuziki wengine vile vile. Serikali inaweza kuona wapo wachache tu wenye huo uwezo, Harmonize aka Konde boy, Ali Kiba,etc. wale wanamuziki wote ambao wanakwenda nje kwenye mashindano nk watambuliwe na diplomatic passport. Vile vile wafanyi biashara wakubwa ambao kiwango cha biashara yao kipo kikubwa sana Bharesa, Mo Dewji etc.

Hata kiwango kinaweza kuwekwa yaani biashara yako ikifika kiasi flani au unalipa kodi kiwango flani kwa mwaka basi unapewa heshima hiyo ya diplomatic pass na unaambiwa utaratibu na sheria zake.
 
Mkuu tumuweka diamond wapi apo ili apatiwe hiyo Diplomatic pass
Screenshot_20191220-202042_OneDrive.jpeg
Screenshot_20191220-202047_OneDrive.jpeg
 
Mzee naona unazeeka kwa kasi. Unajua vigezo vya hiyo Diplomatic Passport? Sio njugu zile kwamba kila mtu anaweza pewa.

Unafikiri kwa nini Samata, Hashim Thabit, n.k hawajapewa hiyo pasi?

Unforgetable
Silly!!

Hopeless idea from a dying horse!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Hebu waelezeeni Watoto historian za wakina John Stephen akhwari Acheni kuwashobokeaa wakata viuno mziki yao inhamasisha ushg tu

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu umekula mlenda ulochacha au , hopless kabisa ani ila naheshimu mawazo yako finyu
Asee!Nahisi mimi ndo nazeeka kwa kasi sana!Diamond huyu huyu?Kwa muziki upi?
Ila hadi we Mzee unamkubali hivyo,nahisi kwangu sio uzee tu,huenda hata akili zangu zimevurugwa!
Sijawahi kuburudika vilivyo na Diamond,ninachokiona nyimbo zake zilikuwa zinabebwa sana na clouds kiasi kwamba ukilala Diamond,ukiamka Diamond hadi akili inalazimishwa kuzizoea!
Kwa maoni yako kwangu ni kali ya kufunga mwaka.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ani haka kazee bwana itakua kapo kanaota tu anadhani wanapewa tu kama karanga
Unazijua jumbe za kibalozi? Unajua hizo jumbe utaratibu wake? Unaijua vizuri Diplomatic Pass mzee? Labda apewe tu ubalozi wa utalii... Dip Pass sio kitu simple kama unavyohisi! Zile sio njugu Mkuu
Toka kwenye serious topics zinazogusa maslahi ya uma mpaka huu upuuzi,.. Mzee mwanakijiji ni [emoji706][emoji706][emoji706].

Sent using Jamii Forums mobile app
Naona Mlinga anaanza kupata sapoti kwa mawazo yake japo wengi walimdhihaki.

Mimi mwenyewe naunga mkono Taifa inabidi limfanyie kitu Diamond.
Mzee Mwanakijiji


Sent using Jamii Forums mobile app

Kweli kabisa!
Tunapenda ku entertain ujingaujinga
Itatokea siku sanchy naye watasema apewe hyo vip pport

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app

Daah wakuu mna roho za korosho Sana, au Kwa sababu ni mwanamziki hajapitia vidato,? nyie na elimu zenu mmefanya kipi kuitangaza tz zaidi ya kulalamikia uonhozi wa Maghufuli, huko mliko Tanzania inajulikana vip kulingana na uwepo wenu??
Diamond Kwa kidog alicho nacho pamoja na kuwa mnamshutumu anahamasisha ushoga na kuimba matusi ameifanya hii nchi ijulikane Sana tuu , hata kwenye pato la taifa ni mmoja wa watu wanaofanya vizur Sana na huenda wote mnaomshutumu hapa anawakimbiza Kwa kuingiza mapato TRA,

Acheni hzo roho Bana...!! Keshokutwa mwanamziki P-didy toka USA anaenda kupewa tuzo kubwa Tu ya heshima Kwa mambo aliyofanya , kwetu huku mtu akifanya vizur kisa hajasoma Physics na paper economy bas hafai....

Labda kama Hana sifa lakn kama anayo the guy deserve it
 
Kuna conference nilihudhuria mwaka 2017 nikasema natokaa Tz wa Zimbabwe wa South wanasema we know Diamond Platnumz
Mpira umetushinda, Michezo yote imetushinda mziki wetu pia ulikuwa na vipaji kibao uko nyuma ila tulishindwa ila Diamond kaonyesha uthubutu mkubwa nakuunga mkono mziki unaweza zaidi kututangaza kuliko kitu chochote kwa sasa.

kuna kipindi nilikuwa south nilikutana na jamaa mmoja baada ya kujitambulisha natoka tz alinambia kule anakotoka Diamond na Nyerere? nikamjibu ndio kuna jambo nilijifunza.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Daah wakuu mna roho za korosho Sana, au Kwa sababu ni mwanamziki hajapitia vidato,? nyie na elimu zenu mmefanya kipi kuitangaza tz zaidi ya kulalamikia uonhozi wa Maghufuli, huko mliko Tanzania inajulikana vip kulingana na uwepo wenu??
Diamond Kwa kidog alicho nacho pamoja na kuwa mnamshutumu anahamasisha ushoga na kuimba matusi ameifanya hii nchi ijulikane Sana tuu , hata kwenye pato la taifa ni mmoja wa watu wanaofanya vizur Sana na huenda wote mnaomshutumu hapa anawakimbiza Kwa kuingiza mapato TRA,

Acheni hzo roho Bana...!! Keshokutwa mwanamziki P-didy toka USA anaenda kupewa tuzo kubwa Tu ya heshima Kwa mambo aliyofanya , kwetu huku mtu akifanya vizur kisa hajasoma Physics na paper economy bas hafai....

Labda kama Hana sifa lakn kama anayo the guy deserve it
Hiyo post uliyo ni quote inahusiana ujumbe wako.?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ali kina ndio anafaa kuwa na passport diplomatic na sio diamond kwa sababu Ali kina Ana record nzuri na sio mtu was a media za kiki

Inawezekana lakini anajulikana kwa kiasi gani kimataifa?
 
Back
Top Bottom