Pendekezo: Majina ya viongozi yaondolewe miradi ya umma

Pendekezo: Majina ya viongozi yaondolewe miradi ya umma

Viongozi wa Tanzania waliopo na waliopita wamepachika au wamepachikiwa Majina yao kwenye Mali na miradi ya Nchi , Hili jambo halina maana wala tija yoyote ile .

Kwa mfano , si sawa kwa Stendi ya mabasi ya kimataifa ya Mbezi luis , uwanja wa soka wa Taifa , Viwanja vya Ndege , madaraja , vivuko , shule , hospitali na mali nyingine za Taifa kupewa Majina ya viongozi , wawe hai au wamekufa , Hii ni kwa sababu Mali za umma zimegharamiwa na kodi za wananchi , hivyo si haki kuweka Jina la kiongozi , eti kwa vile tu vitu hivyo vilijengwa wakati mhusika akiwa madarakani , wala hata hakutumia hela za mfukoni mwake , huku ni kukengeuka , halafu ni nani anayependekeza Majina hayo na kwa mchakato upi ?

Kusimamia Ujenzi wa kitu chochote katika nchi haimaanishi kwamba Mhusika anayo hati miliki ya jina lake kupachikwa kwenye huo mradi, hii ni kwa vile pesa zilizotumika kujenga miradi ya nchi si zake binafsi , Ni hela za Umma , Majina yanayopaswa kuitwa miradi hiyo yawe majina ya Maeneo ulipo mradi huo , mfano Uwanja wa Ndege wa Dar es salaam , Daraja la Busisi , Barabara ya Mwendokasi , mradi wa umeme Kinyerezi nk.

Lakini mali za umma kama Stendi ya Mbezi luis kuiita Jina la Mtu mmoja ni sawa na Ubaguzi uliojaa ubinafsi .

Napendekeza Stendi ya Mbezi iitwe STENDI YA MABASI YA MIKOANI YA MBEZI LUIS , Jambo hili linaweza kuondoa nuksi , laana na mikosi itokanayo na kutumia Jina la Mtu mmoja tu tena ambaye hajawahi kuwa mkazi wa eneo hilo na wala hajawahi hata kupanda mabasi yenyewe , Uwanja wa Taifa wa soka urudishiwe jina lake la awali na jina la Nyerere liondolewe kwenye uwanja wa ndege , urudi kuwa Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Dar es salaam .

Kama tunataka kuwaenzi marehemu wetu au hata viongozi waliopo , basini rahisi sana , Majina yao yawekwe kwenye ofisi za vyama vyao, Kwa mfano badala ya kuita ofisi ya chama Kisiwandui basi iitwe ofisi ya Magufuli Kisiwandui .

Naomba kuwasilisha .
Msione wivu jengeni ofisi mziite mbowe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
letamajina yako matatu tukayaweke pale..weejamaa nikum sana magu anapaswa kuheshimiwa Mana sizani Kama Kuna mtu angefikiria kujenga stend pale ila mwamba mdamchache kajenga nakitu kimesimama. nasema kummmmmmk..
😂😂
 
Viongozi wa Tanzania waliopo na waliopita wamepachika au wamepachikiwa Majina yao kwenye Mali na miradi ya Nchi , Hili jambo halina maana wala tija yoyote ile .

Kwa mfano , si sawa kwa Stendi ya mabasi ya kimataifa ya Mbezi luis , uwanja wa soka wa Taifa , Viwanja vya Ndege , madaraja , vivuko , shule , hospitali na mali nyingine za Taifa kupewa Majina ya viongozi , wawe hai au wamekufa , Hii ni kwa sababu Mali za umma zimegharamiwa na kodi za wananchi , hivyo si haki kuweka Jina la kiongozi , eti kwa vile tu vitu hivyo vilijengwa wakati mhusika akiwa madarakani , wala hata hakutumia hela za mfukoni mwake , huku ni kukengeuka , halafu ni nani anayependekeza Majina hayo na kwa mchakato upi ?

Kusimamia Ujenzi wa kitu chochote katika nchi haimaanishi kwamba Mhusika anayo hati miliki ya jina lake kupachikwa kwenye huo mradi, hii ni kwa vile pesa zilizotumika kujenga miradi ya nchi si zake binafsi , Ni hela za Umma , Majina yanayopaswa kuitwa miradi hiyo yawe majina ya Maeneo ulipo mradi huo , mfano Uwanja wa Ndege wa Dar es salaam , Daraja la Busisi , Barabara ya Mwendokasi , mradi wa umeme Kinyerezi nk.

Lakini mali za umma kama Stendi ya Mbezi luis kuiita Jina la Mtu mmoja ni sawa na Ubaguzi uliojaa ubinafsi .

Napendekeza Stendi ya Mbezi iitwe STENDI YA MABASI YA MIKOANI YA MBEZI LUIS , Jambo hili linaweza kuondoa nuksi , laana na mikosi itokanayo na kutumia Jina la Mtu mmoja tu tena ambaye hajawahi kuwa mkazi wa eneo hilo na wala hajawahi hata kupanda mabasi yenyewe , Uwanja wa Taifa wa soka urudishiwe jina lake la awali na jina la Nyerere liondolewe kwenye uwanja wa ndege , urudi kuwa Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Dar es salaam .

Kama tunataka kuwaenzi marehemu wetu au hata viongozi waliopo , basini rahisi sana , Majina yao yawekwe kwenye ofisi za vyama vyao, Kwa mfano badala ya kuita ofisi ya chama Kisiwandui basi iitwe ofisi ya Magufuli Kisiwandui .

Naomba kuwasilisha .

Unatia kinyaa. Kama una ndugu , wana haja ya kukupeleka kutibiwa ubongo wako before it’s too late.
 
Kama huna hoja basi acha kutoa hoja.Ningependa kama ungesema kwamba kuwa na sheria,taratibu na kanuni za kuamua Naming rights zinakuwaje kwa public infrastrucures kama barabara,majengo etc.Ila sio kusema kwamba ETI yasiwekwe.SIONI Ubaya Magufuli Terminal Kuitwa Magufuli Terminal kwani UBUNGO,MBEZI,KIMARA yote ni Majina ya WATU tena ambao hata wengine historia yao hatufahamu.QUIT THIS SHIT muwe mnaleta mijadala ambayo ni maslahi kwa umma
Sheria ipo ila inavunjwa makusudi , kwenye barabara ili iitwe jina lako ni lazima uwe umeihudumia
 
letamajina yako matatu tukayaweke pale..weejamaa nikum sana magu anapaswa kuheshimiwa Mana sizani Kama Kuna mtu angefikiria kujenga stend pale ila mwamba mdamchache kajenga nakitu kimesimama. nasema kummmmmmk..
unafahamu ulikoanzia mchakato wa stendi ile ?
 
Viongozi wa Tanzania waliopo na waliopita wamepachika au wamepachikiwa Majina yao kwenye Mali na miradi ya Nchi , Hili jambo halina maana wala tija yoyote ile .

Kwa mfano , si sawa kwa Stendi ya mabasi ya kimataifa ya Mbezi luis , uwanja wa soka wa Taifa , Viwanja vya Ndege , madaraja , vivuko , shule , hospitali na mali nyingine za Taifa kupewa Majina ya viongozi , wawe hai au wamekufa , Hii ni kwa sababu Mali za umma zimegharamiwa na kodi za wananchi , hivyo si haki kuweka Jina la kiongozi , eti kwa vile tu vitu hivyo vilijengwa wakati mhusika akiwa madarakani , wala hata hakutumia hela za mfukoni mwake , huku ni kukengeuka , halafu ni nani anayependekeza Majina hayo na kwa mchakato upi ?

Kusimamia Ujenzi wa kitu chochote katika nchi haimaanishi kwamba Mhusika anayo hati miliki ya jina lake kupachikwa kwenye huo mradi, hii ni kwa vile pesa zilizotumika kujenga miradi ya nchi si zake binafsi , Ni hela za Umma , Majina yanayopaswa kuitwa miradi hiyo yawe majina ya Maeneo ulipo mradi huo , mfano Uwanja wa Ndege wa Dar es salaam , Daraja la Busisi , Barabara ya Mwendokasi , mradi wa umeme Kinyerezi nk.

Lakini mali za umma kama Stendi ya Mbezi luis kuiita Jina la Mtu mmoja ni sawa na Ubaguzi uliojaa ubinafsi .

Napendekeza Stendi ya Mbezi iitwe STENDI YA MABASI YA MIKOANI YA MBEZI LUIS , Jambo hili linaweza kuondoa nuksi , laana na mikosi itokanayo na kutumia Jina la Mtu mmoja tu tena ambaye hajawahi kuwa mkazi wa eneo hilo na wala hajawahi hata kupanda mabasi yenyewe , Uwanja wa Taifa wa soka urudishiwe jina lake la awali na jina la Nyerere liondolewe kwenye uwanja wa ndege , urudi kuwa Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Dar es salaam .

Kama tunataka kuwaenzi marehemu wetu au hata viongozi waliopo , basini rahisi sana , Majina yao yawekwe kwenye ofisi za vyama vyao, Kwa mfano badala ya kuita ofisi ya chama Kisiwandui basi iitwe ofisi ya Magufuli Kisiwandui .

Naomba kuwasilisha .
Kabisa
 
Nilichokigundua kwako ni chuki na roho mbaya wivu pamoja na husda.
Kama huna chembe chembe za uchawi sidhani.
Hoja zako zimemlenga hayati MAGU, Toa hoja zinazoeleweka
Mkuu unaweza kuwa na point lakini unakosea sana kumuita yule jamaa Hayati. Anyway ni maamuzi yako
 
Viongozi wa Tanzania waliopo na waliopita wamepachika au wamepachikiwa Majina yao kwenye Mali na miradi ya Nchi, Hili jambo halina maana wala tija yoyote ile.

Kwa mfano, si sawa kwa Stendi ya mabasi ya kimataifa ya Mbezi luis , uwanja wa soka wa Taifa, Viwanja vya Ndege, madaraja, vivuko, shule, hospitali na mali nyingine za Taifa kupewa Majina ya viongozi, wawe hai au wamekufa, hii ni kwa sababu Mali za umma zimegharamiwa na kodi za wananchi, hivyo si haki kuweka Jina la kiongozi, eti kwa vile tu vitu hivyo vilijengwa wakati mhusika akiwa madarakani, wala hata hakutumia hela za mfukoni mwake, huku ni kukengeuka, halafu ni nani anayependekeza Majina hayo na kwa mchakato upi?

Kusimamia Ujenzi wa kitu chochote katika nchi haimaanishi kwamba Mhusika anayo hati miliki ya jina lake kupachikwa kwenye huo mradi, hii ni kwa vile pesa zilizotumika kujenga miradi ya nchi si zake binafsi, ni hela za Umma, Majina yanayopaswa kuitwa miradi hiyo yawe majina ya Maeneo ulipo mradi huo, mfano Uwanja wa Ndege wa Dar es Salaam, Daraja la Busisi, Barabara ya Mwendokasi, mradi wa umeme Kinyerezi nk.

Lakini mali za umma kama Stendi ya Mbezi luis kuiita Jina la Mtu mmoja ni sawa na Ubaguzi uliojaa ubinafsi.

Napendekeza Stendi ya Mbezi iitwe STENDI YA MABASI YA MIKOANI YA MBEZI LUIS, Jambo hili linaweza kuondoa nuksi , laana na mikosi itokanayo na kutumia Jina la Mtu mmoja tu tena ambaye hajawahi kuwa mkazi wa eneo hilo na wala hajawahi hata kupanda mabasi yenyewe, Uwanja wa Taifa wa soka urudishiwe jina lake la awali na jina la Nyerere liondolewe kwenye uwanja wa ndege, urudi kuwa Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Dar es salaam.

Kama tunataka kuwaenzi marehemu wetu au hata viongozi waliopo, basini rahisi sana, Majina yao yawekwe kwenye ofisi za vyama vyao, kwa mfano badala ya kuita ofisi ya chama Kisiwandui basi iitwe ofisi ya Magufuli Kisiwandui.

Naomba kuwasilisha.
Naunga mkono hoja,kama vipi na vyoo vya umma vipewe majina yao
 
Viongozi wa Tanzania waliopo na waliopita wamepachika au wamepachikiwa Majina yao kwenye Mali na miradi ya Nchi, Hili jambo halina maana wala tija yoyote ile.

Kwa mfano, si sawa kwa Stendi ya mabasi ya kimataifa ya Mbezi luis , uwanja wa soka wa Taifa, Viwanja vya Ndege, madaraja, vivuko, shule, hospitali na mali nyingine za Taifa kupewa Majina ya viongozi, wawe hai au wamekufa, hii ni kwa sababu Mali za umma zimegharamiwa na kodi za wananchi, hivyo si haki kuweka Jina la kiongozi, eti kwa vile tu vitu hivyo vilijengwa wakati mhusika akiwa madarakani, wala hata hakutumia hela za mfukoni mwake, huku ni kukengeuka, halafu ni nani anayependekeza Majina hayo na kwa mchakato upi?

Kusimamia Ujenzi wa kitu chochote katika nchi haimaanishi kwamba Mhusika anayo hati miliki ya jina lake kupachikwa kwenye huo mradi, hii ni kwa vile pesa zilizotumika kujenga miradi ya nchi si zake binafsi, ni hela za Umma, Majina yanayopaswa kuitwa miradi hiyo yawe majina ya Maeneo ulipo mradi huo, mfano Uwanja wa Ndege wa Dar es Salaam, Daraja la Busisi, Barabara ya Mwendokasi, mradi wa umeme Kinyerezi nk.

Lakini mali za umma kama Stendi ya Mbezi luis kuiita Jina la Mtu mmoja ni sawa na Ubaguzi uliojaa ubinafsi.

Napendekeza Stendi ya Mbezi iitwe STENDI YA MABASI YA MIKOANI YA MBEZI LUIS, Jambo hili linaweza kuondoa nuksi , laana na mikosi itokanayo na kutumia Jina la Mtu mmoja tu tena ambaye hajawahi kuwa mkazi wa eneo hilo na wala hajawahi hata kupanda mabasi yenyewe, Uwanja wa Taifa wa soka urudishiwe jina lake la awali na jina la Nyerere liondolewe kwenye uwanja wa ndege, urudi kuwa Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Dar es salaam.

Kama tunataka kuwaenzi marehemu wetu au hata viongozi waliopo, basini rahisi sana, Majina yao yawekwe kwenye ofisi za vyama vyao, kwa mfano badala ya kuita ofisi ya chama Kisiwandui basi iitwe ofisi ya Magufuli Kisiwandui.

Naomba kuwasilisha.


Mimi sioni tatizo lakini majina mengine ni muhimu zaidi. Maraisi wanatakiwa kupewa majina wakitoka madarakani sio wakiwa bado madarakani. Lakini majina yanatakiwa kutolewa kwa watu walioleta tija kwenye jamii sio lazima wawe wanasiasa. washinda medali mbalimbali, waimbaji na wanasanaa mbalimbali na hata wasomi waliopata medali.
 
Back
Top Bottom