Pendekezo: Majina ya viongozi yaondolewe miradi ya umma

Pendekezo: Majina ya viongozi yaondolewe miradi ya umma

Wewe na wachumia tumbo wenzio ndio naendelea kusema inchi hii ni masikini, mwenzio leo ACT amekubali
Ok sawa, haya taja mtu mmoja mwenye kujielewa ambaye alimkubali huyo shujaa wenu.
 
Nchi inaendeshwa kwa Katiba na miongozo , haitaendeshwa na na mawazo ya erythrocyte , hapo ndipo mlipofeli ccm
Kwani mawazo ya erythrocyte yakiwa ni mawazo ya Chadema kua Ubaya gani?Mawazo ya Nchi ambayo ni Katiba,sheria na Miongozo yanatokana na watu.Sasa sijui mawazo yenu yatadondoka kutoka Jehanum kuja duniani?
 
[emoji38][emoji38][emoji38] Una macho makali sana ! Walishakusanyika tayari , unajua ukitaka panya wakurupuke kutoka kichakani , piga kiberiti hicho kichaka .
Mkuu ujue utafanya watu wamalize siku yao vibaya kwa makasiriko, wewe umetaja mfano wa majina mengi ya viongozi lakini wao wamejikita kwa Jiwe.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Punguza complications mdogo wangu tumia ubongo wako kuwaza vitu vyenye tija...STAND YA MABASI YAENDAYO MIKOANI....STAND YA MAGUFULI simple and clear and ni legacy ambayo ameiacha...unawaonea wivu hadi marehemu loh[emoji706][emoji16]
 
Ni kweli imekuwa ikileta ukakakasi hata kutaja tu jina refu inakera sana. Hizo heshima watafute namna ya kuwaenzi. Inasemekana kuna kiongozi mmoja wa ngazi ya juu alikataa jina lake lisiitwe kwenye mradi wowote. Mbona kwenye hela wengine walikataa picha zao zisiwekwe na ikazoeleka, tunaona wanyama tu wakitamba kwenye fedha
 
Tuiite Freeman Mbowe International Bus Terminal
Kama Mbowe ni mkazi wa hapo au aliwahi walau kusafiri na Basi toka hapo stendi hadi Moshi, anastahiki jina lake kutumika.

Lakini JPM ilitakiwa jina lake litumike huko Chato airport na sio hapo Mbezi. Yule jamaa na ukali wake ule ni kama mmeitia nuksi na laana hiyo stendi. JPM alitumbua na kudhalilisha sana watu na kuruhusu Nyumba za watu wa Kimara Nyumba zao zibomolewe bila fidia, hivyo vinyongo vya hao watu vimelaani jina la huyo JPM
 
Viongozi wa Tanzania waliopo na waliopita wamepachika au wamepachikiwa Majina yao kwenye Mali na miradi ya Nchi, Hili jambo halina maana wala tija yoyote ile.

Kwa mfano, si sawa kwa Stendi ya mabasi ya kimataifa ya Mbezi luis , uwanja wa soka wa Taifa, Viwanja vya Ndege, madaraja, vivuko, shule, hospitali na mali nyingine za Taifa kupewa Majina ya viongozi, wawe hai au wamekufa, hii ni kwa sababu Mali za umma zimegharamiwa na kodi za wananchi, hivyo si haki kuweka Jina la kiongozi, eti kwa vile tu vitu hivyo vilijengwa wakati mhusika akiwa madarakani, wala hata hakutumia hela za mfukoni mwake, huku ni kukengeuka, halafu ni nani anayependekeza Majina hayo na kwa mchakato upi?

Kusimamia Ujenzi wa kitu chochote katika nchi haimaanishi kwamba Mhusika anayo hati miliki ya jina lake kupachikwa kwenye huo mradi, hii ni kwa vile pesa zilizotumika kujenga miradi ya nchi si zake binafsi, ni hela za Umma, Majina yanayopaswa kuitwa miradi hiyo yawe majina ya Maeneo ulipo mradi huo, mfano Uwanja wa Ndege wa Dar es Salaam, Daraja la Busisi, Barabara ya Mwendokasi, mradi wa umeme Kinyerezi nk.

Lakini mali za umma kama Stendi ya Mbezi luis kuiita Jina la Mtu mmoja ni sawa na Ubaguzi uliojaa ubinafsi.

Napendekeza Stendi ya Mbezi iitwe STENDI YA MABASI YA MIKOANI YA MBEZI LUIS, Jambo hili linaweza kuondoa nuksi , laana na mikosi itokanayo na kutumia Jina la Mtu mmoja tu tena ambaye hajawahi kuwa mkazi wa eneo hilo na wala hajawahi hata kupanda mabasi yenyewe, Uwanja wa Taifa wa soka urudishiwe jina lake la awali na jina la Nyerere liondolewe kwenye uwanja wa ndege, urudi kuwa Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Dar es salaam.

Kama tunataka kuwaenzi marehemu wetu au hata viongozi waliopo, basini rahisi sana, Majina yao yawekwe kwenye ofisi za vyama vyao, kwa mfano badala ya kuita ofisi ya chama Kisiwandui basi iitwe ofisi ya Magufuli Kisiwandui.

Naomba kuwasilisha.
Jina la John P Magufuli ni jina iconic Afrika na dunia nzima, mtu awaye yeyote mwenye uwezo wa ku analyse mambo katika ubora wake hawezi kuthubutu to belittle jina la mzee john magufuli.
 
Sijawahi kuona jina Aboud Jumbe, rais wa zanzibar na makamu wa kwanza wa rais wa jumhuri ya muungano wa tanzania, mbona wengine majina yao yapo katika shule. Kuna shule inaitwa dr salmin amour, dr. shein. Karume, tena yapo bara. Kama vipi mtindo huo ubaki kwenye miradi ya chama chao tu waenziane huko. Labda kama bunge litaridhia jina la kiongozi litumike kumenzi
 
Jina la John P Magufuli ni jina iconic Afrika na dunia nzima, mtu awaye yeyote mwenye uwezo wa ku analyse mambo katika ubora wake hawezi kuthubutu to belittle jina la mzee john magufuli.
Mzee wa mapapa na mbuzi wana Corona mqisho wa siku ikapita naye
 
Punguza complications mdogo wangu tumia ubongo wako kuwaza vitu vyenye tija...STAND YA MABASI YAENDAYO MIKOANI....STAND YA MAGUFULI simple and clear and ni legacy ambayo ameiacha...unawaonea wivu hadi marehemu loh[emoji706][emoji16]
Huyo shujaa wako angekuwa mtu mwema at least, lakini duh mpaka kaburi lake watu wanatamani lichomwe moto, ila sorry to say that but it's the truth
 
Viongozi wa Tanzania waliopo na waliopita wamepachika au wamepachikiwa Majina yao kwenye Mali na miradi ya Nchi, Hili jambo halina maana wala tija yoyote ile.

Kwa mfano, si sawa kwa Stendi ya mabasi ya kimataifa ya Mbezi luis , uwanja wa soka wa Taifa, Viwanja vya Ndege, madaraja, vivuko, shule, hospitali na mali nyingine za Taifa kupewa Majina ya viongozi, wawe hai au wamekufa, hii ni kwa sababu Mali za umma zimegharamiwa na kodi za wananchi, hivyo si haki kuweka Jina la kiongozi, eti kwa vile tu vitu hivyo vilijengwa wakati mhusika akiwa madarakani, wala hata hakutumia hela za mfukoni mwake, huku ni kukengeuka, halafu ni nani anayependekeza Majina hayo na kwa mchakato upi?

Kusimamia Ujenzi wa kitu chochote katika nchi haimaanishi kwamba Mhusika anayo hati miliki ya jina lake kupachikwa kwenye huo mradi, hii ni kwa vile pesa zilizotumika kujenga miradi ya nchi si zake binafsi, ni hela za Umma, Majina yanayopaswa kuitwa miradi hiyo yawe majina ya Maeneo ulipo mradi huo, mfano Uwanja wa Ndege wa Dar es Salaam, Daraja la Busisi, Barabara ya Mwendokasi, mradi wa umeme Kinyerezi nk.

Lakini mali za umma kama Stendi ya Mbezi luis kuiita Jina la Mtu mmoja ni sawa na Ubaguzi uliojaa ubinafsi.

Napendekeza Stendi ya Mbezi iitwe STENDI YA MABASI YA MIKOANI YA MBEZI LUIS, Jambo hili linaweza kuondoa nuksi , laana na mikosi itokanayo na kutumia Jina la Mtu mmoja tu tena ambaye hajawahi kuwa mkazi wa eneo hilo na wala hajawahi hata kupanda mabasi yenyewe, Uwanja wa Taifa wa soka urudishiwe jina lake la awali na jina la Nyerere liondolewe kwenye uwanja wa ndege, urudi kuwa Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Dar es salaam.

Kama tunataka kuwaenzi marehemu wetu au hata viongozi waliopo, basini rahisi sana, Majina yao yawekwe kwenye ofisi za vyama vyao, kwa mfano badala ya kuita ofisi ya chama Kisiwandui basi iitwe ofisi ya Magufuli Kisiwandui.

Naomba kuwasilisha.
Wana saccos wazandiki sana.
 
Viongozi wa Tanzania waliopo na waliopita wamepachika au wamepachikiwa Majina yao kwenye Mali na miradi ya Nchi, Hili jambo halina maana wala tija yoyote ile.

Kwa mfano, si sawa kwa Stendi ya mabasi ya kimataifa ya Mbezi luis , uwanja wa soka wa Taifa, Viwanja vya Ndege, madaraja, vivuko, shule, hospitali na mali nyingine za Taifa kupewa Majina ya viongozi, wawe hai au wamekufa, hii ni kwa sababu Mali za umma zimegharamiwa na kodi za wananchi, hivyo si haki kuweka Jina la kiongozi, eti kwa vile tu vitu hivyo vilijengwa wakati mhusika akiwa madarakani, wala hata hakutumia hela za mfukoni mwake, huku ni kukengeuka, halafu ni nani anayependekeza Majina hayo na kwa mchakato upi?

Kusimamia Ujenzi wa kitu chochote katika nchi haimaanishi kwamba Mhusika anayo hati miliki ya jina lake kupachikwa kwenye huo mradi, hii ni kwa vile pesa zilizotumika kujenga miradi ya nchi si zake binafsi, ni hela za Umma, Majina yanayopaswa kuitwa miradi hiyo yawe majina ya Maeneo ulipo mradi huo, mfano Uwanja wa Ndege wa Dar es Salaam, Daraja la Busisi, Barabara ya Mwendokasi, mradi wa umeme Kinyerezi nk.

Lakini mali za umma kama Stendi ya Mbezi luis kuiita Jina la Mtu mmoja ni sawa na Ubaguzi uliojaa ubinafsi.

Napendekeza Stendi ya Mbezi iitwe STENDI YA MABASI YA MIKOANI YA MBEZI LUIS, Jambo hili linaweza kuondoa nuksi , laana na mikosi itokanayo na kutumia Jina la Mtu mmoja tu tena ambaye hajawahi kuwa mkazi wa eneo hilo na wala hajawahi hata kupanda mabasi yenyewe, Uwanja wa Taifa wa soka urudishiwe jina lake la awali na jina la Nyerere liondolewe kwenye uwanja wa ndege, urudi kuwa Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Dar es salaam.

Kama tunataka kuwaenzi marehemu wetu au hata viongozi waliopo, basini rahisi sana, Majina yao yawekwe kwenye ofisi za vyama vyao, kwa mfano badala ya kuita ofisi ya chama Kisiwandui basi iitwe ofisi ya Magufuli Kisiwandui.

Naomba kuwasilisha.
Waambie wanaokutuma wajenge wapromote ujenzi wa miradi mikubwa ili tuyaite majina yao.
Au hizi 4T za Makamba zikishatumika, tutafute transmission line mmoja au kituo cha kukuzia umeme tuite jina la hao wanaokutuma.
 
Kama huna hoja basi acha kutoa hoja. Ningependa kama ungesema kwamba kuwa na sheria,taratibu na kanuni za kuamua Naming rights zinakuwaje kwa public infrastrucures kama barabara, majengo etc.Ila sio kusema kwamba ETI yasiwekwe.

SIONI Ubaya Magufuli Terminal Kuitwa Magufuli Terminal kwani UBUNGO,MBEZI,KIMARA yote ni Majina ya WATU tena ambao hata wengine historia yao hatufahamu.QUIT THIS SHIT muwe mnaleta mijadala ambayo ni maslahi kwa umma
Hebu tuambie ni nani mtu huyo aliewahi kuitwa majina haya? Mbona hayapo kwenye koo zetu? Ushawahi sikia mtu anaitwa Ubungo?
 
Viongozi wa Tanzania waliopo na waliopita wamepachika au wamepachikiwa Majina yao kwenye Mali na miradi ya Nchi, Hili jambo halina maana wala tija yoyote ile.

Kwa mfano, si sawa kwa Stendi ya mabasi ya kimataifa ya Mbezi luis , uwanja wa soka wa Taifa, Viwanja vya Ndege, madaraja, vivuko, shule, hospitali na mali nyingine za Taifa kupewa Majina ya viongozi, wawe hai au wamekufa, hii ni kwa sababu Mali za umma zimegharamiwa na kodi za wananchi, hivyo si haki kuweka Jina la kiongozi, eti kwa vile tu vitu hivyo vilijengwa wakati mhusika akiwa madarakani, wala hata hakutumia hela za mfukoni mwake, huku ni kukengeuka, halafu ni nani anayependekeza Majina hayo na kwa mchakato upi?

Kusimamia Ujenzi wa kitu chochote katika nchi haimaanishi kwamba Mhusika anayo hati miliki ya jina lake kupachikwa kwenye huo mradi, hii ni kwa vile pesa zilizotumika kujenga miradi ya nchi si zake binafsi, ni hela za Umma, Majina yanayopaswa kuitwa miradi hiyo yawe majina ya Maeneo ulipo mradi huo, mfano Uwanja wa Ndege wa Dar es Salaam, Daraja la Busisi, Barabara ya Mwendokasi, mradi wa umeme Kinyerezi nk.

Lakini mali za umma kama Stendi ya Mbezi luis kuiita Jina la Mtu mmoja ni sawa na Ubaguzi uliojaa ubinafsi.

Napendekeza Stendi ya Mbezi iitwe STENDI YA MABASI YA MIKOANI YA MBEZI LUIS, Jambo hili linaweza kuondoa nuksi , laana na mikosi itokanayo na kutumia Jina la Mtu mmoja tu tena ambaye hajawahi kuwa mkazi wa eneo hilo na wala hajawahi hata kupanda mabasi yenyewe, Uwanja wa Taifa wa soka urudishiwe jina lake la awali na jina la Nyerere liondolewe kwenye uwanja wa ndege, urudi kuwa Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Dar es salaam.

Kama tunataka kuwaenzi marehemu wetu au hata viongozi waliopo, basini rahisi sana, Majina yao yawekwe kwenye ofisi za vyama vyao, kwa mfano badala ya kuita ofisi ya chama Kisiwandui basi iitwe ofisi ya Magufuli Kisiwandui.

Naomba kuwasilisha.
Naanza kuamini kuwa kuna watanzania wengi wenye matatizo ya Akili.
 
Back
Top Bottom