Pendekezo la Kidiplomasia: Diamond Platnumz Apewe Pasi ya Kibalozi (kama hana)

Pendekezo la Kidiplomasia: Diamond Platnumz Apewe Pasi ya Kibalozi (kama hana)

Ni mawazo mazuri ila ktk serikali isiyo na mipango endelevu. Ni sawa na kile tulichofanya ktk mashindano ha afcon, au tunavyo mpa sapoti dhaifu Samatta, na pia tumemsahau H. Thabit. Tazama bunge lilisafiri kwenda Misri kushangilia kabumbu, bila kujua mikakati ipi ilitumika kufika huko, mpaka sasa Taifa halijui Samatta kafika vipi Genks, wala nchi Haijui H.Thabit yuko wapi, na hakuna anaejua Hassan Mwakinyo katoka Chimbo gani?????? sasa kurukia na kumpa Diamond Vipaumbele ulivyosema ni sawa na mshabiki asiengalia move ya mpira ila anasubiri goli lifungwe ashangilie. Kabla yakushauri ningependa uishauri serikali ni jinsi gani inaweza kuifanya sector ya michezo na sanaa ikawa kama ya USA, badala ya kuwatumia wasanii kwenye campaign tu,Je Serikali ya Marekani inakusanya kodi kiasi gani toka ktk sanaa na michezo, Je? Ni kwa nini sisi hatukusanyi, jibu ni fupi sana, sector hizo zote hapa kwetu sio Revenue channel, hivo ni kama sector ya ufugaji, ishauri nchi yako iwekeze kwenye mipango, mipango itaibua watu, na mipango italeta vyote ulivoshauri, wamarekani wana mipango ndiyo maana leo unaweza kutazama ktk mtandao na kujua acount ya Bank ya Jay Zee, P Diddy, Drake, Shakira nk wana kiasi gani benk cha fedha, je wewe unajua Diamond ana kiasi gani bank. Hujui kwa kuwa hiyo sector hapa nchini ni kama uwindaji haramu tu. Namaliza kwa kusema to live without a plan is plan to fail, and our nation has fail on this matter.
 
Hata King Kiba anafaa,ila hapendi kujionyesha!!
 
Aachane na wauza madawa kwanza, huyo meneja wake ni mshirika mkubwa kabisa wa kibiashara wa kinje ambaye ni biggest drug lord huko south africa

Tukimpa diplomatic passport si ndio itakuwa tumesaidia usafirishaji mkubwa wa madawa??
 
yaani sheria ya passport and travel documents act ifanyiwe marekebisho, imuongeze 'diamond platinum' kabisa! Yaani waziri wa Mambo ya ndani awasilishe muswada wa marekebisho ya sheria kabisa! No hakuna ulazima
 
Hivi we jamaa wakati unaandika haya ulikuwa unakula?
Samatta na Hashim Thabit wote wawili ukiwaunganisha wanaufikia umaarufu wa Diamond platnumz?
.
Thabit akienda Kenya tu hapo kuna mtu anamjua?
Samatta Sudan tu hapo ya kusini kuna mtu anamjua?
Makande mabaya sana
Kumbe ukishakuwa maarufu ndio unapata diplomatic pass?[emoji23][emoji23][emoji23]

Kwa hiyo wamarekani walikuwa wapumbavu sana kutowapa diplomatic pass akina MJ, CB, JAY Z, KANYE WEST, RIHANNA?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]


Ndio maana King Kaka kawaimbia WAJINGA NYINYI

Unforgetable
 
Diamond hana originality. Siwezi kumkubali mtu mwenye dragon style ku copy and paste. Kwa Watanzania wengi wanaweza kuona ni kiboko lakini kwa wanaojuwa muziki hasa hawawezi kumuweka Diamond katika level hiyo unayoona wewe awepo. Let him come up with his own style and bits na zikubalike atleast continentally ndio tutaweza kum regard that highly. You are way over rating the dude. To me, Remi Ongala, Zengekala, na Mwinshehe were far superior to the dude.

Having said all that, he is doing the best he can under the circumstances! If Africa was a human body, then TZ would be an a*ss.
 
hamkuata magufuli?? [emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089]run [emoji16][emoji16]
Mpira umetushinda, Michezo yote imetushinda mziki wetu pia ulikuwa na vipaji kibao uko nyuma ila tulishindwa ila Diamond kaonyesha uthubutu mkubwa nakuunga mkono mziki unaweza zaidi kututangaza kuliko kitu chochote kwa sasa.

kuna kipindi nilikuwa south nilikutana na jamaa mmoja baada ya kujitambulisha natoka tz alinambia kule anakotoka Diamond na Nyerere? nikamjibu ndio kuna jambo nilijifunza.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Upo sahihi 100%.Jeshi la polisi liko outdated.Linatakiwa kuboreshwa na washirikiane na serikali TISS n.k kujenga diplomasia ya kiuchumi na kijamii.Lakin Jiwe bwana duh! Anaona ni mabeberu.Kwa jiwe hata Kenya ni mabeberu sasa sijui itakuwaje lakini vema fursa zikafunguliwa mfano masuala ya kielimu.Kujua wenzenu wanaelimika vipi,wanafanyaje ni muhimu maana naona balozi zetu zimeshindwa hata kujua hili.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo Tiss iache Ku deal na chadema ihangaike na diamond!?
 
Tanzania; A Failed State.

Ndege mnaandika HAPA KAZI TU.

WAKENYA wanaandika NGORONGORO CRATER/ MOUNT KILIMANJARO.

Halafu mnakuja na ujinga usiokuwa na maana yoyote.
Pamoja uongo ulioandika hapa, sidhani kama unajua Ngorongoro crater au Mount Kilimanjaro ziko nchi gani.
 
Kumbe ukishakuwa maarufu ndio unapata diplomatic pass?[emoji23][emoji23][emoji23]

Kwa hiyo wamarekani walikuwa wapumbavu sana kutowapa diplomatic pass akina MJ, CB, JAY Z, KANYE WEST, RIHANNA?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]


Ndio maana King Kaka kawaimbia WAJINGA NYINYI

Unforgetable
Makande mabaya sana!
Rihanna ni mmarekani?
.
Kanye, Jay z, MJ n.k wote hawawezi kupata kwa kuwa lile ni Taifa kubwa labda wapewe na serikali za majimbo yao.
Kuna watu maarufu marekani kuliko hao uliowataja kuna Elon, Gate, Mark, Katty Perry, Selena Gomez n.k ni weeeengi
 
Makande mabaya sana!
Rihanna ni mmarekani?
.
Kanye, Jay z, MJ n.k wote hawawezi kupata kwa kuwa lile ni Taifa kubwa labda wapewe na serikali za majimbo yao.
Kuna watu maarufu marekani kuliko hao uliowataja kuna Elon, Gate, Mark, Katty Perry, Selena Gomez n.k ni weeeengi
Kwa hiyo unadhani Barbados ni wapumbavu sana mpaka wasifikirie kumpa Diplomatic Pass Rihana?

Eti Katty Perry ni maarufu kuliko MJ, Jay Z, Kanye West?[emoji23][emoji23][emoji23]

Eti Selena Gomez ni maarufu kuliko MJ, Jay Z, Kanye West?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Elon Musk usimuingize hapa kwani category yake ni tofauti kabisa na tunachokizungumzia.

Kingine acha ushamba, acha kuleta vichambo type ya kike sijui makande na uharo gani na gani, shusha facts ili tuone kweli Mondi anafaa kupewa hiyo kitu ama hafai. Hizo mambo za mduara baki nazo huko huko Mwananyamala na wauswazi wenzio.

Unforgetable
 
Back
Top Bottom