Pendekezo la Kidiplomasia: Diamond Platnumz Apewe Pasi ya Kibalozi (kama hana)

Pendekezo la Kidiplomasia: Diamond Platnumz Apewe Pasi ya Kibalozi (kama hana)

Kwa hiyo unadhani Barbados ni wapumbavu sana mpaka wasifikirie kumpa Diplomatic Pass Rihana?
Unaona unavyo jikanyaga sasa ulisema Marekani ni wajinga hadi wameshindwa kuwapa kina MJ, Rihanna n.k nikauliza kwani Rihanna ni mmarekani?

Eti Katty Perry ni maarufu kuliko MJ, Jay Z, Kanye West?[emoji23][emoji23][emoji23]
Absolutely tena anawazidi mbaaaaaali angalia viewers za ngoma zake YouTube angalia followers wake IG na angalia matamasha yake duniani huko

Eti Selena Gomez ni maarufu kuliko MJ, Jay Z, Kanye West?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hakuna mwanadamu aliyekuwa na followers wengi Instagram kama huyu sasa hivi kazidiwa na CR7 tu.
Yani umaarufu wa Selena upo kwa mtoto hadi kwa babu Jay Z kama hawezi kumgusa huyo MJ na Kanye watoto wadogo watawezaje?

Elon Musk usimuingize hapa kwani category yake ni tofauti kabisa na tunachokizungumzia.
Makande ni matope!
Makande ni uharo!
Uzi unahusu watu walio nje ya siasa kutangaza Taifa kwa kiwango kikubwa na Tanzania tunae mmoja tu naye ni Simba.
Elon hatangazi USA?

Kingine acha ushamba, acha kuleta vichambo type ya kike sijui makande na uharo gani na gani, shusha facts ili tuone kweli Mondi anafaa kupewa hiyo kitu ama hafai. Hizo mambo za mduara baki nazo huko huko Mwananyamala na wauswazi wenzio.

Unforgetable
Lazima nikuoseme siwezi ona ujinga unaoufanya nikaumezea mate nikapita never!
Vichambo havijawahi kuwa na identity kwamba hiki ni cha kike hiki cha kiume sio viatu vile!
.
Uswahili muhimu maana mimi ni mswahili kwa hiyo wewe Mu_Estonia au Muingereza?
Nitajie mwanadamu maarufu zaidi Tanzania kama diamond hata baba wa taifa anaweza kusubiri kwa hakika!
 
Unaona unavyo jikanyaga sasa ulisema Marekani ni wajinga hadi wameshindwa kuwapa kina MJ, Rihanna n.k nikauliza kwani Rihanna ni mmarekani?


Absolutely tena anawazidi mbaaaaaali angalia viewers za ngoma zake YouTube angalia followers wake IG na angalia matamasha yake duniani huko


Hakuna mwanadamu aliyekuwa na followers wengi Instagram kama huyu sasa hivi kazidiwa na CR7 tu.
Yani umaarufu wa Selena upo kwa mtoto hadi kwa babu Jay Z kama hawezi kumgusa huyo MJ na Kanye watoto wadogo watawezaje?


Makande ni matope!
Makande ni uharo!
Uzi unahusu watu walio nje ya siasa kutangaza Taifa kwa kiwango kikubwa na Tanzania tunae mmoja tu naye ni Simba.
Elon hatangazi USA?


Lazima nikuoseme siwezi ona ujinga unaoufanya nikaumezea mate nikapita never!
Vichambo havijawahi kuwa na identity kwamba hiki ni cha kike hiki cha kiume sio viatu vile!
.
Uswahili muhimu maana mimi ni mswahili kwa hiyo wewe Mu_Estonia au Muingereza?
Nitajie mwanadamu maarufu zaidi Tanzania kama diamond hata baba wa taifa anaweza kusubiri kwa hakika!
Ni bora ubishane na mjinga maana huenda hajui na akijua basi ataelewa kuliko kubishana na mpumbavu maana huwa hajui na hata ukimjulisha hana uwezo wa kujua.

Kwa kifupi tuu kaa ukijua HAKUNA MSANII YEYOTE, IWE TANZANIA AU HATA HUKO DUNIANI ATAKAYEPEWA DIPLOMATIC PASS HATA AWE MAARUFU KIASI GANI.

Unforgetable
 
Taifa kutokumtumia mtu kama Diamond ni kukosa ubunifu... tena wangempa na hadhi ya Ubalozi kabisa. Hivi juzi, Idris Elba kutoka Uingereza ametembelea Sierra Leone nchi ambayo wazazi wake wanatoka. Wenzetu kwa kuchangamkia wamempa hadi uraia wa nchi yao. Sisi tuna Watanzania au watu wenye asili ya Tanzania lakini hatujui tuwatumie vipi kuitangaza nchi.
 
Diamond hana originality. Siwezi kumkubali mtu mwenye dragon style ku copy and paste. Kwa Watanzania wengi wanaweza kuona ni kiboko lakini kwa wanaojuwa muziki hasa hawawezi kumuweka Diamond katika level hiyo unayoona wewe awepo. Let him come up with his own style and bits na zikubalike atleast continentally ndio tutaweza kum regard that highly. You are way over rating the dude. To me, Remi Ongala, Zengekala, na Mwinshehe were far superior to the dude.

Having said all that, he is doing the best he can under the circumstances! If Africa was a human body, then TZ would be an a*ss.
Naomuomba Mungu nikiwa mzee niwe bize kulea wajukuu na kusali.
 
Tunakumbuka jinsi Rais Mwinyi alipompokea Michael Jackson... muziki ni urafiki, muziki ni demokrasia.. na ni diplomasia..

Kama ubalozi wa ngono wa kuzaa zaa hovyo mitaani kama nguchiro na kuwaoa na kuwaacha akina Wema kila siku ni sawa apewe ubalozi huo, je unakumbuka siku za nyuma kwanini watoto wa VIPs wetu walinyang'anywa VIP passport za Tanzania kwa kufanya jinai iliyotokana na utoto na kukosa umakini?
 
Haya yote uliyoyasema ilitakiwa serikali wawe wameshafanya kama bado basi tusishangae hiyo ndio hulka yetu, kukumbuka shuka wakati kumekucha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na. M. M. Mwanakijiji

Naomba kupendekeza kuwa huyu kijana apewe rasmi hati ya kusafiria ya Kibalozi (Diplomatic Passport). Nimekuwa nikifuatilia jinsi anavyoshirikiana na wasanii wengine ndani na nje ya nchi lakini pia jinsi gani anakubalika katika sehemu mbalimbali za Afrika. Nimefuatilia kwa karibu ziara yake inayoendelea huko Afrika ya Magharibi.

Ndugu zangu,

1. Hakuna Mtanzania ambaye si mtu wa serikali anayetangaza jina la Tanzania kama Diamond.

2. Kwa ndani ya miaka 10 hivi kijana huyo ameweza kutoka kuwa "the boy from Mbagala" to a "global phenom". Muda si mwingi, kijana huyu ataanza kupasua kwenye majukwaa makubwa ya nchi za Kimagharibi (siyo yale ya ukumbini tu). Kuna watu wenye majina ambao nao watataka kijana huyo awemo..

3. Kwa vile sasa ni mtu wa "kimataifa" Diamond aachane na haya malumbano ya kijiweni na siasa na "wadogo" zake. Ni lazia aanze kujionesha kuwa ni mtu wa namna yake.

Serikali itambue mchango wake - siyo tu katika kutoa ajira lakini pia katika uchumi. Hivyo:

1. Serikali impatie passport ya hadhi ya juu kabisa.
2. Anaposafiri nje ya nchi, Balozi zetu ziwe na taarifa na pale ambapo kuna balozi zetu basi anapoenda ni lazima apokelewe na kukutana na mabalozi wetu.
3. Apewe nafasi ya kubeba jumbe za kibalozi na hata kukutana na viongozi wa serikali huko anakokwenda na kubeba ujumbe kurudisha nyumbani.
4. Kwa jinsi anavyovutia vijana ni wakati makampuni ya Kitanzania (namaanisha hapa ya "Kitanzania" yashirikiane na serikali kumtumia Diamond katika kufungua biashara zao zaidi. Uchumi wa viwanda hauwezi kufanikiwa tukijifungia ndani tu; ni lazima makampuni yetu yaanza kusambaa katika nchi za Kiafrika. Diamond kama jina na mjumbe anaweza sana kushawishi.
5. Ni vizuri kuhakikisha kuwa usalama wake anaposafiri. Hili watu wa serikali na kampuni ya Diamond wanahitaji kukaa chini kuona jinsi gani watahakikisha. Je, mnajua watu kama kina Jay Z, Beyonce, wanaposafiri kwenda nje ya nchi watu kama FBI wanajua na mara nyingi wanahusishwa kuhakikisha usalama wao?
6. Jeshi la Polisi lianzishe kitengo cha Ulinzi wa Watu Maalum (VIP Protection Unit) ambacho ni pembeni ya kile kinacholinda viongozi wa serikali. Kitengo hiki kitakuwa kinatoa ulinzi kwa watu wetu mashuhuri wanaposafiri nje ya nchi .. na kadhalika na kadhalika..

Ni mawazo mengine kem kem...
Mpaka wayajadili bungeni. Hahahaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama ubalozi wa ngono wa kuzaa zaa hovyo mitaani kama nguchiro na kuwaoa na kuwaacha akina Wema kila siku ni sawa apewe ubalozi huo, je unakumbuka siku za nyuma kwanini watoto wa VIPs wetu walinyang'anywa VIP passport za Tanzania kwa kufanya jinai iliyotokana na utoto na kukosa umakini?
Hapa hatuzungumzii udaku tunazungumzia kazi yake nzuri anayofanya diamond nje ya nchi yakuitangaza Tanzania na namna anavyoheshimika anastahili kufanyika kitu na serikali.
 
Hapa hatuzungumzii udaku tunazungumzia kazi yake nzuri anayofanya diamond nje ya nchi yakuitangaza Tanzania na namna anavyoheshimika anastahili kufanyika kitu na serikali.
Hao wasanii wanachofanya ni kwa ajili yao
Nazungumzia wasanii wote, Kwani mpaka Sasa wamelifanyia nn taifa au jamii kwa ujumla
Ningesikia wamejenga vizahanati au mashule Sawa..... Au kuwapikia watu birian na kuwalika ndy mnaona huo ni bongo la msaada
Mziki wenyewe wanaopiga ni wa kihuni tu haina mafundisho yoyote zaidi ya kuhamisishana watu wawalane jicho
Msipende kuchukulia mambo rahisi rahisi

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hao wasanii wanachofanya ni kwa ajili yao
Nazungumzia wasanii wote, Kwani mpaka Sasa wamelifanyia nn taifa au jamii kwa ujumla
Ningesikia wamejenga vizahanati au mashule Sawa..... Au kuwapikia watu birian na kuwalika ndy mnaona huo ni bongo la msaada
Mziki wenyewe wanaopiga ni wa kihuni tu haina mafundisho yoyote zaidi ya kuhamisishana watu wawalane jicho
Msipende kuchukulia mambo rahisi rahisi

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
Inaonekana ujui kinachoendelea duniani diamond alitowaga madawati 600 kipindi kulikuwa nauwaba wa madawati lakini pia anasomesha watoto 6 nje ya nchi baada ya hao watoto kushika nafasi ya juu kwenye shule ya tandale Kama alivyoaidi lakini pia mwaka Jana alivyoenda sumbawanga alichangia sh mil 100 kwa ajili ya ujenzi wa mahabara na hiyo shule kumpa Kama zawadi wakaiita jina lake.siku ya birthday yake ya mwaka Jana alitoa bima kwa wakinamama 50 tandale pamoja na bajaji 40 kwa wenye ulemavu.ukiachana na hivyo ameinua vijana kwenye mziki kupitia label yake ambao wametoka maisha duni na kuwa wasanii wakubwa na wenye uwezo wa kifedha mfano Rayvanny, Harmonize,Mboso, Lavalava.ukiachana na hapo amewaajili watu si chini ya 70 madansa, photographers,video production, producer, board guards,it wakuendesha social media na wengine kwenye msdia yake.
 
Hapa hatuzungumzii udaku tunazungumzia kazi yake nzuri anayofanya diamond nje ya nchi yakuitangaza Tanzania na namna anavyoheshimika anastahili kufanyika kitu na serikali.

Asante lakini turudi nyuma kidogo na kujiuliza hivi sasa kati ya Samatta, Hasheem Thabeet na huyo kidudu chini wenu nani angalau anastahili kupewa huo ubalozi kwa kigezo mnachotumia cha kuitangaza Tanzania nje ya inchi? walikuwepo akina Balisidya waliopeperusha bendera nje ya mipaka ya Tanzania mpaka Japan, akina mzee Morris, Mzee Mwinamila, akina Hemedi Maneti na akina Jah Kimbute walitembea Afirika na huko juu walifika lakini hawakupewa VIP passport sembuse mcheza vigodoro? kama mna mapenzi na mahaba nae basi chagueni hoteli mkanywe nae chai
 
'anasomesha watoto 6 nje ya nchi baada ya hao watoto kushika nafasi ya juu kwenye shule ya tandale'.

Safi sana,naomba source ya hii habari nijue ni nchi gani hao watoto wanasoma.
Inaonekana ujui kinachoendelea duniani diamond alitowaga madawati 600 kipindi kulikuwa nauwaba wa madawati lakini pia anasomesha watoto 6 nje ya nchi baada ya hao watoto kushika nafasi ya juu kwenye shule ya tandale Kama alivyoaidi lakini pia mwaka Jana alivyoenda sumbawanga alichangia sh mil 100 kwa ajili ya ujenzi wa mahabara na hiyo shule kumpa Kama zawadi wakaiita jina lake.siku ya birthday yake ya mwaka Jana alitoa bima kwa wakinamama 50 tandale pamoja na bajaji 40 kwa wenye ulemavu.ukiachana na hivyo ameinua vijana kwenye mziki kupitia label yake ambao wametoka maisha duni na kuwa wasanii wakubwa na wenye uwezo wa kifedha mfano Rayvanny, Harmonize,Mboso, Lavalava.ukiachana na hapo amewaajili watu si chini ya 70 madansa, photographers,video production, producer, board guards,it wakuendesha social media na wengine kwenye msdia yake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
'anasomesha watoto 6 nje ya nchi baada ya hao watoto kushika nafasi ya juu kwenye shule ya tandale'.

Safi sana,naomba source ya hii habari nijue ni nchi gani hao watoto wanasoma.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani mzee baba ukuangalia happy birthday aliyoifanya tandale ambayo ilirushwa wasafi tv live pia na YouTube na pia magazeti mengi ya bongo waliandika hayo yote ungejua au wewe unaishi wapi naona Kuna vitu vingi vinakupita
 
Kwani mzee baba ukuangalia happy birthday aliyoifanya tandale ambayo ilirushwa wasafi tv live pia na YouTube na pia magazeti mengi ya bongo waliandika hayo yote ungejua au wewe unaishi wapi naona Kuna vitu vingi vinakupita

Na kweli vitu vingi vinanipita mzee baba,nina professional journals nyingi za kusoma/podcast za kufuatilia.

Kusema ntafuatilia b'day ya diamond hapo ntakudanganya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom